Kampeni ya kuikataa Vodacom

Kampeni ya kuikataa Vodacom



Hii hapa chini ni tweet ya Mbunge Halima Mdee ikiwa ni miongoni mwa tweets nyingi za watu maarufu wanaokusudia kuacha kutumia mtandao wa Vodacom:

Nimekuwa Mteja wa VODACOM kwa MIAKA zaidi miaka 10!! Najua nitaathirika kimawasiliano pale nitakapo SITISHA matumizi ya NAMBA yangu!! Lakini kwa HAYA yanayoendelea, NIKO TAYARI KUJIONDOA VODACOM!!!Tususie BIDHAA za WAKANDAMIZAJI!!!
 
Wacha uwaunguze mpaka wabaki mapumba tu na ata wakitaka kuwapigia fire ili ije kuuzima basi wakute no za fire hazipatikani!!
 


Hii hapa chini ni tweet ya Mbunge Halima Mdee ikiwa ni miongoni mwa tweets nyingi za watu maarufu wanaokusudia kuacha kutumia mtandao wa Vodacom:

Nimekuwa Mteja wa VODACOM kwa MIAKA zaidi miaka 10!! Najua nitaathirika kimawasiliano pale nitakapo SITISHA matumizi ya NAMBA yangu!! Lakini kwa HAYA yanayoendelea, NIKO TAYARI KUJIONDOA VODACOM!!!Tususie BIDHAA za WAKANDAMIZAJI!!!
.
D1amEGuXgAA4XjV.jpeg
 
 
Voda ni mzizi uliojichimbia chini zaidi ni wachache sana mtakaosusa
 
Unahis tigo ,airtel ,halotel hakuwez ingilika mkuu,..ni vile tuu watumiaj walikua voda...kokote kambi,wazeiya wanaingia kokote kule wakitaka....kama mnahatarisha usalama wa nchi wafanyeje sasa
 


Hii hapa chini ni tweet ya Mbunge Halima Mdee ikiwa ni miongoni mwa tweets nyingi za watu maarufu wanaokusudia kuacha kutumia mtandao wa Vodacom:

Nimekuwa Mteja wa VODACOM kwa MIAKA zaidi miaka 10!! Najua nitaathirika kimawasiliano pale nitakapo SITISHA matumizi ya NAMBA yangu!! Lakini kwa HAYA yanayoendelea, NIKO TAYARI KUJIONDOA VODACOM!!!Tususie BIDHAA za WAKANDAMIZAJI!!!
Mdee hana madhara huwa anaweka kifurushi cha 5000/= mwezi mzima aende tu kwa SIZE yake Joti
 
Back
Top Bottom