Karibuni Wikiendii!

hahaha Lizzy mie nimepewa siri hata 20 Lita haikutoshi mwaya nikaona niongezee na viroba kiodgo
MCHUNGAJI Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Masapile ‘Babu Ambi' (pichani), anaendelea kusakamwa na wagonjwa wanaodai hawakuponyeshwa na dawa yake, wapo walioweka nia ya kumburuza mahakamani lakini mpya ni pendekezo la kumfilisi.

Madai hayo yanakuja wakati ambao Babu Ambi ameukata, ameshakamilisha ujenzi wa nyumba yake ya kisasa kijijini Samunge, pia anamiliki magari mawili ya bei mbaya, Toyota Land Cruiser (pick-up) na Isuzu (pick-up).

Babu Ambi, ameshahama nyumba chakavu aliyokuwa anaishi zamani na sasa anaendesha maisha yake kwenye mpya ya kisasa ambayo kwa Samunge, inaonekana ni kama Ikulu kwa jinsi inavyomeremeta.

Wakati Babu alizoea kukanyaga vumbi kwenye nyumba yake ya awali ya udongo, yenye chumba kimoja cha kulala, hivi sasa anatembea juu ya sakafu iliyotandikwa vigae (tiles) kila eneo.

Nyumba ya Babu, pia ina kila kitu ambacho hustahili kuwemo kwenye nyumba ya kisasa yenye hadhi ya mtu mwenye fedha, vile vile ina umeme wa mionzi ya jua na maji ya uhakika.


 
MCHUNGAJI Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Masapile ‘Babu Ambi' (pichani), anaendelea kusakamwa na wagonjwa wanaodai hawakuponyeshwa na dawa yake, wapo walioweka nia ya kumburuza mahakamani lakini mpya ni pendekezo la kumfilisi.

Madai hayo yanakuja wakati ambao Babu Ambi ameukata, ameshakamilisha ujenzi wa nyumba yake ya kisasa kijijini Samunge, pia anamiliki magari mawili ya bei mbaya, Toyota Land Cruiser (pick-up) na Isuzu (pick-up).

Babu Ambi, ameshahama nyumba chakavu aliyokuwa anaishi zamani na sasa anaendesha maisha yake kwenye mpya ya kisasa ambayo kwa Samunge, inaonekana ni kama Ikulu kwa jinsi inavyomeremeta.

Wakati Babu alizoea kukanyaga vumbi kwenye nyumba yake ya awali ya udongo, yenye chumba kimoja cha kulala, hivi sasa anatembea juu ya sakafu iliyotandikwa vigae (tiles) kila eneo.

Nyumba ya Babu, pia ina kila kitu ambacho hustahili kuwemo kwenye nyumba ya kisasa yenye hadhi ya mtu mwenye fedha, vile vile ina umeme wa mionzi ya jua na maji ya uhakika.

TF hii sasa ni mbinyo
 
ile kitu iliokaa pembeni peke yake ni nini? kama hiyo ni ashua asiguse mtu,nishaiwahi, au ni maalum kwa baba mwenye sherehe?
 
Hivi tunanena kwa lugha au mchina wangu ananena, sredi zimeingiana mno
 
Nafikir kachanganya na bangi...unywe Konyagi halafu uvute bangi unafikiri mchezo
Naona mnaisakama sana Konyagi!
Kama huiwezi kuinywa unatambaa bana!
Aliyewatuma kuisemasema ni nani?...mtaacha wenyewe wanapunguza makali yake, halafu hela yetu iende bure!
Hamjui inatimiza miaka 40 tangu kuanzishwa?....tunaofuatilia habari za Konyagi tunajua kuwa wakati nchi inatimiza miaka 50 Konyagi inatimiza 40 yrs(since 1971)
Sisi wa Konyagi TUMETHUBUTU, TUMEWEZA TUNASONGA MBELE NA KONYAGI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom