Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Mkuu niwie radhi nimeanzisha meza hii kwa jicho makini baada ya kuidownload na kuipitsha kwenye softiware makini kuboost na picha hivyo tujadili.

Ni kweli mkuu aliye-record amechemka. Kwa mtu asiyefikiri vizuri ndo ataamini upuuzi huu. Kama kweli ni Great thinker utang'amua video ilivyo na makosa mengi ya kiufundi na kudhihirisha kuwa ni uwongo.

Ni vyema waandaaji wakajipanga kwa zile part wanazosema eti watazileta.

Mungu ni mwema sana na siku zote huwaumbua watu wenye nia mbaya. Hizi ni siasa za maji taka ambazo hazina tija na upepo utawapitia tu hata kama watatengeneza video mia moja na zaidi. Propaganda hizi ni za kitoto.

CCM na serikali yake wanapoteza muda badala ya kufikiri watawasaidiaje watanzania kuondokana na umaskini. Ni vigumu kuwadanganya na kuwaaminisha watanzania kwa video hii.

CHADEMA mtihani huu mtaushinda tu, mungu yuko nanyi na atawatia nguvu kuendelea na harakati za ukombozi.

Wewe ni mmoja wa walishiriki kuiratibu....

Nimekupata kiongoz, nilijua umeamua tu kuanzisha uzi mpya, kama kuna new findings, endelea tu kiongoz, tupo pamoja!

Namba mbili mkuu ndiomaana nasema wamechemka maana wangeishusha ubora hiyo video na kuiongezea picture noise kidogo ingeaminika. Mtanzania wa leo sio wa jana.

Kilichobaki kutoka CCM ni kuwachanga wapira kura kwa propaganda nyepesi.

Huu mpango wa magamba ni usanii wa hatari

kila mtu ni kuhangaika tu au huelewi? sisi cdm tunahangaika na video ya lwakatare kama unavyosema sawasawa tu na jinsi ninyi ccm mnavyohangaika na cdm

no need of CDM again in this country!

Hii video itawatesa sana naona mnajaribu kufanya cover up lakini ukweli huu wa vitendo vya utesaji ambao umekua ukifanywa na kitengo cha ulinzi na usalama ndani ya chadema utaishi muda mrefu sana.


Mtaona mengi safari hii. Mwl. kila mbinu chafu itatumika, ila itakapofika mahakamani ndipo mbivu na mbichi zitajulikana, huko hata suala la Dr. Ulimboka litaanikwa.
 
Ukiwa mnafiki uwe na kumbukumbu, na wewe umetumia teknolojia gani kumlisha maneno Riz wan na Nape kuwa wamesema Chadema wanahusika, Wengi wetu tulipitia Wall paper ya Ridh na Nape hakuna neno Chadema walipotaja, Alama za Mtu mnafiki ni 3 na moja wapo ni Uongo.Lwakatare kesha nasa kwenye mtego hateguliwi kwa manati mtazid kumuumiza! Yeye ndo atathibitisha sio kukimbilia kwenye Google Engine kutafuta namna ya kumtoa!
Songoro you need to think extra miles, jenga utaratibu wa kusumbua akili yako. Kama ulimsikiliza Nape, utakuwa umeelewa alikuwa anaongelea chama gan hasa cha siasa. Kama ulipitia hoja ya Ridhiwani, alionyesha kuwa Magogoni/Rama sio muhusika this time. Swali, anaweza akatutajia muhusika ni nani basi????Alishapreview hii mambo ndiyo conclusion hapo ukubali usikubali. Pia nimeandika hapo sikuzuii kuendelea kuamin unachokiamin.

Najua hii thread itawaudhi sana Magamba vile inapunguza at least kwa 50% credibility of the Lwakatare's clip, parcent ambayo kwenye propaganda mliyoiandaa ni kubwa sana na huenda isiwalipe zaid ya kuwaangamiza zaidi kwa mbinu zenu chafu.
 
Kwenye bold: Naona mzigo unaelemea kwenu....propaganda skills show imefika pazuri!
Pole sana, kama unazani mimi ni kama wewe, basi nikupe tu pole nyingine ya ziada! Naelemea kwetu wapi?! si CCM, CUF wala CHADEMA wana mvuto kwangu!
 
