Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

NasDaz toka asubuhi tupo pamoja, hakuna kitu inakera kama propaganda za kipumbavu. Toka asubuhi leo naweza sema nimesimamisha shughuli, kimsingi siku imejazwa na huu ushenz uliotokea, nkasema ngoja nifanye study tour kwenye technologia za wenzetu kubaini ukweli. Hiyo bana!!

Mimi sina wasiwasi, hofu yangu kubwa ni kwenye retardation ya M4C, moto ulishawaka, sasa hv itabd tuuzime had tumalizane na hili sekeseke afu tuwashe tena sometimes later, kwa mwendo huo tutawatimua kweli maccm?? Wapo watoto wa maskin hapa wanachezeshwa ngoma wasioijua na waneemeka na kodi zetu wanatoa povu kweli wakat kimsing wanazid kuusimika utawala wa kifisadi madarakani, we are tired bana. Hapa tumetupiwa fupa tuhangaike nalo wakati wenzetu wanakula maini tu sasa hivi Kempysk.

KAKA... hiyo study yako utawaingia na kuwadanganya wajinga ( na ndio uliowalenga)..clip ya obama kulishwa maneno kiteknolojia ipitie tena na tena, sikiliza sauti, angalia picha( zikiwa zimeshahaririwa na kuunganishwa),angalia midomo ya Obama sambasamba na maneno yanayosikika na mwisho unganisha vyoote kwa pamoja utapata ucheshi mtupu kwenye hii clip.
kisha angalia clip ya LWAKATARE... kwanza ni RAW,, hawajaihariri wala kuunganisha picha mbalimbali. ni uneditted televised material kuanzia mwanzo hadi mwisho. hakuna mismatch ya mdomo na maneno yanayosikika zaidi ya kuwa sauti haisikiki vizuri kwa sababu camera ilikuwa mbali na mdomo wa Lwakatare na walikuwa hawatumii BOOM MIC.
ningeshauri tusitafute visingizio vya kupindisha ukweli kwani HAITAISAIDI NCHI, CHADEMA wala LWAKATARE...
kubalini tuu kuwa UMAFIA wenu sasa uko hadharani
 
Kama nilivyochangia katika thread inayohusu video ya Lwakatare
1.Anayerekodi anamuongoza mzungumzaji kwa kumwambia maneno "niweke? mmh hapoo? haya" . pia anamuelekeza arudie maneno.

2.Imerekodiwa bar, watu wanapitapita wanasalimia na kutaja majina yao. Kwa watu makini hawawezipanga mpango hatari kwenye eneo la wazi hivyo.

3.Sura ya muongeaji si halisi na tone yake si halisi.

4.Anayerekodi anachomeka jina la Zitto kuhalalisha mpango.
JIPANGENI UPYA KUHARIRI VIZURI NA ALIYEHARIRI AMECHEMKA
Pia anajipangusa kamasi eti kwenye T-shirt.
 
I like JF, hii thread ndo itakuwa imezima moja kwa moja proganda zao. JF mwisho.
 
Mkuu wangu Patriote,
Waingereza wana msemo wao kwamba "A BLACK CAT MAY BE A BAD LUCKY ONLY IF YOU ARE MOUSE!" Chambilecho wewe sio panya, yanini kuingiwa taharuki pindi umwonapo paka?! Naona wapwa mmekazana sana kulikanusha hili jambo....pamoja na post kadhaa za kukanusha, bado hivi sasa kuna new threads za kukanusha...!! Hofu ya nini? I believe Lwakatare is smart enough ku-prove beyond reasonable doubt kwamba ile video is just a fabricated material; sasa nyie hofu yenu nini mkuu wangu Patriote? Mnatutia mashaka sie wengine; a black cat may be a bad luck only if you're mouse! Wewe majani, hofu yako nini kuingizwa kwenye banda la mbwa wakati unafahamu mbwa hali majani?! Unakumbuka pale Uhuru Kenyatta alipojipeleka mwenyewe ICC? Kenyatta alifahamu he's not a mouse so he'd no reason to get scared of a balck cat ICC!! Wewe kama ni majani, pigana kufa na kupona, ikibidi kanusha kwa nguvu zote kwamba wewe si majani ikiwa umegundua unataka kupelekwa zizi la mbuzi, lakini kwenye banda la mbwa; aaaargh, hofu ya nini!!!
sio shaka mkuu mimi naona bora iwe kweli kuliko iwe ya kupika,kwasababu kama ni ya kupika nakuhakikisha hii nchi sio salama tena na machafuko hayapo mbali.tumefikia mahali tunauana makusudi halafu tunatengeneza upuuzi,ikiwa ni uongo hii kitu kaa usubiri uone litakalojiri.tukikaa kimya tutatahayari kwa litakolotokea ugomvi mkubwa huanzishwa na ngumi ya kwanza.
 
