Nimegundua 'KITI' na watendaji karibu wote hawaijui Katiba

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,916
Kangi Lugola aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani, alikuwa anaonesha uzalendo wake kwa kuvaa shati lililonakshiwa kwenye mifuko na bendera ya Taifa! Huku akitembea muda wote na kitabu cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwingine alijinasibu uzalendo kwa kuvaa tai yenye rangi za Bendera ya Taifa karibia muda wote.

Nina hakika wawili hawa hawajawahi kukutana na maswali ya moja kwa moja yanayohitaji majibu ya kikatiba, nukuu na vifungu vyake! Walijinasibu uzalendo kwa sababu ya tumbo!

Asilimia 95 ya watendaji kwenye mamlaka zetu hawajawahi kuisoma Katiba, hawaijui, na hawaifuati na hapa ni pamoja na Kiti chenyewe. Wanaweza na kujua ni wakati tu ule wa kukishika kitabu kidogo cha Katiba wakati wa kuapa.

Wanaoijua Katiba, kuisoma, kuichambua na kuitumia katika maisha ya kila siku ni wananchi wachache walioko nje ya mfumo wa kaliba mbalimbali, wasomi na wanasheria pamoja na wazee wachache wastaafu waliobaki.

Wabunge, Mawaziri, Makatibu Wakuu na Watendaji karibia wote wakusanye leo uwape mtihani rahisi wa maswali machache ya Katiba ujionee maajabu ya Dunia kwa alama watakazopata, na hii ni pamoja na kiti chenyewe!

Matamshi ya kuita Katiba ni makaratasi tu yanaangazia tatizo kubwa mbleni kuliko tunavyodhani.

Eeh Mungu isaidie Tanganyika iweze kuvuka salama.
 
Literally Rais Hassan alipaswa aseme kikubwa ni kuheshimu, kuishi katiba kwa vitendo, ukatiba kiutendaji na kuheshimu matakwa ya kikatiba. Ni aibu na fedheha kubwa kwa waliobariki akae kwenye hio nafasi. Atahukumiwa kwa mdomo na ulimi wake
 
Kauli yake imemshushia hadhi ya kushika madaraka makubwa.
20230914_100820.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kauli yake imemshushia hadhi ya kushika madaraka makubwa.
Kweli kabisa, sasa Yale maneno kuwa amepata nafasi hiyo kwa Kudra za mnyazimungu, ndio naelewa..mtu usiechagua ya kuongea kama kiongozi na hapo hapo anakaripia wasiolelewa vizuri, kumbe na yeye ni mmoja wao. Tunahitaji shule ya uongozi kuwapa mafunzo Hawa wanaojali nafasi bila mategemeo, wajue namna ya kubehave ikiwa pamoja na uchaguzi wa nini cha kuongea, mahali gani... 😎😎
 
Mfumo uliopo ulilenga kuwaficha watanzania katiba yao. Mimi nilikuja kuiona katiba kwenye mchakato wa kutengeneza katiba mpya. Hapo nikiwa ni mhitimu wa chuo kikuu wa muda mrefu tu! Mfumo uliopo ulilenga kumfanya mtu asikumbuke kabisa kuwa kuna katiba ya nchi,!! Kwanza upatikanaji wake si rahisi kwa watanzania walio wengi! Ndiyo maana Rais amesema kwa uhakika kuwa watu wanataka katiba mpya wakati hata hjii ya sasa hawaijui!​
 
Kangi Lugola aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani, alikuwa anaonesha uzalendo wake kwa kuvaa shati lililonakshiwa kwenye mifuko na bendera ya Taifa! Huku akitembea muda wote na kitabu cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwingine alijinasibu uzalendo kwa kuvaa tai yenye rangi za Bendera ya Taifa karibia muda wote.

Nina hakika wawili hawa hawajawahi kukutana na maswali ya moja kwa moja yanayohitaji majibu ya kikatiba, nukuu na vifungu vyake! Walijinasibu uzalendo kwa sababu ya tumbo!

Asilimia 95 ya watendaji kwenye mamlaka zetu hawajawahi kuisoma Katiba, hawaijui, na hawaifuati na hapa ni pamoja na Kiti chenyewe. Wanaweza na kujua ni wakati tu ule wa kukishika kitabu kidogo cha Katiba wakati wa kuapa.

Wanaoijua Katiba, kuisoma, kuichambua na kuitumia katika maisha ya kila siku ni wananchi wachache walioko nje ya mfumo wa kaliba mbalimbali, wasomi na wanasheria pamoja na wazee wachache wastaafu waliobaki.

Wabunge, Mawaziri, Makatibu Wakuu na Watendaji karibia wote wakusanye leo uwape mtihani rahisi wa maswali machache ya Katiba ujionee maajabu ya Dunia kwa alama watakazopata, na hii ni pamoja na kiti chenyewe!

Matamshi ya kuita Katiba ni makaratasi tu yanaangazia tatizo kubwa mbleni kuliko tunavyodhani.

