KANGI LUGOLA kutolewa kafara!

KANGI LUGOLA kutolewa kafara!

Laiser James

Member
Joined
Dec 5, 2013
Posts
77
Reaction score
8
Mh Mbunge Kangi Lugola,ambae amekuwa mwiba mkali kwa Mawaziri huenda akatolewa kafara baada ya kutumiwa massege za kutishiwa kuuawa huku yeye akisema kuwa hataenda kutoa ripoti Polisi.
Hii ni baada ya mh Kangi Lugola kuwa miongoni mwa Wabunge waliotamka wazi bila kificho ndani ya Bunge kuwa mh Waziri Mkuu ni mzigo na anaetakiwa kujiuzulu.

Wiki mbili zilizopita wakati Wabunge wakijadili ripoti ya tume ya bunge iliyowasilishwa na mwenyekiti wake Mh James Lembeli, mh Kangi Lugola alimshambulia Waziri mkuu akimtuhumu kuwa Wamempa,Ndege,Helkopita na Magari ya Vingora lakini wakati Watanzania wanauawa yeye alikua amejikalia tu Ofisini. "ulikuwa wapi Mh Waziri mkuu" tumekupa magari na vingora,tumekupa Ndege,tumekupa na hata Helkopta?

Kwa habari zaidi soma gazeti la Jambo leo!
 
Nani sasa anamtisha? Si Pinda mwenyewe aliwapa ruhusa wabunge kumwajibisha kama wanaona hawajibiki?
 
Ulikuwa wapi mhe waziri mkuu? Utaponea wapi Kagasheki? Ulisema umenyang'anywa majukumu..we ni waziri wa namna gani..? Utaponea wapi? Utaponea wapi waziri wa mambo ya ndani! I like this guy
Lugola anasema kweli. Sema tu huwa anashinikizwa na kundi lake la Team Lowasa kuongea kwa jazba
 
kwa hiyo munamtoa zitto kwa mkopo? ni wazo zuri pia.
 
Kaazi kweli kweli.
Nani sasa anamtisha? Si Pinda mwenyewe aliwapa ruhusa wabunge kumwajibisha kama wanaona hawajibiki?

Lugola anasema kweli. Sema tu huwa anashinikizwa na kundi lake la Team Lowasa kuongea kwa jazba. Kangi Lugola ni Mwana CCM ambaye anatimiza vema wajibu wake wa kuisimamia serikali iwajibike kwa wananchi. Hongera sana Lugola. Hizi propaganda za Jambo Leo zisikukatishe tamaa
.
 
Lugola kaona hamna anaemuongelea,anaamua kuanza kujipigia debe mwenyewe.
Mwambieni uwaziri haupati ng'oo.
 
Dah, Kunahawa Watu Wawili Nchimbi Na Pinda. Hawa Jamaa Ukiwaboa Sidhani Kama Utapona. Kama Huyu Mwingine Sijui Alimpeleka Wapi Mtoto Wa Marechela Na Yule Binti Amina Chifupa!
 
Kangi Lugola ni Mwana CCM ambaye anatimiza vema wajibu wake wa kuisimamia serikali iwajibike kwa wananchi. Hongera sana Lugola. Hizi propaganda za Jambo Leo zisikukatishe tamaa

Kwa hyo hao wabunge wengine waliobaki nao ni mamizigo tu ndani ya bunge.
 
Kangi Lugola ni Mwana CCM ambaye anatimiza vema wajibu wake wa kuisimamia serikali iwajibike kwa wananchi. Hongera sana Lugola. Hizi propaganda za Jambo Leo zisikukatishe tamaa
Leo hii wewe unasema jambo leo ni la propaganda...???
 
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="colspan: 3"]GENERAL[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD]Member picture
C:\User1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Alphaxard[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Kangi Ndege[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Lugola[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="colspan: 5"]EDUCATION[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]School Name/Location[/TD]
[TD]Course/Degree/Award[/TD]
[TD]Start Date[/TD]
[TD]End Date[/TD]
[TD]Level[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dar Es Salaam[/TD]
[TD]Masters[/TD]
[TD]1996[/TD]
[TD]1997[/TD]
[TD]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dar Es Salaam[/TD]
[TD]B.Com[/TD]
[TD]1988[/TD]
[TD]1992[/TD]
[TD]GRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Leicester, UK[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]2010[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Police Academy[/TD]
[TD]Certificate[/TD]
[TD]1993[/TD]
[TD]1994[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Police Academy[/TD]
[TD]Certificate[/TD]
[TD]1999[/TD]
[TD]1999[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]East African School of Aviation , Nairobi[/TD]
[TD]Certificate[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]International Civil Aviation Organisation, Nairobi[/TD]
[TD]Certificate[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Songera Boys' Secondary School[/TD]
[TD]A-Level Education[/TD]
[TD]1985[/TD]
[TD]1987[/TD]
[TD]HIGH SCHOOL[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sengerema Secondary School[/TD]
[TD]O-Level Education[/TD]
[TD]1981[/TD]
[TD]1984[/TD]
[TD]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nyamitwebili Primary School[/TD]
[TD]Primary Education[/TD]
[TD]1974[/TD]
[TD]1977[/TD]
[TD]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mugeta Primary School[/TD]
[TD]Primary Education[/TD]
[TD]1978[/TD]
[TD]1978[/TD]
[TD]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kafunjo Primary School[/TD]
[TD]Primary Education[/TD]
[TD]1979[/TD]
[TD]1980[/TD]
[TD]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="colspan: 4"]EMPLOYMENT HISTORY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Company Name[/TD]
[TD]Position[/TD]
[TD]From[/TD]
[TD]To[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Mwibara Constituency[/TD]
[TD]2010[/TD]
[TD]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]East African Community[/TD]
[TD]Chief Security Officer[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Airports Authority[/TD]
[TD]Head of Security Section (Airports)[/TD]
[TD]2001[/TD]
[TD]2002[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Police Force[/TD]
[TD]Head of Police Post (Grade A)[/TD]
[TD]1999[/TD]
[TD]2000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Police Force[/TD]
[TD]Investigation Officer[/TD]
[TD]1998[/TD]
[TD]1999[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Police Force[/TD]
[TD]Inspector[/TD]
[TD]1993[/TD]
[TD]1998[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom