Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,255
- 10,503
Mpwapwa ipi??? ving'awe,ilolo,kikombo, au....be specific bana.
nakuPM.
Mpwapwa ipi??? ving'awe,ilolo,kikombo, au....be specific bana.
Hujawahi tanabahisha ukazi wako kwa mkoa huu.............na last tyme nilkuambai tukutane nyerere square tuwaone wale mabinti wanjianika hukutokezea!
Aiseee na mimi ntatafuta kasiku niende Dom, kumbe kuna wenyeji wa kumwaga
Asa mbona unachakachua sredi ya kumlaki The Finest?
Fidel banaa...hahaha
ndio. Na wewe wa mpwapwa?
karibu sana dodoma.
Duh! Dom patawaka moto weekend hii! ngoja nijiandae kwenda kwa gradu pale UDOM kesho 26th nov.
Aiseee na mimi ntatafuta kasiku niende Dom, kumbe kuna wenyeji wa kumwaga
siku ile niliogopa na mimi ningeönekana najianika bure.
ahsante bibie je utanipokea?
Hahaha! Mkuu mbona nilisaini kwenye daftari la maudhurio.Finest hebu weka wazi sababu ya safari yako....sijaiona kwenye rosta.
Mpwapwa ipi??? ving'awe,ilolo,kikombo, au....be specific bana.
ahsante bibie je utanipokea?
KARIBU!
KARIBU!
Uliogopa bure sie tungekuwa observers............haya shime jongea mjini tuwapokee wageni.............tuna ugeni mkubwa this time!
Huyu ndiyo itakuwa kamati yetu ya mapokezi
nitakupokea kwa mikono na miguu.
Hapana..........kwetu siye Magurumbasi
Hahahaha! Taratibu mkuu....mhhhhhh nimekosa la kusema kwa kweli...lol
Lol.....una kesi wewe kama mambo yenyewe ndiyo yale....hahahahuyu tf sijui anang'aa masharubu yake wapi. Mi niko town ila simuoni. Halafu hawa wageni wa leo aisee wafanye haraka warudi kwao, wameleta foleni utafikiri tupo dar. Lol.
Loyal kumbe watu mko Dom kimya kimya..Duh! Dom patawaka moto weekend hii! ngoja nijiandae kwenda kwa gradu pale UDOM kesho 26th nov.