Hahaha! Ngoja nimsubirie Boss aje..Ngoja nimruhusu the Boss kufungus jf awape vidonge vyenu.
Hahaha! Ngoja nimsubirie Boss aje..
Hii Bbq imeshaisha ila nashangaa The Finest na Kongosho mnalazimisha kupasha mifupa moto kila siku jioni. Lengo lenu nini hasa?
Msisahau kuja na vinywaji nyama imeishaanza kuiva taratibu........