Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 724
Jamani twaweza poleni sana kwa kushambuliwa kutoka kila kona ya nchi mjue kuwa saa hizi ccm haobebeki mbeleko imechakaa. poleni mungu awatie nguvu twawezautafiti wa kariakoo ulikua wa ukweli na uwazi walipita na masanduku ya kura.picha ziko ushahidi.kura zilihesabiwa mchana kweupe.walifanya utafiti eneo ambalo watu kutoka kote nchini wapo wakija kununua bidhaa zao.TWAWEZA UTAFITI WAO HAUNA SHUHUDA.