Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Status
Not open for further replies.
Arusha stand napo kulikuwa na utafiti.



Mkuu...

Vijana, walikuwa wanashangiliaaaa wanasema tuone hiyo TAFITI yao nani ni bingwa, TWAWEZA ni wahuni wanasema hivyo... na ilikuwa hakuna mtu kupiga mara 2... alafu utadhani ni kura ya kweli... maana walikuwa kila mtu anasubiria matokeo, saa 9:30 ndio wametangaza.... watu walipa vifijooo.. furahaaa ilitawalaa huwezi amini...!!!

Kkoo, kiboko..!!
 
Kkoo wanasema, wanaweza toa ktk vyombo vya habari matokeo hayo...

Hii kali sasa...!!
 
Lowasa anapendwa tz nzm...mie niko rorya vjjn ss hv tn hk ndo lowasa anafahamika zaidi ht ya magufuli...bora dar ccm wanapata ht kuweka mabango ya magupombe,,,maeneo ya shirati ni lowasa tu,,buturi,nyamaguku,komaswa nk ni lowasa na juzi nilikuwa bariadi maeneo na dutwa mpk hkooo ndani ni lowasa,,,wasukuma wanatambua magufuli ni mzinza na sio mtu wao kwhy mmenoa pby nyie fisi
 
utahaha na kuangahika sana .... Mara utafiti kwenye mtandao...mara utafiti kwa wauza nyanya... Mara tafiti wa wauza supu ya makongoro....... Tafiti hufanywa kwa sampuli halisi zinazowakilisha watanzania.... Pole sana!! Fungua azam tv usikie kilio cha cuf!!!1

Pia tafiti hauruhsiwi utoe bakishishi kama simu
 
ngoja nijitekenye alafu nicheke mwenyewe
 
hivi uko ikulu kuna nini mbona CCM imeshakaa ikulu kwa muda mrefu hivyo lakini bado tu wanaona ni dhambi kuwaachia wengine

Ndio Sababu Tunataka Kuwatoa Ndugu. Wameshajiona Kama Nchi ni Yakwao, Na wao Ndio Wenye Hati Miliki Ya Nchi Hii.
 
Utafiti wa kariakoo ni sahiohi zaidi kuliko wa TWAWEZA



Saanaaa....

Matokeo: Wapiga kura 781:

1: Lowassa 766, ...sawa na... 98%

2: Magufuli 15 ... sawa na .. 2%


Kkoo wako sahihi sanaaaa...!!!

Mods wangepandisha hii hapo juu...!!!
 
Vipi nani msimamizi wa Uchaguzi ?
Nani wakala wa pande zote mbili?
Je Waangalizi huru wapo?
Kanuni ya Uchaguzi iko je?

Mnatofauti gani na twaweza?
 
Hii nimeipenda. Hata magamba wanajua kuwa hawana chao.



Mwaka huu CCM wataona maajabu...


Matokeo ya watu 781 tu ya Fasta kkoo

1: Lowassa 98%.... 766 votes

2: Magufuli 2%..... 15 votes


Hii hatari sana sanaaa hii...!!!
 
utahaha na kuangahika sana .... Mara utafiti kwenye mtandao...mara utafiti kwa wauza nyanya... Mara tafiti wa wauza supu ya makongoro....... Tafiti hufanywa kwa sampuli halisi zinazowakilisha watanzania.... Pole sana!! Fungua azam tv usikie kilio cha cuf!!!1

Hacha walie hao c wamenunuliwa na ccm kwaio ni lazima walie kwa usaliti wao. Kaondoka slaa sembuse hao hapi ni kuchinja tu mwaka huu. Kubabae!!
 
Wasisahau kuleta mrejesho wa kura na waiteni waandishi wa habari hasa gazeti la Uhuru na habari leo ili TBC wasome kwenye magazeti asubuhi
 
1: Lowassa .. 98%... kura 766

2: Magufuli.... 2%... kura 15

Total votes 781...

Ilikuwa wazi na open kabisa.. hakuna kupiga mara mbili...

Kkoo wako SAHIHI sana kuliko Twaweza..!!

Twaweza wako FEKI...!!!
 
Nawaona mnavyoufukuza upepo bila kuuona wala kuukamata Lowasa kuingia ikulu kwa kura za wanachi hilo msahahu kwasababu wananchi sasa hv wameamka washajua kwanza fisadi pili mgonjwa

Pumba,vu one
 
Mafisadi wako ccm uwe na aibu na kinywa chako. Ukweli unaujua sana sasa serikali yenu chini ya ccm inashtakiwa kwa pesa za escrow
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom