Huyu siyo msema kweli ni mbwekaji tu, kama ni msema kweli mbona mpaka leo hajataja orodha ya vigogo wa madawa ya kulevya aliyosema anayo? Kama mwanaume kweli awataje.Tanzania wasema kweli hawatakiwi hata kidogo
Huyu siyo msema kweli ni mbwekaji tu, kama ni msema kweli mbona mpaka leo hajataja orodha ya vigogo wa madawa ya kulevya aliyosema anayo? Kama mwanaume kweli awataje.Tanzania wasema kweli hawatakiwi hata kidogo
Kama anajiamini kweli awataje vigogo wa madawa ya kulevya aliyosema anayo.aisee...ndo maana anajiamini huyu jamaa....
Dah, Kunahawa Watu Wawili Nchimbi Na Pinda. Hawa Jamaa Ukiwaboa Sidhani Kama Utapona. Kama Huyu Mwingine Sijui Alimpeleka Wapi Mtoto Wa Marechela Na Yule Binti Amina Chifupa!
Kangi Lugola ni Mwana CCM ambaye anatimiza vema wajibu wake wa kuisimamia serikali iwajibike kwa wananchi. Hongera sana Lugola. Hizi propaganda za Jambo Leo zisikukatishe tamaa
Kangi Lugola ni Mwana CCM ambaye anatimiza vema wajibu wake wa kuisimamia serikali iwajibike kwa wananchi. Hongera sana Lugola. Hizi propaganda za Jambo Leo zisikukatishe tamaa
Mh Mbunge Kangi Lugola,ambae amekuwa mwiba mkali kwa Mawaziri huenda akatolewa kafara baada ya kutumiwa massege za kutishiwa kuuawa huku yeye akisema kuwa hataenda kutoa ripoti Polisi.
Hii ni baada ya mh Kangi Lugola kuwa miongoni mwa Wabunge waliotamka wazi bila kificho ndani ya Bunge kuwa mh Waziri Mkuu ni mzigo na anaetakiwa kujiuzulu.
Wiki mbili zilizopita wakati Wabunge wakijadili ripoti ya tume ya bunge iliyowasilishwa na mwenyekiti wake Mh James Lembeli, mh Kangi Lugola alimshambulia Waziri mkuu akimtuhumu kuwa Wamempa,Ndege,Helkopita na Magari ya Vingora lakini wakati Watanzania wanauawa yeye alikua amejikalia tu Ofisini. "ulikuwa wapi Mh Waziri mkuu" tumekupa magari na vingora,tumekupa Ndege,tumekupa na hata Helkopta?
Kwa habari zaidi soma gazeti la Jambo leo!
watu wa namna hii watakuja kuonekana mashujaa tutakapopata serikali makiniMh Mbunge Kangi Lugola,ambae amekuwa mwiba mkali kwa Mawaziri huenda akatolewa kafara baada ya kutumiwa massege za kutishiwa kuuawa huku yeye akisema kuwa hataenda kutoa ripoti Polisi.
Hii ni baada ya mh Kangi Lugola kuwa miongoni mwa Wabunge waliotamka wazi bila kificho ndani ya Bunge kuwa mh Waziri Mkuu ni mzigo na anaetakiwa kujiuzulu.
Wiki mbili zilizopita wakati Wabunge wakijadili ripoti ya tume ya bunge iliyowasilishwa na mwenyekiti wake Mh James Lembeli, mh Kangi Lugola alimshambulia Waziri mkuu akimtuhumu kuwa Wamempa,Ndege,Helkopita na Magari ya Vingora lakini wakati Watanzania wanauawa yeye alikua amejikalia tu Ofisini. "ulikuwa wapi Mh Waziri mkuu" tumekupa magari na vingora,tumekupa Ndege,tumekupa na hata Helkopta?
Kwa habari zaidi soma gazeti la Jambo leo!
watu wa namna hii watakuja kuonekana mashujaa tutakapopata serikali makini
Kaazi kweli kweli.
Kangi Lugola ni Mwana CCM ambaye anatimiza vema wajibu wake wa kuisimamia serikali iwajibike kwa wananchi. Hongera sana Lugola. Hizi propaganda za Jambo Leo zisikukatishe tamaa