MaT2B
JF-Expert Member
- Jul 12, 2019
- 387
- 969
Habari za mida hii wakuu
Poleni na Majukumu,
Poleni pia na maswaibu ya DPworld
Nimepata kibarua maeneo ya Posta.
Kwa sasa ninaishi Kibaha.
Hivyo nataka nihamie sehemu ambayo nitapunguza gharama ya usafiri na muda wa kusafiri.
Maeneo ambayo nashawishiwa ni Kimara, Kigamboni na Kinondoni.
Kati ya sehemu hizi ni wapi patakuwa bora zaidi.
Ukizingatia
Gharama ya chumba( <100K/month)
Usalama.
Urahisi wa kufika eneo la kazi(posta)
Hali ya hewa(joto).
Asanteni.
AbaMukulu Accumen Mo adden Aelknes Africa Yangu Aaliyyah Half american
Mabula Msirikale Mwachiluwi Saint Anne @Mwifa National Anthem Mzee wa kupambania mzabzab rikiboy
mshamba_hachekwi @
Poleni na Majukumu,
Poleni pia na maswaibu ya DPworld
Nimepata kibarua maeneo ya Posta.
Kwa sasa ninaishi Kibaha.
Hivyo nataka nihamie sehemu ambayo nitapunguza gharama ya usafiri na muda wa kusafiri.
Maeneo ambayo nashawishiwa ni Kimara, Kigamboni na Kinondoni.
Kati ya sehemu hizi ni wapi patakuwa bora zaidi.
Ukizingatia
Gharama ya chumba( <100K/month)
Usalama.
Urahisi wa kufika eneo la kazi(posta)
Hali ya hewa(joto).
Asanteni.
AbaMukulu Accumen Mo adden Aelknes Africa Yangu Aaliyyah Half american
Mabula Msirikale Mwachiluwi Saint Anne @Mwifa National Anthem Mzee wa kupambania mzabzab rikiboy
mshamba_hachekwi @