Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu ni uthibitisho wa ubovu wa Katiba ya 1977

Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)

N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.

sasa wewe na baba yako, babu yako kwa nn msiwe waziri wakuu?


kuwa na akili ndogo tu.....

Katiba ni interpretation pia
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)

N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Taarifa zinaonyesha kwamba ndiye PM wa kwanza duniani kuhakikisha wagombea wa vyama vingine wanatekwa ili apite bila kupingwa
 
Taarifa zinaonyesha kwamba ndiye PM wa kwanza duniani kuhakikisha wagombea wa vyama vingine wanatekwa ili apite bila kupingwa
Kwa kweli huyu ceremonial pm ameikanyaga demokrasia kwa kiwango Cha juu Sana.

Ndiye waziri mkuu wa kwanza tangu Tanzania ipate uhuru kupokwa majukumu yote akabakia na maswala ya maafa tu
 
Mi nimechoka eti raisi Samia,anaapishwa,anamteua makamo wake wa raisi,anateua baraza la Mawaziri,huku Majaliwa akiwa bado waziri mkuu,.....vichekesho hivi
Kifo cha rais huondoka na serikali yake yote, na pindi anapo apishwa rais mpya huteua baraza jipya la mawaziri, akianza na waziri mkuu. Majaliwa kuendelea na uaziri mkuu kwa kiapo cha Magufuli ni moja ya mapungufu ya katiba mbovu iliopo.
 
ila dikteta alikua mshamba..

imagine hata mtu hiyo wiki ya kuelekea tarehe 28 ukituma SMS ya neno "Tundu Lissu" inakua regarded as spam...

na chamani fomu ikachapwa 1 na yeye akadanganya kapita bila kupingwa
 
Mkuu Kitimoto nimefuatilia comments zote ambazo ume-dislike ktk uzi huu nyingine zinakinzana. Sasa hueleweki unataka nn. Tafadhali funguka.
Hujamjua vizuri huyo mbuzi katoliki? Yeye kila post anadislike hata kama amei-like. Ndio kawaida ya nyama tamu ilishushiwa na bia
 
Wananchi wamekataa kukuchagueni katika uchaguzi uliyopita sasa mnatafuta pa kufia kwa kisingizio cha katiba mpya

Hivi inamaana katiba yote inazungumzia uchaguzi tu wa raisi na wabunge maana sijawahi kukusikieni mkiongelea katiba katika nyanja nyingine

Ni ushahidi tosha kuwa mnadai katiba kwa tamaa zenu za madaraka na sio kwa ajili ya watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mengine unaweza kuyaongelea wewe maana mapungufu ni mengi kuliko faida zinazotekelezeka chini ya hii katiba iliyozeeka.Ndo maana kila mtu anaongelea anachokiona kinahitaji mabadiliko.alafu ni ujinga kuwaza kua yoyote anayetaka katiba mpya anatokea vyama vya upinzani na anayepinga ni Ccm.toka uko kwenye hilo giza alafu fikiria miaka 50 mbele.
 
Mwenye kura nyingi ndio atakuwa mshindi - hicho ndio kigezo cha mtu kushinda uchaguzi Tanzania. Haijaelekezwa nyingi ni ngapi ingawa kimazoea, kuanzia kura 2 tayari ni nyingi. Kwa hiyo mtu anaweza kupata kura 5 tu na akawa mbunge wa kuwawakilisha watu laki 1 jimboni kwake
Kweli huo ni udhai mwingine wa katiba
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)

N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Ulienda kulinga uteuzi wa Majaliwa Mahakama Kuu?
Unapiga kelele tu hapa
 
Back
Top Bottom