The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Naweza kupata ndege ya kuja Mpwapwa?Mj una upendeleo wewe.
Naweza kupata ndege ya kuja Mpwapwa?Mj una upendeleo wewe.
Naweza kupata ndege ya kuja Mpwapwa?
Hahaha! Mkuu hamna banaaMakamu wa wife yuko Dodoma.......ngoja nimrejeshe Dar.....hii si khabari nzuri kwangu :eyebrows::eyebrows:
umechelewa kuna ndege moja tu huwa inaondoka sa moja asbh.
Hahaha! Mkuu hamna banaa
Upi tena Husninyo?Mj una upendeleo wewe.
Patina jitahidi 9kamil uwepo ofisi za dar x'prec, ile slip nimeituma gari ya kwanza.Peke yangu Cantalisia na mizigo yangu
umechelewa kuna ndege moja tu huwa inaondoka sa moja asbh.
Mhhh mmenikumbusha nyama choma pale njia panda ya mpwampwa...
mi nipo stendi kuu hapa dom. kuna shabibi linaondoka saa 8 kuelekea mpwapwa unaweza kuliwahi.
Hakya nani vile......huyu sitaki ubia na mtu pamoja na jitihada za MJ kutaka kuhalalisha swaping policies zake....nasema noooooo....:spy:
Karibu Chako ni chako
Karibu Mnadani
Karibu sana Mpwa:biggrin:
Fidel mpwa chako ni chako panakuitaAmekuja kujivua gamba nae?
Mkuu na wewe una-graduate leo?Kumbe leo graduation ya UDOM na chuo cha mipango..dom leo kumejaa sana,msisahau kukata tiketi mapema za kurudi
Fidel mpwa chako ni chako panakuita
Mkuu na wewe una-graduate leo?
Dah! Yamekuwa hayoPatina jitahidi 9kamil uwepo ofisi za dar x'prec, ile slip nimeituma gari ya kwanza.
Patina jitahidi 9kamil uwepo ofisi za dar x'prec, ile slip nimeituma gari ya kwanza.
Yepi tena wakati ndio makubaliano?Dah! Yamekuwa hayo