Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

kaliweka hivyo ili kupunguza umoja kati ya watendaji wa chama ili wamwachie suala hili lwakatare afe nalo ili baadaye sasa ndio wakiingize chama matopeni baada ya kummaliza lwakatare. Huyo jamaa ni kama afsa propaganda wa magamba. Ndiye aliyezuia maandamano kwa kugeuka mtabiri wa matukio kuwa al shabaab wangeshambulia maandamano ya cdm. Siku chache baadaye akaruhusu kusanyiko kubwa siku ya kukumbuka uhuru. Sasa huyo c mwanapropaganda tu???
na watu wa propaganda ni kama punguani flani maana kuna kazi za kufanya watu wasio na akili kama hii ya propaganda
 
device yangu haitoi sauti kwa video hii so nimeshindwa kusikia chochote sijui nyie wenzangu but ukiangalia body language
tu unaweza ukahisi kama hakuna uhalisia maana swala la kumteka mtu si dhani kama litaongelewa bila userious flani maana jamaa anapiga miayo mara ashike maeneo ya puani halafu anaandika kama anafanya hesabu fulani hivi so inawezekana sote hatujui either riz au nape wote labda wameiona kama ilivyo sasa swala linakuja anayeangalia video anamtazamo gani au anamaslahi gani na upinzani au na magogoni so kila mtu ataielezea atakavyo lets see what next!!!
 
Mchumi wa dalaja la kwanza mwigulu nchemba,kazi kweli zama za ushirikina zimekwisha!!!!!!!!!!!
 
Kwa jinsi walivyopanga,ni kama vile hii camera iko ktk mavazi ya anayemsikiliza.sasa camera za aina hii haziwezi kuwa na quality kubwa kiasi hiki.pili camera isingetulia kiasi hicho.ingekuwa inatikisika.sasa kama haitikisiki,ni wazi ilikuwa juu ya kitu stationary.sasa huyu amekaa mezani,kwa lengo la kuzungumza na wageni wanaokaa kwenye viti mbele ya meza yake,how come kuwe na kitu stationary eneo ambalo palipaswa kuwa na viti wakae watu.hata tukisema kuna viti labda viwili,kimoja akakaa anaerekodi,cha pili akaweka labda begi au kitu kilichokuwa na camera,it's difficult to get that quality,utulivu na angle hiyo tena bila lwakatare mwenyewe kujua.hata useme aliweka kitu chenye camera kwa siri mezani bado ni ngumu kupata picha nzuri na iliyotulia na kwa angle iliyomjaza vizuri hivyo.tatu,ukimtazama usoni Lwakatare anaonekana kama mtu anayejitahidi kukwepesha macho yake kutoka camera ilipo.nne,angalia mkono wake muda wote unaandika eneo lile lile la karatasi.tano,ukiutazama uso na matendo yake,kwa sie tunaojua psychology,havioani na mwonekano wa mtu anayeelekeza wenzie kumuua binadamu seriously!haingii akilini!
 
Songoro you need to think extra miles, jenga utaratibu wa kusumbua akili yako. Kama ulimsikiliza Nape, utakuwa umeelewa alikuwa anaongelea chama gan hasa cha siasa. Kama ulipitia hoja ya Ridhiwani, alionyesha kuwa Magogoni/Rama sio muhusika this time. Swali, anaweza akatutajia muhusika ni nani basi????Alishapreview hii mambo ndiyo conclusion hapo ukubali usikubali. Pia nimeandika hapo sikuzuii kuendelea kuamin unachokiamin.

Najua hii thread itawaudhi sana Magamba vile inapunguza at least kwa 50% credibility of the Lwakatare's clip, parcent ambayo kwenye propaganda mliyoiandaa ni kubwa sana na huenda isiwalipe zaid ya kuwaangamiza zaidi kwa mbinu zenu chafu.

umesaidia sana yaan kwa umma wa watanzania ulivyo na umbumbumbu wa teknolojia kama hz tulionao walishaona wameweza. sasa kwa vidoe clip hii ya obama na nyinginezo hakuna shaka kuwa ile video clip ya lwakatare ni fake. magamba watapagawa sana hii. shukrani mkuu.
 
kesha kuwa maarufu tayari, kwani alikuwa kimya muda mrefu. Hivi siku yangu ya kuwa mtu maaruf/mashuhuri ni lini? naisubiri kwa hamu.
 
Jana ulisema utarudisha kadi ya chadema, umesharudisha?

Endapo ukweli huo utathibitika.Mi niko huru ndugu yangu,Fikra zangu ziko huru.CHADEMA sio mama yangu.Kama wanatekeleza haya na ikathibitika walau kidogo.Kadi narudisha,ikiwezekana ntakuletea wewe huko Arusha
 
ccm imechemsha...kwa hii clip
(video)...hata wadogo zetu walio chora mazombi kwenye mitihan yao... wameelewa kuwa hii ni prpaganda dhaifu....
 
Naona tumechoka amani na kutamani sana kuwa wakimbizi. Tusipokuwa macho hayo yanakuja hayatajali kama mtu ni CCM au CDM. Pengine tunafurahishwa na yanayoyokea kule DRC na Syria. Kwa nini hao walioipata hiyo clip hawakuipeka polisi au waliogopa kuisaidia? Leo tunaleta ushabiki kwenye mambo ya hatari mno. Hakika tutaikumbuka amani tunayoichezea kwa ajili ya madaraka.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
KWA KWELI KUNA HAJA YA KUUNGANISHA MATUKIO JUU YA CCM HII WADAU Hiii nchi saizi serikali ikibanwa wanatengeneza sinema DOWANS ilipopamba moto kikaja kikombe cha babu serikali ndio ikampa promo ya bure,mgomo wa madaktari ulipopamba moto dr.ulimboka akatekwa,matokeo ya kidato cha nne vijana wamefail kibanda anatekwa suala la kibanda limepamba moto video inatoka kuonyesha viongozi wa cdm wapanga mauaji,mnatengeza matukio ili kufuta ajenda zinazoibana serikali padre mushi alipouwawa kuzima mjadala mkaleta FBI ,Ccm yale majambia aliyotangaza igp omary mahita siku moja kabla uchaguzi kuwa ni ya cuf yaliishia wapi???hamuwezi kutufanya watanzania wajinga na wapuuzi,angalia matukio haya..halafu nikangalia hii list naona CCM wanyakyusa wamewageuza deal/kufanikisha mauchafu yao......


  1. kubenea saed
  2. dr.ulimboka stephen
  3. Daud Mwangosi
  4. dr.harrison mwakyembe
  5. fr.evarist mushi
  6. Dr.juan mwaikusa
  7. fr.ambroce mkenda
  8. absalom kibanda
  9. horace kolimba
  10. edward moringe sokoine
  11. prof.mark mwandosya
  12. kumwagiwa tindikali mufti
  13. Mauaji ya ndago (iramba0
  14. mauaji ya Arusha
  15. mauaji ya Songea
  16. mauji ya mwembe chai
  17. mauji ya morogoro
  18. mauji ya zanzibar
  19. mauji ya kada wa cdm arumeru
 
nakukumbusha usiende kinyume na mtazamo wa Chama chako kuwa Odinga Kaibiwa kura! So jipangaeni kwa Maandamano kabambe katika jiji la Nairobi hakuna kulala mpaka kieleweke!

Sijasikia kauli rasmi ya chama changu kuhusu huu uharo unaousema hapa. Nadhani unaumwa unahitaji daktari. Mimi sifanyii kazi kauli za wavuta bangi na majambazi kama wewe.
 
Ccm yale majambia aliyotangaza igp omary mahita siku moja kabla uchaguzi kuwa ni ya cuf yaliishia wapi???hamuwezi kutufanya watanzania wajinga na wapuuzi,angalia matukio haya..


  1. kubenea saed
  2. dr.ulimboka stephen
  3. dr.harrison mwakyembe
  4. fr.evarist mushi
  5. juan mwaikusa
  6. fr.evarist mkenda
  7. absalom kibanda
  8. horace kolimba
  9. edward moringe sokoine
  10. prof.mark mwandosya

Bila kumsahau Mwangosi- RIP
 
nilikuwa nataka kuja na hoja kama yako, angalia midomo ya rwakatare wakati anaongea, jamani hapa hakuna uhalisia kabisa, ni kama maneno anafaanya kuyafwatisha kwa kumung'unya ila hayatoki kwa midogo yake!! alafu huyu mtu anayeelekezwa inakuwaje mwanzo mwisho yeye ni ehe ehe ehe hana hata la kuchangia??

Hii video kweli ni faked:

Hivi Lwakatare amewahi kujifunza ujasusi??

