Karibu Dom .........The Finest

Lol....zote za kwako hizo lakini taratibu usije ukaenda kuzigawa na wewe...hicho kinaniii bei ghali kweli...
Asante sana TF,
Agawe nani?
Nitawapa zabibu tu,hiki kinaniii wala hatakiona mtu,
Dah,hivi Dom cku hizi kuna maduka yanayouza mpaka hivi?
Nataman nikijaribie hapa hapa lol!
 
Ha ha ha, na mie kwa umbea. Hapa nimefungua macho, maskio, roho na mwili.
Potelea mbali, kusutwa suna.

Ila The Boss kaenda wapi, nampigia tangu jana hapokei. TF ulimpeleka wapi, mara ya mwisho ulimpitia home.
:lol: Boss bwana tulienda nae vizuri tu ila tulipofika Java Lounge kwanini aisgome kuondoka baada ya kuona..point 5 wako pale akaniambia mimi nitangulie atanikuta tu
 
Ama kweli mtoto umleavyo...... Yaani kaacha mapochopocho haya yote nyumbani kaenda kula kauzu wa chumvi bila mafuta kwa majirani?
Naanza kuwapika na mie. Ukimuona popote aliko mwambie arudi tu nimemsamehe hata kabla hajaomba msamaha.
Siku nyingine sikuruhusu kutoka naye tena

:lol: Boss bwana tulienda nae vizuri tu ila tulipofika Java Lounge kwanini aisgome kuondoka baada ya kuona..point 5 wako pale akaniambia mimi nitangulie atanikuta tu
 
Back
Top Bottom