Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Status
Not open for further replies.
Utafiti huwa na uhalisia pale unapokuwa umekidhi vigezo vya kitaalamu, kuanzia namna ya kupata sampuli, njia za kufanya utafiti, aina ya maswali, na njia za kufanya uchambuzi. Huu uliofanywa na TWAWEZA unaweza kuwa unakufurahisha lakini kwenye vigezo vya kitaalamu umepwaya.

Kwahyo Wa 2010 Ulikidhi Vigezo?Ukawa Mnachokosea Nyinyi Nikubisha Kwa Maneno Badala Ya Kubisha Kwa Vitendo,fanyeni Utafit4 Na Nyie Mje Na Matokeo
 
Nimefanya tafiti nyumbani kwangu.... Magufuli 83% lowasa 16% haribika 1%

mlinzi......... Lowasa
house maid magufuli
mke magufuli
mume magufuli
mtoto 1 magufuli
mtoto 2 dr slaa (kura ili haribika)

kati ya kura sita lowasa 1, magufuli 5, imeharibika 1

m
 
Nimefanya tafiti nyumbani kwangu.... Magufuli 83% lowasa 16% haribika 1%

mlinzi......... Lowasa
house maid magufuli
mke magufuli
mume magufuli
mtoto 1 magufuli
mtoto 2 dr slaa (kura ili haribika)

kati ya kura sita lowasa 1, magufuli 5, imeharibika 1

m

Watoto wako KABILA gani? Uliwapa kanga, kofia au pipi tu?????
 
tunasubiri matokeo ya utafiti wa kariakoo



Matokeo mbona yashatolewa....!!!👇👇

Jumla ya wapiga kura 781...

1: Lowassa .. 98%..sawa na kura 766

2: Magufuli.. 2%... sawa na kura 15

TWAWEZA wajibiwa kwa mafuriko ya wananchi kkoo..!!!

This was live event... hakuna wizi, wala nn.. na matokeo yalitolewa hapo hapo..

CCM wajiandae tu, toeni hirizi zenu Ikulu ya wananchi iwe nyeupeeee...!!
 
Kamanda Magu ebu chukueni hatua .Fanyeni mawasiliano na NEC tabia hii ikiendelea mwisho wa siku nikuchomana visu!
Kipindi hiki cha Kampeni kuruhusu upuzi kama huu ambao ni sawa na ule wa TWAWEZA kuwapa Simu watu na kuwahoji ni kuhatarisha amani eneo husika na kueneza chuki miongoni mwa wana jamii.

Kura ni siri sasa hizi za kupigwa mchana kweupe huku Lowasa huku Magufuli sijui usalama wake ukoje?


tusitegemee polisi , tukiwategemea tutashindwa - Jakaya Kikwete .
 
Daressalaam uchaguzi wa 2015 ndiyo inaongoza mageuzi ya tanzania kuanzia uchukuaji wa fomu lowasa nuru imeanza kung'aa bandari ya salama watu wa daressalaam wakiamka nchi imeamka
 
Kura zilizopigwa zilikuwa 188.
Matokeo
Magufuli-38
Lowasa-158
Mabox yaliwekwa kwa muda wa masaa 3 tu na wapiga kura walikuwa 188 kwa mtaa 1 pekee.
 

Attachments

  • IMG-20150924-WA0004.jpg
    IMG-20150924-WA0004.jpg
    84.7 KB · Views: 923
Watu wenye akilı na wanaojitambua,hawakai vijiweni kupayuka mambo ya siasa.Vijiwe vya watu wa Kariakoo na wengi madalali wa mazao toka mikoanı na misheni town pamoja na wadokozı ndo hao watakuwa wamehusika na hyo survey.Wengi wanaojitambua hauweza kuwakuta wanapayukapayuka na mambo hayawaingzıı kıpato.
We maku unanini cha maana maneno mengi wakati ccm hakijakufanyia chochote cha maana unabakia kuwapigia domo tu
 
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!

Wengi wa wapiga kura ni vijana kumbuka hilo mkuu
 
Nawaona mnavyoufukuza upepo bila kuuona wala kuukamata Lowasa kuingia ikulu kwa kura za wanachi hilo msahahu kwasababu wananchi sasa hv wameamka washajua kwanza fisadi pili mgonjwa

....fisadi unamjua ? anakusoma saizi anapresha lowassa akichukua itakuwaje bhahahahhaàa,tena ye ndo mahututi kabsaa kwa habari ya afya. Lowassa lazima aingie ikulu utake usitake ataingia tu....
 
Huu ni ujumbe tosha kwa twawezeshwa,hii aibu sijui wataificha wapi?makamba kawaingiza mkenge ona sasa mnavoabika na tafiti za uchochoroni ambazo zipo wazi kabisa na zinaonekana,
 
hao twaweza ni washenzi sana...nimewapenda wa na k'koo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom