Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Nipo Moroco naona vijana wa mwamunyange magari kama mia yanaingia vitani
 
Nchi imeishachafuka sasa sio kutembea kijinga lazima utembee na kitendea kazi kiuononi kwa ajili ya kujilinda.
 
Nchi imeishachafuka sasa sio kutembea kijinga lazima utembee na kitendea kazi kiuononi kwa ajili ya kujilinda.

mkuu ritz sis tumevaa misilaha ya kutisha,hakya mungu wakisogea hapa ndio watajua kumbe tunawaonea wakristo wanajiweza,tumeamua kuonyesha uwezo wetu ili wakome kutuchezea,waende wakachome ikulu kwa yule muuza sura
 
Hao wapumbavu wa darisalama acha wahangaike na njaa zao.hapa nlipo natoka bwiru nishapiga kitu changu cha MDUDU ngoja nielekee mitaa ya kati nikakandamize na za baridi.MUNGU wangu ni wa upendo ,acha nifanye yaliyo mema tu,kua mkristo kweli ni tunu iliyo tukuka.
 
Kama Kova ameshindwa ambeep Mwamunyange tu...utaona kama kipedo kitaonekana mtaani!
Kuna msululu wa vijana wa Mwamunyange unapita hapa mwenge,magari,mabasi yamewekwa pembeni kupisha sijui ndio wanaenda kutia nguvu
 
Kwakweli hali ni mbaya sana na ninawaasa sana watu wote watulie majumbani. ili hawa laana wakija tupambane nao tukiwa nyumbani.
 
hali ni tete kkoo ni damu kila mahali, si wamuachie huyo sheikh ponda, nakuleteeni picha za maiti muda si mrefu.

Walimlea siku nyingi kwa kudhani ni mwenzao. Vasco anaweka historia mpya katika nchi hii baada ya kulea ujinga kwa muda mrefu.

Sasa wana anza kugeukiana wenyewe kwa wenyewe-majivu ya madhabahu yameanza kuwatesa.
 
hali ni tete kkoo ni damu kila mahali, si wamuachie huyo sheikh ponda, nakuleteeni picha za maiti muda si mrefu. police wameanza kupiga risasi
 
Back
Top Bottom