boroyangll
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 223
- 104
Awe mgonjwa awe amekufa,tutapigia ata kaburi likishinda tunaamishia Ikulu,Lowasa lkulu lazima ata kama mfu.
Yaani lowassa ataingia ikulu hâta kwamachera .ikulu niyaketu mwakahuu.magu. ng'oooo
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!
Kamanda Magu ebu chukueni hatua .Fanyeni mawasiliano na NEC tabia hii ikiendelea mwisho wa siku nikuchomana visu!
Kipindi hiki cha Kampeni kuruhusu upuzi kama huu ambao ni sawa na ule wa TWAWEZA kuwapa Simu watu na kuwahoji ni kuhatarisha amani eneo husika na kueneza chuki miongoni mwa wana jamii.
Kura ni siri sasa hizi za kupigwa mchana kweupe huku Lowasa huku Magufuli sijui usalama wake ukoje?
Amani ipo kaka.. ukiona mtu anaihubiri sana amani ujue huyo ndio huleta hofu kwa watu na wanakosa amani. Watu wenyewe hawana hata shida ukiwaangalia. Ni mbwembwe tu kuelekea uchaguzi na yote hayo yataisha tu baada ya 25.
Watu siku hizi hawadanganyiki kariakoo wameonyesha mfano
Utafiti wa Twawezeshwa unafanyiwa utafiti.
Uwiii..mbavu zangu jamani..CCM downHivi sasa nchi ya Tanzania ina maadui wakuu wa4. Umasikini, Ujinga, Maradhi na CCM.