Hivi kwa nn sauti iko faint sana katika video hii wakati picha ni safi sana??
 
Mungu hawezi kuwa upande wa wauaji hata siku moja!

Sina muda na kubishana na watu walifundishwa kuvuta bangi zenye mchanganyiko wa mavi ya walevi. Napambana na hoja za watu makini wenye akili timamu.
 
Ni kazi kubwa kuhangaika na akili kubwa,hivi polisi wamekosa wataalamu wa software engineers kabla hawajachukua hatua? kweli hawa ni usalama wa raia na mali zao? bora tujilinde wenyewe.
 
Tulishasikia pia Wassira akitamka kuwa CDM lazima ife 2013, wengi hatukuelewa na hadi sasa hatujaelewa alikuwa anamaana gani kutamka maneno kama yale mtu wa makamo yulo. Sasa kauli za hivi za kumtamkia kifo mwenzio zinasignal kuwepo kwa mkakati wa maksudi wa kumuua mwenzio??Aidha, CCM katika vikao vyao vya CC/NEC, ccm walijadili kwa kina namna ya kudeal/kuisambaratisha CDM badala ya namna ya kutumikia umma wa watanzania waliowaweka madarakani. Hapa pia panazaa jambo.
hapa ndipo hili kundi linapofanya makosa makubwa na ya kihistoria mpaka kupelekea upotevu wa maisha na kusababishia ulemavu watu wasio na hatia (Ulimboka, Stan Katabaro, late Mwangosi, Kibanda nk) ili kuwashawishi watu wawaamini na kuwachukia wengine wakati hawaelewi uelewa halisi wa hawa watu (watanzania).

Nakumbuka nikiangalia ufunguzi wa kampeni za jimbo la Arumeru Mashariki ambapo yule dogo (Mh. Nassari) alitamka kitu kimoja na kikubwa. Wenye uelewa walimwelewa lakini wengine mpaka leo bado hawajamwelewa nadhani, alisema "wao wana pesa na majeshi sisi tuna Mungu". kilichotokea wote tunajua!

Kwa hiyo kuwa na Mungu haina maana kuwa anakuja kwako na kugonga mlango na kukupa 'hi' au kuja kunywa chai nk, la hasha, pale unaposema UKWELI basi jua wewe una Mungu. Na pale watu wanapofanya mambo ya kikatili kwa binadamu wenzao tena kwa kujificha, ni wazi wako mbali na Mungu (ukweli).

Kwa maana hiyo support wanayoipata cdm huwezi kuizuia kwa kutengeneza viclips vya uongo, kuhonga watu wasaliti nk bali kuwaeleza watu ukweli. Maisha yamebadilika na uelewa wa watu umeongezeka japo watawala wanaamini kuwa ni wajinga kutokana na elimu waliyowapatia!
cdm haifi kwa njia hii wakuu. kabuni njia nyingine!!

 
Kama nilivyochangia katika thread inayohusu video ya Lwakatare
1.Anayerekodi anamuongoza mzungumzaji kwa kumwambia maneno "niweke? mmh hapoo? haya" . pia anamuelekeza arudie maneno.

2.Imerekodiwa bar, watu wanapitapita wanasalimia na kutaja majina yao. Kwa watu makini hawawezipanga mpango hatari kwenye eneo la wazi hivyo.

3.Sura ya muongeaji si halisi na tone yake si halisi.

4.Anayerekodi anachomeka jina la Zitto kuhalalisha mpango.
JIPANGENI UPYA KUHARIRI VIZURI NA ALIYEHARIRI AMECHEMKA

Mkuu mbona unauliza maswali ambayo hata mtoto mdogo anaweza kuyajibu, ina maana hujui kuwa LWAKATARE anatumwa na chama chake kufanya hivyo? eti tukio limefanyika baa? baa kuna meza ya ofisini? watu wanaopitapita ni wangapi kwenye video ile na unajuaje kama hao walikuwa ni wanatimu? baa ndiyo wanamuliza mtu mambo vipi? pole na matatizo? ni matatizo gani hayo?
video imetengenezwa 28-12-2012? weka ushahidi wa kwamba ilitengenezwa hiyo tarehe.
 
kila kitu kimefanywa na ccm, mkurugenzi wa new habari ameeleza kabisaa chanzo cha muandishi kutekwa alafu wanatuletea movie..
 
Back
Top Bottom