Karibuni Wikiendii!

We Blaki,
Usimkumbushe huyu mambo ya Kericho bana, tumefanya kazi kubwa sana kumsahaulisha, na tumempa Kitengo maalum cha kum'keep-busy hukuhuku, utaacha aanze kumdipu mtu sasa hivi!...!

afazali ngoja nimdipu mapema kabla hajaanza mawasiliano, tukampoteza tena,
 
Hatuko kwenye cheichei shangazi...lol...we jamaa nasikia umewekwa kinyumba..nitarudi baadae kwa habari kamili
Nihesabu sitakuwepo bana maana mimi na soda tuu
Lol mbona hii habari ni mpya kwangu
Nasikitika kutangaza kuwa nimepotea naomba kuonyeshwa njia
 
ODM untumia kinywaji gani, kuna black, red ,blue, white
Ndio hivo. Ikiwa serikali itaamua kuingilia kati basi itakua sawa. Nchi zingine donnor anasema anahela ngapi, alafu serikali inampa action plan ya kwaka kufatana na priorities. Sasa huku donnor ndio anachagua partners, mradi, targetd populaiton, kila kitu. Replication ya programs, overlap ya NGO na mengine mengi, huku zote ziki-concentrate katika eneo ambazo gari zinafika kiurahisi wakati wenye sida wako ndani zaidi.
Tatizo lingine ni pale wanapo kuja mwezi huu, wanatoa dawa ya miezi 3, alafu hawaonekani tena hadi mwaka kesho. Shida ni nyingi dada yetu, na suluhisho0 litapatikana serikali (mostly) itakapo amua kurudisha order. Ni bora zaidi NGO zisiwepo kabisa.
Samahani kwa kwenda nje kidogo ya mada, nilitaka tu kuonesha kwamba hata watu wakijua juhusu njia zingine (zaidi ya vidonge) wanaweza kushindwa kupata huduma sababu sekta nzima haija kaa sawa (institutional framework)​


 
Ndio hivo. Ikiwa serikali itaamua kuingilia kati basi itakua sawa. Nchi zingine donnor anasema anahela ngapi, alafu serikali inampa action plan ya kwaka kufatana na priorities. Sasa huku donnor ndio anachagua partners, mradi, targetd populaiton, kila kitu. Replication ya programs, overlap ya NGO na mengine mengi, huku zote ziki-concentrate katika eneo ambazo gari zinafika kiurahisi wakati wenye sida wako ndani zaidi.
Tatizo lingine ni pale wanapo kuja mwezi huu, wanatoa dawa ya miezi 3, alafu hawaonekani tena hadi mwaka kesho. Shida ni nyingi dada yetu, na suluhisho0 litapatikana serikali (mostly) itakapo amua kurudisha order. Ni bora zaidi NGO zisiwepo kabisa.
Samahani kwa kwenda nje kidogo ya mada, nilitaka tu kuonesha kwamba hata watu wakijua juhusu njia zingine (zaidi ya vidonge) wanaweza kushindwa kupata huduma sababu sekta nzima haija kaa sawa (institutional framework)​
Hizi ni dalili kuwa chimpumu imeishaanza kufanya kazi
 
Nimesikia siku hizi akiwa kaunta ya juu anaagiza juisi za sayona halafu anamimina kwenye chupa ya Serengeti
Thanks pal, namiss sana bia za stuli ndefu, huku East Timor vijamaa vinapiga gitaa na kutafuta wamama wazee wa asutralia tu wapate pesa ya kula, hakuna raha kama kwetu tunapoagiza kwa sauti kuu

Bia ni Tamu kuliko Ngono
Karibuni kaunta ya juu na Condoms zenu.
Sie tushazeeka kazi ni moja tu.
Kunywa na kunywa afu kunywa tena zaidi. Kunywa kwa spidi. Kunywaaa afu Kulala!! Kudadadadadeki!

Ukimwi ni mzito kubeba kuliko mimba
 
Nihesabu sitakuwepo bana maana mimi na soda tuu
Lol mbona hii habari ni mpya kwangu
Nasikitika kutangaza kuwa nimepotea naomba kuonyeshwa njia
Njoo huku nyuma ya banda la mbuzi angalia pembeni hapo usimwage wanzuki ya Sweetlady
 
Mpwa niko busy nikihamasisha watu wasiende kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru sababu wale jamaa wa Al shabab watatumia mkusanyiko wa watu kufanya uharifu

safi sana swahiba, bora tukae majumbani, tumuunge mkono finest tuchome nyama na kuwazia namna ya kusaidia nchi yetu:ballchain:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom