Traditionally JIMBO la MWIBARA huwa ni la upinzani tangu 1995. Kagi Lugola wana-Mwibara walimptaia UBUNGE kwasababu matendo yake yanafanana fanana na WAPINZANI. Kutenda na Kusema ukweli bila kuogopa.
Kama CCM watafanya makosa ya kumtoa kafara Kagi Lugola believe me jimbo la Mwibara watakuwa wamerudisha UPINZANI.
Katika CCM wote mimi naona Kagi Lugola anaweza kuwa jibu la WAZIRI WA MAMBO YA NDANI.
Lakini CCM huwa wana vingezo vyao visivyofahamika vya kuwapata mawaziri wake. Hivyo sitoshangaa kama Kagi Lugola hatakuwemo kwenye baraza jipya la mawaziri.
Ila tunaomba Mhe. Rais aturudishie Mtanganyika mwenzetu kwenye wizara yetu ya Afya na ustawi wa Jamii. Kama anampenda sana huyo Mzanzibari Dr. Hussein Mwinyi basi ampeleke Mambo ya Ndani au Ulinzi, amabazo ni wizara za muungano.
Kama CCM watafanya makosa ya kumtoa kafara Kagi Lugola believe me jimbo la Mwibara watakuwa wamerudisha UPINZANI.
Katika CCM wote mimi naona Kagi Lugola anaweza kuwa jibu la WAZIRI WA MAMBO YA NDANI.
Lakini CCM huwa wana vingezo vyao visivyofahamika vya kuwapata mawaziri wake. Hivyo sitoshangaa kama Kagi Lugola hatakuwemo kwenye baraza jipya la mawaziri.
Ila tunaomba Mhe. Rais aturudishie Mtanganyika mwenzetu kwenye wizara yetu ya Afya na ustawi wa Jamii. Kama anampenda sana huyo Mzanzibari Dr. Hussein Mwinyi basi ampeleke Mambo ya Ndani au Ulinzi, amabazo ni wizara za muungano.