Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Status
Not open for further replies.
Labda watatoa waraka hadi wachanike midomo na siyo kutetemesha nchi, hizo taarabu ziishie hukohuko kanisani mkileta huo ujinga barabarani kipigo chake ni cha mbwa koko
 
Labda watatoa waraka hadi wachanike midomo na siyo kutetemesha nchi, hizo taarabu ziishie hukohuko kanisani mkileta huo ujinga barabarani kipigo chake ni cha mbwa koko
Hakuna linaloshindikana kwa Mungu.Kama Yesu Kristo alikufa na akazikwa na serikali ya wakati ule lakini siku ya Tatu Alifufuka kutoka wafu na akapaa mbinguni.Pia atakuja kwahukumu wazima na wafu basi nyaraka za Kanisa Katoliki hazitaenda bure.Hata kipindi cha CORONA Magufuri aligombana na Kanisa Katoliki na akaanza kutoa vitisho kwa Maaskopfu na Mapadre.Lakini haikuchukua hata miezi miwili akafa kwa ugonjwa huo huo aliokuwa anasema haupo na Kanisa likamzika.
 
Waraka wa DP uliishia wapi?Waraka wa Pasaka uliishia wapi?Zama za kutisha watu na vinyago vya kuchongwa vimekwisha.Father Kitima alipigwa nyundo kilitokea nini?Waiver za Kodi za wizi hamna tena mtalipa kodi mpende msipende.Nyumbu wakubwa.
 
Hakuna linaloshindikana kwa Mungu.Kama Yesu Kristo alikufa na akazikwa na serikali ya wakati ule lakini siku ya Tatu Alifufuka kutoka wafu na akapaa mbinguni.Pia atakuja kwahukumu wazima na wafu basi nyaraka za Kanisa Katoliki hazitaenda bure.Hata kipindi cha CORONA Magufuri aligombana na Kanisa Katoliki na akaanza kutoa vitisho kwa Maaskopfu na Mapadre.Lakini haikuchukua hata miezi miwili akafa kwa ugonjwa huo huo aliokuwa anasema haupo na Kanisa likamzika.
Yesu hakulawiti watoto
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom