LOGARITHM
JF-Expert Member
- May 5, 2010
- 974
- 476
Hivi sasa nchi ya Tanzania ina maadui wakuu wa4. Umasikini, Ujinga, Maradhi na CCM.
Yeeeeeeeeeeeessssssssssssss. Na huyo kwenye red ni mbaya kuliko jumla yote ya maradhi yaliyowahi kuikumba Tanzania.
Hivi sasa nchi ya Tanzania ina maadui wakuu wa4. Umasikini, Ujinga, Maradhi na CCM.
nilipiga na mim kura😉MATOKEO:
Jumla ya kura ... 781
1: Lowassa... 98% sawa na 766 votes
2: Magufuli... 2%... sawa na 15 votes..
hawa jamaa wakali kweli... daah..!!
Mnaofia nini huo ndoutaft usiona rushwa ndani yake subili matokeo
Wanajisumbua hao na wengi hapo ni wavuta bangi na wanywa viroba wanaopotisha hilo box
nilipiga na mim kura😉
Tatizo ni uhalisia
Haaahaaaa....
Huu ndio UTAFITI wa wananchi live.. na wanatoa matokeo hapo hapo...
Si mtu anafanya tafitix anakaa nazo kwake na mke wake.. ana CHAKACHUA WEEEEEEE, kisha analeta UTUMBO ktk vyombo vya habari...!!!
Kkoo wawajibu TWAWEZA...!!!

..sitashangaa NEC na POLISI wakipiga marufuku tafiti za namna hii.
Amani ipo kaka.. ukiona mtu anaihubiri sana amani ujue huyo ndio huleta hofu kwa watu na wanakosa amani. Watu wenyewe hawana hata shida ukiwaangalia. Ni mbwembwe tu kuelekea uchaguzi na yote hayo yataisha tu baada ya 25.
safi sana wananchi , haijawahi kutokea popote katika dunia hii ambapo nguvu ya umma imeshindwa .Watu siku hizi hawadanganyiki kariakoo wameonyesha mfano
Hapa kuna box mbili. Unatumbukiza ama kwa JPM au ENL
View attachment 290687
Uhalisia Ni 25 Oct,hata Hizo Tafiti Mmeambiwa Sio Matokeo Halisi Sasa Nyie Twaweza Wameleta Tafiti Mkaona Kitu Cha Ajabu Yani Wakati Hata 2010 Zilikuwepo Na Ccm Bado Walishinda
Nduguyangu tumia tu akili ndogo tu kuhusu utafiti wa Twaweza ,tume inasema wapiga kura ni m25 twaweza imehoji watu 1000+ achilia mbali vigezo vilivyotumika kuchagua hao watu . hivi watu1000 wanaweza toa taswira ya watu milion 25?
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!