Hivi hawa kina Mwigulu hawana hata aibu ya kutoa video kama hizo Lol ati wasomi vitu hivi i mean video kama hizi hutolewa na macomedia lkn sio wasomi ati wanajiita wana first DG of Economy aibu kweli kweli
Aibu tupu kwa Mwigulu na chama chake!
 
Songoro you need to think extra miles, jenga utaratibu wa kusumbua akili yako. Kama ulimsikiliza Nape, utakuwa umeelewa alikuwa anaongelea chama gan hasa cha siasa. Kama ulipitia hoja ya Ridhiwani, alionyesha kuwa Magogoni/Rama sio muhusika this time. Swali, anaweza akatutajia muhusika ni nani basi????Alishapreview hii mambo ndiyo conclusion hapo ukubali usikubali. Pia nimeandika hapo sikuzuii kuendelea kuamin unachokiamin.

Najua hii thread itawaudhi sana Magamba vile inapunguza at least kwa 50% credibility of the Lwakatare's clip, parcent ambayo kwenye propaganda mliyoiandaa ni kubwa sana na huenda isiwalipe zaid ya kuwaangamiza zaidi kwa mbinu zenu chafu.

jifunze kuwa makini umesema wameitaja hadharani Chadema thibitisha usianze style za kukwepakwepa, mwenzio kubenea walau alikuwa akitumia ' wachambuzi wa kisiasa au vyanzo vya kuaminika vinasema Nape/Ridhwan walikuwa WAKIMAANISHA........' badala ya style uliyotumia kuwalisha watu maneno ambayo sote nawe unajua hawakutamka kama unavyojifanya mtaalam wa kupima confidence zao kwa asilimia eti wakiwa na confidence 100%!
 
Mkuu wangu Patriote,
Waingereza wana msemo wao kwamba "A BLACK CAT MAY BE A BAD LUCKY ONLY IF YOU ARE MOUSE!" Chambilecho wewe sio panya, yanini kuingiwa taharuki pindi umwonapo paka?! Naona wapwa mmekazana sana kulikanusha hili jambo....pamoja na post kadhaa za kukanusha, bado hivi sasa kuna new threads za kukanusha...!! Hofu ya nini? I believe Lwakatare is smart enough ku-prove beyond reasonable doubt kwamba ile video is just a fabricated material; sasa nyie hofu yenu nini mkuu wangu Patriote? Mnatutia mashaka sie wengine; a black cat may be a bad luck only if you're mouse! Wewe majani, hofu yako nini kuingizwa kwenye banda la mbwa wakati unafahamu mbwa hali majani?! Unakumbuka pale Uhuru Kenyatta alipojipeleka mwenyewe ICC? Kenyatta alifahamu he's not a mouse so he'd no reason to get scared of a balck cat ICC!! Wewe kama ni majani, pigana kufa na kupona, ikibidi kanusha kwa nguvu zote kwamba wewe si majani ikiwa umegundua unataka kupelekwa zizi la mbuzi, lakini kwenye banda la mbwa; aaaargh, hofu ya nini!!!
NasDaz toka asubuhi tupo pamoja, hakuna kitu inakera kama propaganda za kipumbavu. Toka asubuhi leo naweza sema nimesimamisha shughuli, kimsingi siku imejazwa na huu ushenz uliotokea, nkasema ngoja nifanye study tour kwenye technologia za wenzetu kubaini ukweli. Hiyo bana!!

Mimi sina wasiwasi, hofu yangu kubwa ni kwenye retardation ya M4C, moto ulishawaka, sasa hv itabd tuuzime had tumalizane na hili sekeseke afu tuwashe tena sometimes later, kwa mwendo huo tutawatimua kweli maccm?? Wapo watoto wa maskin hapa wanachezeshwa ngoma wasioijua na waneemeka na kodi zetu wanatoa povu kweli wakat kimsing wanazid kuusimika utawala wa kifisadi madarakani, we are tired bana. Hapa tumetupiwa fupa tuhangaike nalo wakati wenzetu wanakula maini tu sasa hivi Kempysk.
 
Sasa hii dunia naona hamna cha kuficha...keep it up JF.
Mkuu patriote,
mi naamini ni yeye lwakatare, isipokuwa amechezewa mtego na anaowaamini. Mambo haya ya kutafutana na kuwindana kujua nani mbaya na nani adui wa chama ni ya kawaida kwenye siasa na hata kwenye biashara kubwa..

