Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Status
Not open for further replies.
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!

Jifariji tu maana USHAYEYUKA wewe na joto la ukawa!.
Vijiji vepi ambavyo havina taarifa na hali ya mabadiliko inayotakiwa na nchi ya tanzania?.
Wee weeeeee,kama punch line zako zipo hvyo,wimbo wako utakuwaje?.
SHAURI YAKO,vitendee haki vdole vyako ila sio kwa porojo za kutokwa mijipovu mdomoni namna hii.
 
Hizo kura itakuwa zilipigwa kwa wachagga tu wanaokuja Kariakoo.
 
Nasikia jamaa eti Police wamemkamata! Sasa anakosa gani? CCM mnahaki ya kuondolewa madarakani aiseee
 
12031997_10207625535307033_7049378027990317658_n.jpg
 
Walianza na lipu akafuata Dr mihogo sasa twaweza sijui watakuja na nini tena,wanachi wameshaamua kabla ya 25 Oct, huku ni kutapatapa tu
 
UKAWA ni wachache sana ila ni wataalamu wa kupiga kelele na kuzomea, kwenye daladala wako wawili tuu lakini wanapiga kelele wao tuu abiria wengine kimyaaaa wanajiona wapo wengi, cha msingi waanze kujiandaa kisaikolojia!
 
Iwapo mgombea wa chama tawala angeibuka kidedea katika utafiti huu basi vyombo vya dola vingebariki matokeo haya na watafiti wasingekamatwa.
 
utafiti wa kariakoo ulikua wa ukweli na uwazi walipita na masanduku ya kura.
picha ziko ushahidi.
kura zilihesabiwa mchana kweupe.
walifanya utafiti eneo ambalo watu kutoka kote nchini wapo wakija kununua bidhaa zao.

TWAWEZA UTAFITI WAO HAUNA SHUHUDA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom