SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,359
- Thread starter
- #81
Kipindi cha kuelekea Uchaguzi siyo ya kuifanyia mbwembwe kama hizo na hasa muda huu Kampeni eti kwa kupita mitaani na kupigisha kura kwa staili hiyo-kama huwazi mbali unaweza kuona ni mbwembwe na jambo la kawaida.
Na wakati huu vyombo vya ulinzi ndio vinatakiwa vitulie sana. Kwasasa hata watu wafanye yao ambayo yanaweza leta vurugu lakini asilimia kubwa huwezi kuona mabomu ya machozi. Nadhani unajua kwa nini.