Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

ffu.jpg kimenuka
 
.....watu wakikosa kazi huwa hawana focus,kwa maana hiyo tutashuhudia mengi sanaaa.Lakini swali la kujiuliza ni hili...TANZANIA KUNA SERIKALI? NA KAMA IPO INA MENO? JE INAWAJALI WATU WAKE?

Tanzania kuna serikali, tena ina menu makali sana.
Ila inategemea wewe ni nani.
Ingekuwa Chadema ndio wanaandamana, ungeona ukali wa meno ya serikali !!
 
Mungu atuepushe na balaa hii.Ila hakuna kumwachia huyo shehe Ponda.Wamezoea kushinikiza mtu atende uovu halafu wengine wanajitia kumsaidia.Sheria ichukue mkondo wake ndugu zake wakamdhamini si watu kuandamana mazoeaaaaa!
 
Kariakoo ipi?mie nipo kariakoo cjaona ata maiti moja! Embu fafanua
 
daaaaaaah...bhaaaaaasi...ndugu zangu,acheni utoto jamani...baada ya swala ni amani c fujo? idiot!!
 
Taarifa nilizozipata ni kwamba magari zaidi ya matano ya jwtz yanaelekea k'koo. Nadhani polisi wameelemewa!
 
.....watu wakikosa kazi huwa hawana focus,kwa maana hiyo tutashuhudia mengi sanaaa.Lakini swali la kujiuliza ni hili...TANZANIA KUNA SERIKALI? NA KAMA IPO INA MENO? JE INAWAJALI WATU WAKE?

Majibu ndiyo hali halisi inavyoonekana.
 
Hii yote ni matokeo ya Rais dhaifu na serikali nzima kwa ujumla, walikuwa na uwezo wa kudhibiti lakini wakaendelea kupalilia na haya ndo matunda yake. very sad for sure!
 
Vurugu kariakoo..

Ni habari za kweli mi niko ofisini ila kuna mtu ana spouse wake kampigia simu kuwa hali si shwari, mabumu na vya moto tinatembea huko! Mungu atuepushe na nguvu za shetani hizi! maana hapo hakuna uungu ni shetani mwenyewe!!

ni kwel huku madukan ndo usiseme wa2 wanakimbilia kwny vbanda vye2.
 
Back
Top Bottom