Mtahangaika sana kumsafisha lakini muuaji mungu kamuumbua
 
hatari sana,i am glad kwakatare is not a Muslim
tungeskia mengi sana katika hilo,
wala hatuskii akinyooshewa kidole kutokana na iman yake hapo..!
Kama kina shekhe ilunga,ila tutafika tuh

Ungeishulisha akili yako usingeandika haya mkuu Ilunga alihamasisha kuuliwa viongozi wa dini ya kikristo wala si wa kisiasa ndo maana suala lake lilijadiliwa kidini zaidi,hili lipo kisiasa wala sio kidini ndo maana mjadala huu hauna mipaka ya kidini.
 
jifunze kuwa makini umesema wameitaja hadharani Chadema thibitisha usianze style za kukwepakwepa, mwenzio kubenea walau alikuwa akitumia ' wachambuzi wa kisiasa au vyanzo vya kuaminika vinasema Nape/Ridhwan walikuwa WAKIMAANISHA........' badala ya style uliyotumia kuwalisha watu maneno ambayo sote nawe unajua hawakutamka kama unavyojifanya mtaalam wa kupima confidence zao kwa asilimia eti wakiwa na confidence 100%!

Mkuu songoro usitumie nguvu sana kuattach meaning kwenye maandishi ambayo hujaandika wewe. Muandishi ndo anaweza akasema kwa uhalisia alikuwa ana maanisha nini! Kwenye contextual guessing wewe unaweza ukawa sahihi na usiwe sahihi vilevile so you dont have 100% authority to deny the interpretation of other people. Its just my views
 
ccm hawajui wananchi walivyowachoka, ingawaje sisi asilimia kubwa ya wananchi wao ni mambumbumbu, lakini tunajua hicho kivideo ni cha kutengenezwa wala hatu concentrate nacho
 
Ukiwa mnafiki uwe na kumbukumbu, na wewe umetumia teknolojia gani kumlisha maneno Riz wan na Nape kuwa wamesema Chadema wanahusika, Wengi wetu tulipitia Wall paper ya Ridh na Nape hakuna neno Chadema walipotaja, Alama za Mtu mnafiki ni 3 na moja wapo ni Uongo.Lwakatare kesha nasa kwenye mtego hateguliwi kwa manati mtazid kumuumiza! Yeye ndo atathibitisha sio kukimbilia kwenye Google Engine kutafuta namna ya kumtoa!

Wall paper iko wapi mkuu?
 
Hakuna hata jambo moja la kuliamini kutokana na Video ilisambaa kwenye mitandao kumuhusu Lwakatare.
Binafsi si mfuasi wa chama chochote cha siasa, lakini ni mfuatiliaji mzuri wa nyendo zote za kisiasa.
Hii huwa inaniapa wakati mzuri wa kuchunguza na kuchambua hali na mienendo ya kisiasa nchini.


Watanzania tuna hulka ya kudanganyika kirahisi mno, na katika hili si kosa letu bali kuna sababu ambayo sitapenda kuiweka wazi kwa sasa. Lakini sababu hiyo chanzo chake ni watawala wa mwanzo wa Serikali yetu.
Sasa udhaifu huu tulionao ni "advantage" kubwa kwa wanasiasa, ni rahisi kuaminishwa na kupotoshwa pasipo kutumia nguvu nyingi.


Hebu tujiulize, hivi nchi iliyo makini inahitaji kutegemea "Social Networking" kuvumbua visa vyenye kuhatarisha Usalama wa nchi na watu wake?
Intelijensia ya Usalama wa Taifa na Jeshi la Polisi ilikuwa wapi hata wakashindwa kuliona tukio hilo likitendeka "in a first place"?
Kama sio kwamba Usalama wa nchi yetu umetoboka mahali, basi kwa namna fulani nao wanahusika na tukio hili zima...
 
Ukiwa mnafiki uwe na kumbukumbu, na wewe umetumia teknolojia gani kumlisha maneno Riz wan na Nape kuwa wamesema Chadema wanahusika, Wengi wetu tulipitia Wall paper ya Ridh na Nape hakuna neno Chadema walipotaja, Alama za Mtu mnafiki ni 3 na moja wapo ni Uongo.Lwakatare kesha nasa kwenye mtego hateguliwi kwa manati mtazid kumuumiza! Yeye ndo atathibitisha sio kukimbilia kwenye Google Engine kutafuta namna ya kumtoa!

Unatoa mapofu sana.....kulikoni au ili mradi mkono uende kinywani
 
Hakuna hata jambo moja la kuliamini kutokana na Video ilisambaa kwenye mitandao kumuhusu Lwakatare.
Binafsi si mfuasi wa chama chochote cha siasa, lakini ni mfuatiliaji mzuri wa nyendo zote za kisiasa.
Hii huwa inaniapa wakati mzuri wa kuchunguza na kuchambua hali na mienendo ya kisiasa nchini.


