Mbona naona Sweetlady ana mtu anampa french kiss hapa halafu kafanana na The Boss huyu jamaaNjoo huku nyuma ya banda la mbuzi angalia pembeni hapo usimwage wanzuki ya Sweetlady
Mbona naona Sweetlady ana mtu anampa french kiss hapa halafu kafanana na The Boss huyu jamaaNjoo huku nyuma ya banda la mbuzi angalia pembeni hapo usimwage wanzuki ya Sweetlady
Mimi si muingiaji wa mara kwa mara kwenye hili jukwaa la MMU. Lakini baada ya kunikuta yanayonikuta sasa nikawa sina ujanja, ikabidi niingie humu kutafuta msaada wa magwiji.Ha ha ha... Fidel mswalie mtume, mie sina hata bustani wala pawa tila hicho kilimo kwanza ntakitekelezaje?
Babu hiyo biya ya Kunywa Afu bado ipoThanks pal, namiss sana bia za stuli ndefu, huku East Timor vijamaa vinapiga gitaa na kutafuta wamama wazee wa asutralia tu wapate pesa ya kula, hakuna raha kama kwetu tunapoagiza kwa sauti kuu
Bia ni Tamu kuliko Ngono
Karibuni kaunta ya juu na Condoms zenu.
Sie tushazeeka kazi ni moja tu.
Kunywa na kunywa afu kunywa tena zaidi. Kunywa kwa spidi. Kunywaaa afu Kulala!! Kudadadadadeki!
Ukimwi ni mzito kubeba kuliko mimba
Chandarua nimewajengea bata nyumba..Mhhh hutumii chandarua kilichowekwa dawa ya kuua mbu
Ni mpya kabisa haina scratch, ipo kwenye cover yake na cd ya GTA victy.. Bei ni elfu 35,000 kama unaitaji nitafute kwa 0713079282Babu hiyo biya ya Kunywa Afu bado ipo
mkwe akiweka kiroba unaweka soda ya coke..........
Aise itabidi nikushtaki kwa Bush kuwa umemisuse msaada wa kuua mbu hChandarua nimewajengea bata nyumba..
Ha ha ha... Fidel mswalie mtume, mie sina hata bustani wala pawa tila hicho kilimo kwanza ntakitekelezaje?
Bia ni Tamu kuliko Ngono
@ TF tafadhalini hakikisheni Asprin hakunywi biya ya 18 manake hali yake inantia wasiwasi, ameanza kunena kwa lugha jaman, khaa.
Wala hata staki tena ..
umenialika mi wa mwishoooo.
Mate yanani dondoka sasa loooh
unajua utalala wapi leo..
Hizi ni dalili kuwa chimpumu imeishaanza kufanya kazi
Hahahha huo mchanganyiko sintaharibu mfumo wa chakula mkwe??Naona wewe, FL1 na Fynest lenu moja.
Mimi si muingiaji wa mara kwa mara kwenye hili jukwaa la MMU. Lakini baada ya kunikuta yanayonikuta sasa nikawa sina ujanja, ikabidi niingie humu kutafuta msaada wa magwiji.
Nina tatizo moja ambalo sijui kama wenzangu wengine mnalo.
Sex drive yangu iko very low kwa wanawake ambao ama ni wazuri (haiba nzuri) au wana mafanikio (elimu, kipato, nk). Ni kinyume chake kwa wanawake ambao hawana attributes nilizozitaja.
Mfano mmoja. Nina mtu wangu wa karibu (mpenzi) ambaye kwa kweli - mashallah - amejaaliwa kwa haiba. Nikitoka naye, kila shingo na jicho vinatufuata tunapopita. She's quite an attractive woman, kusema za ukweli. Hata kipato chake si haba, nadhani kinalingana na cha kwangu au kama nimemzidi basi ni kwa kiasi kidogo sana. Huyu dada amesababisha nivalishwe celebrity status fulani hivi kutokana na mvuto alio nao. Lakini kinachonitatiza, linapokuja suala la kufanya naye mapenzi huwa sisisimuki naye kabisa. Sijui tatizo ni nini kwa sababu she's very attractive and she knows how to treat a man in bed (you men should know what am talking about here).
Kwa upande mwingine, huwa napenda kupata kinywaji changu kwenye pub moja hivi hapa mjini. Kuna huyu waitress. She is not all that kwa haiba yake kwa kweli, lakini nikajikuta naanza kumfeel na mtoto akatambua hilo (kwa vile na mimi haiba yangu si mbaya kivile, ukichanganya na vitip nimpavyo ndo kabisaa!). Since I slept with her for the first time, nimekuwa nikitamani kuwa naye more often than to be with my own woman. Huwa najikuta na-enjoy sana ku-sex naye. Huwa natafuta visingizio vingi vya kutofanya mapenzi na mtu wangu ili tu niweze ku-enjoy na huyu waitress!
Sijui tatizo langu ni nini jamani. Naombeni ushauri na msaada wa haraka kwa sababu deep down mimi mwenyewe naona hizi feelings zangu ziko totally misplaced.
Nakosa raha kabisa!
" Mshale hautafutwi msituni"oahahahahaha umeungana na mtoa mada
Kwa jinsi navyo mfahamu Julio na Mkwasa...huwa wanapenda watu wampira wakukaa nao..yaani viungo wengi..pia wao kama makocha huwa wanafundisha mpira jihadi..hivi hizi sred zimeingiliana au ni mimi mwenyewe nimeingiliana?