Eeh Mungu isaidie Tanganyika iweze kuvuka salama.
Nikadhani itaonesha wewe uijuavyo,kumbe mboyoyo tu,katiba ni kweli haileti maendeleo,ile ipo tu kuweka utaratibu wa maingiliano na namna ya kuishi Kama watu,katiba haikuleta maendeleo china, Sweden Wala Malaysia
 
Mfumo uliopo ulilenga kuwaficha watanzania katiba yao. Mimi nilikuja kuiona katiba kwenye mchakato wa kutengeneza katiba mpya. Hapo nikiwa ni mhitimu wa chuo kikuu wa muda mrefu tu! Mfumo uliopo ulilenga kumfanya mtu asikumbuke kabisa kuwa kuna katiba ya nchi,!! Kwanza upatikanaji wake si rahisi kwa watanzania walio wengi! Ndiyo maana Rais amesema kwa uhakika kuwa watu wanataka katiba mpya wakati hata hjii ya sasa hawaijui!​
Ndiyo maana Rais amesema kwa uhakika kuwa watu wanataka katiba mpya wakati hata hjii ya sasa hawaijui!
20230914_100820.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipofariki Magufuli ulitokea mzozo wa kuwa Makamu atashika KWA muda kusubiri uchaguzi baada ya miezi kadhaa au ndio jumla mpaka 2025? Balile anasema yeye ni mmoja wa waliotoa ufafanuzi kwa Watu wengi.
Sasa jambo zito kama hilo Watu hawajui Itakuwa yaliyojificha?
 
Alipofariki Magufuli ulitokea mzozo wa kuwa Makamu atashika KWA muda kusubiri uchaguzi baada ya miezi kadhaa au ndio jumla mpaka 2025? Balile anasema yeye ni mmoja wa waliotoa ufafanuzi kwa Watu wengi.
Sasa jambo zito kama hilo Watu hawajui Itakuwa yaliyojificha?
Unakumbuka kauli ya mkuu wa majeshi kwa mama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kangi Lugola aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani, alikuwa anaonesha uzalendo wake kwa kuvaa shati lililonakshiwa kwenye mifuko na bendera ya Taifa! Huku akitembea muda wote na kitabu cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwingine alijinasibu uzalendo kwa kuvaa tai yenye rangi za Bendera ya Taifa karibia muda wote.

Nina hakika wawili hawa hawajawahi kukutana na maswali ya moja kwa moja yanayohitaji majibu ya kikatiba, nukuu na vifungu vyake! Walijinasibu uzalendo kwa sababu ya tumbo!

Asilimia 95 ya watendaji kwenye mamlaka zetu hawajawahi kuisoma Katiba, hawaijui, na hawaifuati na hapa ni pamoja na Kiti chenyewe. Wanaweza na kujua ni wakati tu ule wa kukishika kitabu kidogo cha Katiba wakati wa kuapa.

Wanaoijua Katiba, kuisoma, kuichambua na kuitumia katika maisha ya kila siku ni wananchi wachache walioko nje ya mfumo wa kaliba mbalimbali, wasomi na wanasheria pamoja na wazee wachache wastaafu waliobaki.

Wabunge, Mawaziri, Makatibu Wakuu na Watendaji karibia wote wakusanye leo uwape mtihani rahisi wa maswali machache ya Katiba ujionee maajabu ya Dunia kwa alama watakazopata, na hii ni pamoja na kiti chenyewe!

Matamshi ya kuita Katiba ni makaratasi tu yanaangazia tatizo kubwa mbleni kuliko tunavyodhani.

Eeh Mungu isaidie Tanganyika iweze kuvuka salama.
Binafsi nina mashaka uelewa wa mambo wa namba moja au anafanya makusudi. Juzi juzi alisema katiba ni ya wananchi na si wanasiasa pekee. Nikajiuliza:

1. Kwani ile tume ya WARIOBA si ilizunguka Tanzania nzima, tena vijijini ndani ndani walikusanya maoni. Nina uhakika hakuna tume ya katiba mpya itakayoundwa na kufanya kazi kwa uweledi kama tume ya Warioba kwa sababu ile tume ilipewa uhuru wa kufanya kazi, na maoni yale yalikuwa ni ya wananchi kabisa.
 
Kangi Lugola aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani, alikuwa anaonesha uzalendo wake kwa kuvaa shati lililonakshiwa kwenye mifuko na bendera ya Taifa! Huku akitembea muda wote na kitabu cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwingine alijinasibu uzalendo kwa kuvaa tai yenye rangi za Bendera ya Taifa karibia muda wote.

Nina hakika wawili hawa hawajawahi kukutana na maswali ya moja kwa moja yanayohitaji majibu ya kikatiba, nukuu na vifungu vyake! Walijinasibu uzalendo kwa sababu ya tumbo!

Asilimia 95 ya watendaji kwenye mamlaka zetu hawajawahi kuisoma Katiba, hawaijui, na hawaifuati na hapa ni pamoja na Kiti chenyewe. Wanaweza na kujua ni wakati tu ule wa kukishika kitabu kidogo cha Katiba wakati wa kuapa.

Wanaoijua Katiba, kuisoma, kuichambua na kuitumia katika maisha ya kila siku ni wananchi wachache walioko nje ya mfumo wa kaliba mbalimbali, wasomi na wanasheria pamoja na wazee wachache wastaafu waliobaki.

Wabunge, Mawaziri, Makatibu Wakuu na Watendaji karibia wote wakusanye leo uwape mtihani rahisi wa maswali machache ya Katiba ujionee maajabu ya Dunia kwa alama watakazopata, na hii ni pamoja na kiti chenyewe!

Matamshi ya kuita Katiba ni makaratasi tu yanaangazia tatizo kubwa mbleni kuliko tunavyodhani.

Eeh Mungu isaidie Tanganyika iweze kuvuka salama.

Gari imepoteza mwelekeo
 
Back
Top Bottom