Kilichomtokea Lwakatare ni imani kupita kiasi kwa vijana wake wa upelelezi. Haonekani kuzungumzia mauaji wala kupiga mtu lakini inavyoônyesha alitaka kumtisha huyo adui yake. Walichokifanya watu wake ni kumchokoza tu nae akaingia mkenge kwa kudhani ni ishu ya kawaida ya mazungumzo ya kirafiki.

kudeal na Ccm ni kudeal na wakubwa, kwa ukuaji wa Chadema wa spidi ya namna hii Ccm wako radhi kutoa pesa yoyote wapate information za kukivuruga chama. Hawa vijana wamemuuza Rwakatare kwa vipande vya fedha.

lakini pia kwa kuisikiliza clip hii ni wazi Rwakatare hajui chochote kuhusiana na masuala ya utekaji au mauaji., nasema hivyo kwa sababu hajuihata dawa za usingizi au spray zinauzwaje, nadhani ndo kwanza anajifunza. Pili hakuwatuma kuua bali kumteka kwa lengo la kumtisha. Hatahivyo muda utatupa picha kamili
 
Pole sana, kama unazani mimi ni kama wewe, basi nikupe tu pole nyingine ya ziada! Naelemea kwetu wapi?! si CCM, CUF wala CHADEMA wana mvuto kwangu!
Kitu cha ajabu hata mkubwa anafurahia propaganda kama hizi za kitoto na za kipuuzi kweli mabwepande wameishiwa mbinu
 
Teknolojia inafanya mpaka lips ziende sawa na maneno? Unajua kuna watu wanaweza kuzima sauti wakasoma lips tu hizo wakakwambia huyu kasema nini hapa?

Sasa lips nazo wamechakachua mwanzo mpaka mwisho? Sauti yake? Anavyoongea?

Au unataka kusema picha yote ni Lwakatare, ni avatar tu?

Muungwana akikosea kukubali kosa na kuomba msamaha ni ada.

Ama sivyo kukataa kosa wakati watu wamemnasa kwenye tape ni kuongeza kosa.

This is sheer thuggery and mischief. Hiki ndicho chama mbadala tunachokitegemea kije kuiondoa CCM?

Hii ni strategy inayokubalika kichama au uhuni wake huyu mmoja tu na vi underdogs vyake?

Usituletee ufia dini kwenye siasa.
 
jifunze kuwa makini umesema wameitaja hadharani Chadema thibitisha usianze style za kukwepakwepa, mwenzio kubenea walau alikuwa akitumia ' wachambuzi wa kisiasa au vyanzo vya kuaminika vinasema Nape/Ridhwan walikuwa WAKIMAANISHA........' badala ya style uliyotumia kuwalisha watu maneno ambayo sote nawe unajua hawakutamka kama unavyojifanya mtaalam wa kupima confidence zao kwa asilimia eti wakiwa na confidence 100%!
Songoro, tutakesha hapa naimani umeelewa what I mean! kwa manufaa ya kuitendea haki hii thread na kwa kuweka kumbukumbu vizuri, naomba nichomoe neno chadema ila niliweke neno ''hawa wenzetu wa upinzani'' kwa upande wa Nape na kwa Ridhwani, alisema na this time waseme Magogoni/Ikulu/Rama wamehusika tena.

Ila it all mean the same. Thinking tu ndo itakuwa imetufautiana ktk suala hili, wewe unaanzia kushoto kuja kati, mimi naanzia kulia kuja kati ila mwisho wa siku sote tutakutana kati tu.
 
Teknolojia inafanya mpaka lips ziende sawa na maneno? Unajua kuna watu wanaweza kuzima sauti wakasoma lips tu hizo wakakwambia huyu kasema nini hapa?

Sasa lips nazo wamechakachua mwanzo mpaka mwisho? Sauti yake? Anavyoongea?

Au unataka kusema picha yote ni Lwakatare, ni avatar tu?

Muungwana akikosea kukubali kosa na kuomba msamaha ni ada.

Ama sivyo kukataa kosa wakati watu wamemnasa kwenye tape ni kuongeza kosa.

This is sheer thuggery and mischief. Hiki ndicho chama mbadala tunachokitegemea kije kuiondoa CCM?

Hii ni strategy inayokubalika kichama au uhuni wake huyu mmoja tu na vi underdogs vyake?

