Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Msicheke na nyani! piga hao mburula kama vp JWTZ waingilie kati.
 
Hao wameanza na kariakoo
Polisi kila kona
Hali ni mbaya

https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=68647&d=1350644884
 
Kama wametoka kusali,,hasira za maandamano zinatoka wapi?
Hivi hii ni dini ya Mungu kweli?

inategemea wakati wanasali kiongozi wa dini alikuwa anawaambia nini, kama alikuwa nawahamasisha lazima watoke na hasira ila kama walikuwa wanamtafakari mungu na matendo yake watatoka wapole na wenye amani tele.
 
Acheni masihara jamani Bomu halichagui Dini, jinsia wala umri, wee kama uko Abroad au kwenye kiofisi chako kumetulia kaa kimya hujui yanayotupata wenzio huku.
 
Record vizuri ilitupate move kamili.....risasi zinapigwa za moto?
 
lakini swali jingine litakuja wanajifunza mungu na matendo yapi ya huyo mungu wao? kama wanajifunza mungu anasema lazima walipize kisasi basi wakitoka watakuwa mbogo
 
60760_446287235417628_1921730637_n.jpg

Sasa mbona wanakimbia?
 
hivi kweli jamani hii ni dini au kikundi cha wahuni?, how comes watu mmetoka kwenye sala alafu mnaenda kufanya fujo?, ina maana misikiti imekua ni sehem ya kusukia mikakati ya ugaidi?
 
Walionzisha moto huu wawe tayari kuuzima wenyewe vinginevyo sote tutaungua.
Walifikiri baada ya kuwasha moto ungeendelea kuunguza wengine huku wao wakila Kuku na kunywa Mivinyo kwa mirija lakini bahati mbaya walijidanganya (They miscalculated their mission and now bullets are fired toward them).
 
Matokeo ya kucheka na kima tunaelekea kuvuna mabua...Walikuja mambo ya ndani mkawapokea kwa nderemo na bashasha, mkatekeleza madai yao tena kwa kukiuka utaratibu wa kisheria....wakaandamana kumn'goa ndalichako na mufti dhaifu kakaa kimya yuko busy kupanda vibaiskeli vya kukokotwa na kupiga picha na masupa staa sasa wanakuja ikulu...safi sana. wenye akili za kutosha tuliona haya na tukaasa! Very guuud nendeni ikulu....
 
Back
Top Bottom