Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Status
Not open for further replies.
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!

Katika history ya dunia miji mikuu ndio inayoongoza mabadiliko. Sasa ukishashika Dar,Mwanza, Mbeya,Arusha, kilimanjaro , Musoma unategemea nini izo miji mengine unaongezea tu fuatilia history ndg yangu
 
Nawaona mnavyoufukuza upepo bila kuuona wala kuukamata Lowasa kuingia ikulu kwa kura za wanachi hilo msahahu kwasababu wananchi sasa hv wameamka washajua kwanza fisadi pili mgonjwa

Huyu Je?
 

Attachments

  • tafiti ya wananchi.jpg
    tafiti ya wananchi.jpg
    54.8 KB · Views: 1,714
nani kakuambia kura hata pata angalia matokeo ya serikali za mitaa yalikuwaje ile ilkuwa kabla ya gia kubadlishwa angani, baada ya gia kbadilishiwa angani subiri kiama.

Angalia Kiama Kisije Kikawafika Nyie,twaweza Tayari Washatuwezesha Mtaisoma
 
Angalia Kiama Kisije Kikawafika Nyie,twaweza Tayari Washatuwezesha Mtaisoma
Nduguyangu tumia tu akili ndogo tu kuhusu utafiti wa Twaweza ,tume inasema wapiga kura ni m25 twaweza imehoji watu 1000+ achilia mbali vigezo vilivyotumika kuchagua hao watu . hivi watu1000 wanaweza toa taswira ya watu milion 25?
 
Yaani lowassa ataingia ikulu hâta kwamachera .ikulu niyaketu mwakahuu.magu. ng'oooo
 
Nawaona mnavyoufukuza upepo bila kuuona wala kuukamata Lowasa kuingia ikulu kwa kura za wanachi hilo msahahu kwasababu wananchi sasa hv wameamka washajua kwanza fisadi pili mgonjwa

Weka akiba ya maneno huijui kesho, kuna waliojitapa na kuwaita wenzao kuwa wanakaribia kufa ndo maana wanataka kuharibu nchi lakini leo hii hawapo.
 
Hivi sasa nchi ya Tanzania ina maadui wakuu wa4. Umasikini, Ujinga, Maradhi na CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom