Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,818
- 4,569
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuingia na kubobea kwenye kilimo, mifugo na uvuvi, akisema kuwa hilo ndilo eneo litakaoleta uchumi wa mtu mmoja mmoja na wananchi wote kwa ujumla.
Kauli hiyo ameitoa jana Agosti 3, 2023 baada ya kukagua mabanda ya maonesho ya nanenane kitaifa kwenye viwanja vya John Mwakangale, jijini Mbeya, ambapo ameongeza kuwa ilani ya Chama cha Mapindunzi (CCM), imeagiza Serikali kuhakikisha inafanya kila namna ili kila Mtanzania akingie sekta ya uzalishaji kisha aamua kuzalisha ama kwa matumizi yake au kibishara.
Kauli hiyo ameitoa jana Agosti 3, 2023 baada ya kukagua mabanda ya maonesho ya nanenane kitaifa kwenye viwanja vya John Mwakangale, jijini Mbeya, ambapo ameongeza kuwa ilani ya Chama cha Mapindunzi (CCM), imeagiza Serikali kuhakikisha inafanya kila namna ili kila Mtanzania akingie sekta ya uzalishaji kisha aamua kuzalisha ama kwa matumizi yake au kibishara.