Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Status
Not open for further replies.
Watu wenye akilı na wanaojitambua,hawakai vijiweni kupayuka mambo ya siasa.Vijiwe vya watu wa Kariakoo na wengi madalali wa mazao toka mikoanı na misheni town pamoja na wadokozı ndo hao watakuwa wamehusika na hyo survey.Wengi wanaojitambua hauweza kuwakuta wanapayukapayuka na mambo hayawaingzıı kıpato.

Mishen town na madalali ndiyo wanaowatom-bea
 
Wasisahau kuleta mrejesho wa kura na waiteni waandishi wa habari hasa gazeti la Uhuru na habari leo ili TBC wasome kwenye magazeti asubuhi


Matokeo...

Jumla ya kura zote ni 781

1: Lowassa...766... sawa na 98%

2: Magufuli .. 15.. sawa na 2%


Yaani ni hatari... kkoo wameshangilia balaaa..
 
Nakwambia hizo tafiti ni simple haziitaji hata graph. Mwaka huu ni zaidi ya miaka yote.


Angalieni hapo ni karibu na Lumumba-kwa hasira wanaweza kuwatuma tena wale wazee EFD Machines.(TRA)
Vipi ile kesi ya Mwenyekiti wa Wafanya Biashara imeshia wapi vile?
 
Watu wenye akilı na wanaojitambua,hawakai vijiweni kupayuka mambo ya siasa.Vijiwe vya watu wa Kariakoo na wengi madalali wa mazao toka mikoanı na misheni town pamoja na wadokozı ndo hao watakuwa wamehusika na hyo survey.Wengi wanaojitambua hauweza kuwakuta wanapayukapayuka na mambo hayawaingzıı kıpato.

Wa twaweza walipatikana wapi?
 
Watu wenye akilı na wanaojitambua,hawakai vijiweni kupayuka mambo ya siasa.Vijiwe vya watu wa Kariakoo na wengi madalali wa mazao toka mikoanı na misheni town pamoja na wadokozı ndo hao watakuwa wamehusika na hyo survey.Wengi wanaojitambua hauweza kuwakuta wanapayukapayuka na mambo hayawaingzıı kıpato.

Hao ndio wapiga kura halisi. Wapayukaji ni wale waliopewa rushwa ya simu na charger kuipa uhai lumumba.
 
Endeleeni Kutafuta Ahueni Ya Kidonda Cha Twaweza,mkipona Mtatukuta Ikulu Na Nyie Mtaanza Kuuguza Kidonda Kingine Cha Lubuva..
 
Vipi nani msimamizi wa Uchaguzi ?
Nani wakala wa pande zote mbili?
Je Waangalizi huru wapo?
Kanuni ya Uchaguzi iko je?

Mnatofauti gani na twaweza?
kwani twaweza walifanya utafiti au uchaguzi?

umefikiria kabla ya kupost?
 
Tunasubiri NEC na Polisi watakataza hata hilo.



Haaahaaaa....

Huu ndio UTAFITI wa wananchi live.. na wanatoa matokeo hapo hapo...

Si mtu anafanya tafitix anakaa nazo kwake na mke wake.. ana CHAKACHUA WEEEEEEE, kisha analeta UTUMBO ktk vyombo vya habari...!!!

Kkoo wawajibu TWAWEZA...!!!

👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom