kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,313
- 12,613
Ni vigumu kusafiri kwenda mbali kusema habari za mazingira kama wananchi bado wanawasha moto wa Kuni ili TU kupata mwanga wa kumulikia usiku kusoma na kupika jikoni.
Kama Mtu hana njia nyingine ya kupika chakula chake lazima awashe moto wa Kuni au mkaa hayo mazingira yatatunzwa namna gani, tunaenda kufanya nini kwenye mkutano wa mazingira wakati gesi yetu asili hatujaielekeza kwenye kupunguza matumizi ya Kuni, mkaa na petroli kwa watu wetu.
Nani ameturoga?
Kama Mtu hana njia nyingine ya kupika chakula chake lazima awashe moto wa Kuni au mkaa hayo mazingira yatatunzwa namna gani, tunaenda kufanya nini kwenye mkutano wa mazingira wakati gesi yetu asili hatujaielekeza kwenye kupunguza matumizi ya Kuni, mkaa na petroli kwa watu wetu.
Nani ameturoga?