Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,255
- 10,503
Mwambie asiyaguse Jumatatu naenda ofisi ya Waziri Mkuu kuyachukulia kibali
maua yako nakulindia, uwe unalipa bill ya maji ya kuyamwagilia yasije yakanyauka. Lol.
Mwambie asiyaguse Jumatatu naenda ofisi ya Waziri Mkuu kuyachukulia kibali
Haya ngoja nizitayarishe basinipe mwenyewe bwana
hahahahaha! Kongosho unanimaliza mbavu zangu. Sasa hivi vimiguu vyangu kama chelewa hilo zoezi sitolifanya tena. Lol.
Usinyime, hakikisha madirisha yamefungwa vizuri vinginevyo sie tutaitikia salamu
Kongosho umemsahau Bishanga ni mzee wa fitina...lol
Poa! Natanguliza down payment kabisa ya hii investment ili uwe na uhakika na mwekezaji...lolmaua yako nakulindia, uwe unalipa bill ya maji ya kuyamwagilia yasije yakanyauka. Lol.
Lol...yaani wewe sikuweziHa ha ha, eti na safety boots usisahau, ana matani ya ukweli jamani
hahahaha! Yaani akili yako imefikiria mbali sana. Naomba utoke huko kwenye hiyo sayari ya pluto. Lol.
hahahahaha! Ile ni special offer kwa TF, yaani TF tu. Lol. Maua ukiyachuma utaharibu mazingira mj.
Mkuu unanitonesha kidonda asiee hahaha....nimeongea na Husninyo nipate eneo la kuwekeza nitakuwa namlipa mrahaba wa aslimia 50 kila mwezi...lol
Mwambie asiyaguse Jumatatu naenda ofisi ya Waziri Mkuu kuyachukulia kibali
kumbe tf mbunge? all the best mjengoni tf
Mbona mm hamkunipitia jamani? Nilikuwa chako ni chako
nipe mwenyewe bwana
kumbe upo dodoma hotel nakuja hapo sasa hv
maua yako nakulindia, uwe unalipa bill ya maji ya kuyamwagilia yasije yakanyauka. Lol.
Haya ngoja nizitayarishe basi
Ha ha ha, eti na safety boots usisahau, ana matani ya ukweli jamani
Angalizo la madirisha kufungwa vizuri...lolSijaenda kokote nipo hapa hapa jf
Nimetoa angalizo tu, as a good friend
Hahahaha! Mkuu umeniacha hoi aisee...lolHusninyo.................hujui unatakiwa kumpamba Kaimu Sofa wako ? We vipi bana huoni kama atang'ara zaidi akitokea kwenye hafla na ua mojawapo, la rangi mojawapo?.....................isitoshe maua ndo kazi yake kutupambia sio kuyaacha bustanini bana! :tongue::tongue:
Wakati ukipanga kumlipa mrahaba lazima ufikirie aslahi yangu kama kiongozi vinginenyo ntamuita Kongoshao aje kuwekeza ikiwa atakubali kulinda interest zangu! lol!:lol:
TF tangu lini umeingia kwenye siasa za KIKABAILA...................yaani unataka kujimilikisha maua yoooooooote yale peke yako?:A S embarassed:
Nitakuundia tume!:ballchain:
Oooh YES TF ni Balozi wa kudumu wa JF MMU hapa Capital City.................ametunukiwa juzi tu hiki cheo!:biggrin:
Mitandao yak ya SASATEL na BOL haikamatiki huku bana..............:A S 465:
Kha? Mwambie bana anajua ni "zawadi" gani waihitaji?
Weye Smile umekuja na usafiri wa treni ukashukia Makutupora nini? ................Mbona hujafika mpaka sasa?:lol:
Kama Acting Sofa.........nitawanyimeni kibali cha kuendesha biashara katika eneo langu...............ohoooooo:hatari:
Asa Husninyo anagempa nini ikiwa hukumwandalia mwanzo?:biggrin:
Useful point and taken and used!:nerd:
Husninyo mwakani siku kama ile si mbali sana.................cheza karata zako vizuri!:lol:
The Finest nahitaji barua yako ya kuacha kazi
asante..
Labda unipige na rungu nizimie halafu uchukue mkono wangu uandike barua nimegoma kuandika....lol...The Finest nahitaji barua yako ya kuacha kazi
asante..
siajamuuliza aiweke humu bali naihitaji.Duh! Mbona ya kumwajiri hukuituma humu?:A S embarassed:
Labda unipige na rungu nizimie halafu uchukue mkono wangu uandike barua nimegoma kuandika....lol...
You remember i promised to take you out for dinner tonight...lolUna masaa 24 kuanzia sasa..
You remember i promised to take you out for dinner tonight...lol
Kuna mtu aliniambia waliwekewa kuku kiwete nilicheka kweli...Me nilikua 84 jana wale kuku wa chako n chako wabovu kweli siku hizi.