Hivi umeiangalia video hii ndani ya hii link ?

http://www.youtube.com/watch?v=tRKau68Ks3M
 
NasDaz toka asubuhi tupo pamoja, hakuna kitu inakera kama propaganda za kipumbavu. Toka asubuhi leo naweza sema nimesimamisha shughuli, kimsingi siku imejazwa na huu ushenz uliotokea, nkasema ngoja nifanye study tour kwenye technologia za wenzetu kubaini ukweli. Hiyo bana!!

Mimi sina wasiwasi, hofu yangu kubwa ni kwenye retardation ya M4C, moto ulishawaka, sasa hv itabd tuuzime had tumalizane na hili sekeseke afu tuwashe tena sometimes later, kwa mwendo huo tutawatimua kweli maccm?? Wapo watoto wa maskin hapa wanachezeshwa ngoma wasioijua na waneemeka na kodi zetu wanatoa povu kweli wakat kimsing wanazid kuusimika utawala wa kifisadi madarakani, we are tired bana. Hapa tumetupiwa fupa tuhangaike nalo wakati wenzetu wanakula maini tu sasa hivi Kempysk.
That's how politics work broda....!! Sasa huoni ikiwa lengo la wahusika/CCM ilikuwa ni kuwatoa kwenye mstari basi wamefanikiwa sana for these two days?! Umeuliza, kwa mwendo huo kweli mtawatimua, jibu MNA KAZI KUBWA coz' mmethibitisha mpo rahisi mno kuwa fixed at the corner!! Hivi yale mashuti wanayopewa CCM humu JF ingekuwa ndo nyinyi; mngefanya kazi kweli?! Si ingekuwa ndo basi tena; timu mzima ya CHADEMA mnahamia JF!! AND, kama CCM ni wajanja, basi wameshagundua weakness yenu ipo wapi.....wanawatandika mashuti, watu wanatulia zao kimya wanaenda kula bata wakati nyinyi huku mnahangaika!!

Aisee, mie ningekuwa CCM, mngenikoma; kama huwa mnatapatapa namna hii pindi mkikumbwa na dhoruba!!!! Hivi mngepigwa kombora kama lile la pale Mwembe Yanga la List of Shame, si ndo mngepoteana kabisa nyinyi?! Usiniambie habari za uzushi na ukweli wa kombora husika; the issue is how you stand firm pale unapovurumishiwa guruneti!!
 
hivi jk naye anashabikia upuuzi huu wa mwigulu?bas nchi imeoza kwa kupanga na kucheza cinema hii ya kipuuzi ambayo haita pata soko
 
Kwamba kuna madereva wabaya haimaanishi binadamu hawawezi udereva.

Get your logic right. When you come come correct, or don't come at all.

Above all.

Don't defend the indefensible.

There is a way to spin this, but not the way you are trying.
Kiranga nahisi kama kunakitu unataka kuongea, ila nahisi sisikii kitu, hebu tumia tu hii lugha yetu ili uweze kujibiwa hoja zako maana unaeleweka kwa shiiiiida sana!
 
Kiranga nahisi kama kunakitu unataka kuongea, ila nahisi sisikii kitu, hebu tumia tu hii lugha yetu ili uweze kujibiwa hoja zako maana unaeleweka kwa shiiiiida sana!

Lugha ya mkoloni huelewi, utasamehewa kwa hilo.

Sauti unaitilia shaka.

Hata video ya Kiswahili huoni?
 
Waandishi wa habari kupitia kalamu zao ndio wameifikisha CDM hapo ilipo,Huwezi zungumzia umaarufu wa CDM ukawaacha waandishi wa habari!!!
Sasa iweje leo CDM hao hao wawaue waandishi wa habari!!!!!!
 


Kwenye hii clip ya Obama, sauti sio yake ila mdomo unaendana sawa na maneno yanayosemwa. Mtu mwingine ameigiza sauti ya Obama na kusema maneno anayotaka yeye.

Kwenye clip ya Lwakatare, sauti ni yake kabisa na wala hilo halina ubishi. Je Lwakatare alishiriki katika kutengeneza hiyo video? kama hiyo clip ni fake je sauti yake waliitoa wapi?

Mkuu wangu hiyo clip ni genuine kabisa wala usiumize kichwa. Wewe subiri tu Mchungaji amwage ukweli wote hadharani maana hapo hachomoki!!
 
Back
Top Bottom