Watanzania tuna hulka ya kudanganyika kirahisi mno, na katika hili si kosa letu bali kuna sababu ambayo sitapenda kuiweka wazi kwa sasa. Lakini sababu hiyo chanzo chake ni watawala wa mwanzo wa Serikali yetu.
Sasa udhaifu huu tulionao ni "advantage" kubwa kwa wanasiasa, ni rahisi kuaminishwa na kupotoshwa pasipo kutumia nguvu nyingi.


Hebu tujiulize, hivi nchi iliyo makini inahitaji kutegemea "Social Networking" kuvumbua visa vyenye kuhatarisha Usalama wa nchi na watu wake?
Intelijensia ya Usalama wa Taifa na Jeshi la Polisi ilikuwa wapi hata wakashindwa kuliona tukio hilo likitendeka "in a first place"?
Kama sio kwamba Usalama wa nchi yetu umetoboka mahali, basi kwa namna fulani nao wanahusika na tukio hili zima...

Hv huwa kuna usalam wa taifa????? mm najua wameajiri FBI na CIA toka USA
 
Ukiwa mnafiki uwe na kumbukumbu, na wewe umetumia teknolojia gani kumlisha maneno Riz wan na Nape kuwa wamesema Chadema wanahusika, Wengi wetu tulipitia Wall paper ya Ridh na Nape hakuna neno Chadema walipotaja, Alama za Mtu mnafiki ni 3 na moja wapo ni Uongo.Lwakatare kesha nasa kwenye mtego hateguliwi kwa manati mtazid kumuumiza! Yeye ndo atathibitisha sio kukimbilia kwenye Google Engine kutafuta namna ya kumtoa!

Mtego wa polisi au ?
 
sio shaka mkuu mimi naona bora iwe kweli kuliko iwe ya kupika,kwasababu kama ni ya kupika nakuhakikisha hii nchi sio salama tena na machafuko hayapo mbali.tumefikia mahali tunauana makusudi halafu tunatengeneza upuuzi,ikiwa ni uongo hii kitu kaa usubiri uone litakalojiri.tukikaa kimya tutatahayari kwa litakolotokea ugomvi mkubwa huanzishwa na ngumi ya kwanza.
Nenda kasome nukuu ya maneno ya dr. slaa gazeti la tz daima amenena km unavyonena......yaani km hio video ni ya kupika basi ccm wamekwisaha kabisa, na najua cdm lazima watafanya juu chini kucheza hii karata vizuri ili hata baadae ccm wakija na upuuzi mwingine watanzania wawadharau.........wapi ule mtambo wa kutuma sm za vitisho?

Naomba hii video iwe ya kweli.....vinginevyo hili ni kaburi la ccm mchana kweupeeeeee!!!!!!!
 
Ukiwa mnafiki uwe na kumbukumbu, na wewe umetumia teknolojia gani kumlisha maneno Riz wan na Nape kuwa wamesema Chadema wanahusika, Wengi wetu tulipitia Wall paper ya Ridh na Nape hakuna neno Chadema walipotaja, Alama za Mtu mnafiki ni 3 na moja wapo ni Uongo.Lwakatare kesha nasa kwenye mtego hateguliwi kwa manati mtazid kumuumiza! Yeye ndo atathibitisha sio kukimbilia kwenye Google Engine kutafuta namna ya kumtoa!

Hiyo kesi ni rahisi sana, hata mimi naweza kuisimamia na Rwakatare akashinda, Serikali inapoteza hela tu. Anyway late them do cz jamaa lazima wamlipe cz anashinda hiyo Kesi.
CCM mbinu zenu niza kitoto sana, mjue we geneous tunawashangaa sana. Why don't u fight ili kuongeza wanachama wenu???
Sometimez I ask myself inakuwaje watu wananyimwa kabisa haki ya kuujua ukweli na huku unajulikana??? Ila sishangai cz darasani kuna wa kwanza na wa mwisho probably ur one's among them.
Wetu wenye akili huwa hawaropokiropoki tu ovyo. Why Julius alikuwa anajua sana kudeel na wahuni kama nyinyi bila hata kusikia vurugu??? Au ndiyo ile sababu yenu mmeruhusu sana vyombo vya habari kwa kisingizio cha uhuru!!!!

By the way kila mtu atapiga kura kivyake. Mimi naapa I will never vote for CCM, and when CCM win naondoka Tanzania
 
Bad Lip Reading (abbreviated as BLR) is a YouTube channel, run by an anonymous individual in the music production business, that spoofs clips from films, TV shows, songs, and political news stories by overdubbing humorous vocal work that matches the lip movements of the targets.
 
Back
Top Bottom