Mzee Nondo
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 125
- 83
Nadhani ipigwe kampeni wateja wa voda wazime simu zao kwa siku mbili tuu. Iwe fundisho kwa huu mtandao.
Kwanza huduma zao ni ghali ukilinganisha na mitandao mingine halafu bado wana fanya ushenzi.
Kujipambanua sio excuse! Muhimu ni kujiuliza ikiwa walifanya hayo kwa mujibu wa sheria! Kama haikuwa kwa mujibu wa sheria, walikuwa na haki ya kugoma, na ikibidi kwenda hata mahakamani! Kwamba hata akina Tigo nako huenda kukawa na matatizo bado hiyo haiwezi kuwa hoja; kwa sababu huyo Vodacom tayari imeshathibitika!Watanzania tusiwe na akili nyepesi kiasi hichi, Vodacom wamejipambanua jinsi wanavyolazimishwa kutoa siri za wateja wao, kosa lao kubwa sana ni kukubali kutoa mawasiliano kinyume na sheria ya nchi. Lakini je, mnajua mitandao ambayo haijatoa taarifa kama vile TIGO,ZANTEL,HALOTEL na AIRTEL ambao serikali ina hisa nyingi ina matatizo kiasi gani?
Tunapoulaumu mtandao ambao umekua huru kueleza masahibu unayopitia, kumbukeni kua kuna mitandao ambayo haijasema kitu. Kwa ujumla kupitia mazingira haya ya Vodacom ni lazima tuwe na hofu mitandao yote iliyopo nchini.
Kuandika tu Voda -Com Tanzania inamaana kubwa na ni jibu kwanini wametoa taarifa za wateja wao kuliko hata maelezo mengi uliyotoa.
Kifupi % kubwa ya wananyakazi ni watanzania sawa na katibu wetu mwenezi wa chama na mkuu wetu wa mkoa pendwa! Nahii ndiyo maana pana zaidi ya mfumo! Mimi na wewe inawezekana tunapiga kelele cz tuko nje lakini tungekuwa kwenye nafasi hizo tungetoa tu taarifa upende au usipenda otherwise kaapembeni na wasiojulikana wakufuata hata kama umeacha kz! Hii ndiyo Tz ya sasa, Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Africa.
Kujipambanua sio excuse! Muhimu ni kujiuliza ikiwa walifanya hayo kwa mujibu wa sheria! Kama haikuwa kwa mujibu wa sheria, walikuwa na haki ya kugoma, na ikibidi kwenda hata mahakamani! Kwamba hata akina Tigo nako huenda kukawa na matatizo bado hiyo haiwezi kuwa hoja; kwa sababu huyo Vodacom tayari imeshathibitika!
Acha matusi, kwa sababu matusi hayauzwi! Uungwana ndio unakupasa kukuongoza kwenye majadiliano! Haya matakataka yako hapa chini sijayasoma kwa sababu siwezi kupoteza muda kusoma kilichoandikwa na mtu asiyejiheshimu!!aisee, unazungumza kwa confidence ya ajabu!...kama una akili vile
Vodacom wasingejikaanga na kusema kitu kupoteza wateja
wame respond na kueleza kuwa taarifa zinaombwa na, serikali na TCRA
ambao kwa akili zako za Ulaya unasema hawawezi kufanya vile
kwa akili zako za ulaya unadhani ni wahun
ila kwa akili zako za Tandale chooni, haujawahi kuwaza mbona mawasiliano mengine mengi huwa hayavuji?
Membe kasema anajua yametokea wapi,jasusi mbobezi angesema tu ni voda
hao wahuni wangetoa sana taarifa mpaka za mapenzi ya siri za watu, hao wahuni
msijifanye wajuaji sana
Sawa ila sisi ilipo vida na sisi tupo. Msituletee siasa kwenye biashara. Voda ina wateja zaidi ya 10m ukiondoka wewe haina shidaKwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...
Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...
Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...
Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.
Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.
May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!
Shubaaamit!
NImesema sina muda wa kujadiliana na watu wa aina yako! Nilidhani ni muungwana vinginevyo nisingepoteza hata huo muda kuandika post yangu ya kwanza kwako!aliyesema wanatoa siri za watu ni nani?
Watanzania tusiwe na akili nyepesi kiasi hichi, Vodacom wamejipambanua jinsi wanavyolazimishwa kutoa siri za wateja wao, kosa lao kubwa sana ni kukubali kutoa mawasiliano kinyume na sheria ya nchi. Lakini je, mnajua mitandao ambayo haijatoa taarifa kama vile TIGO,ZANTEL,HALOTEL na AIRTEL ambao serikali ina hisa nyingi ina matatizo kiasi gani?
Tunapoulaumu mtandao ambao umekua huru kueleza masahibu unayopitia, kumbukeni kua kuna mitandao ambayo haijasema kitu. Kwa ujumla kupitia mazingira haya ya Vodacom ni lazima tuwe na hofu mitandao yote iliyopo nchini.
Watanzania tusiwe na akili nyepesi kiasi hichi, Vodacom wamejipambanua jinsi wanavyolazimishwa kutoa siri za wateja wao, kosa lao kubwa sana ni kukubali kutoa mawasiliano kinyume na sheria ya nchi. Lakini je, mnajua mitandao ambayo haijatoa taarifa kama vile TIGO,ZANTEL,HALOTEL na AIRTEL ambao serikali ina hisa nyingi ina matatizo kiasi gani?
Tunapoulaumu mtandao ambao umekua huru kueleza masahibu unayopitia, kumbukeni kua kuna mitandao ambayo haijasema kitu. Kwa ujumla kupitia mazingira haya ya Vodacom ni lazima tuwe na hofu mitandao yote iliyopo nchini.
Kuandika tu Voda -Com Tanzania inamaana kubwa na ni jibu kwanini wametoa taarifa za wateja wao kuliko hata maelezo mengi uliyotoa.
Kifupi % kubwa ya wananyakazi ni watanzania sawa na katibu wetu mwenezi wa chama na mkuu wetu wa mkoa pendwa! Nahii ndiyo maana pana zaidi ya mfumo! Mimi na wewe inawezekana tunapiga kelele cz tuko nje lakini tungekuwa kwenye nafasi hizo tungetoa tu taarifa upende au usipenda otherwise kaapembeni na wasiojulikana wakufuata hata kama umeacha kz! Hii ndiyo Tz ya sasa, Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Africa.
Sheria gani unayoiongelea? Unaweza kuiweka hapa tuijadili kwa kina kifungu kwa kifungu?kama ni utoto , akili yako imepitiliza. Huwezi kuikimbia sheria hata uende wapi, ukitaka kuikimbia sheria jitahidi uitii na kuiheshimu.
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...
Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...
Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...
Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.
Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.
May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!
Shubaaamit!
Pole sana mkuu,Kutukana ndo umeona suluhisho naeudia tena pole sana kizazi kisichokuwa na hekima na kutomwogopa Mungu, kinatukana ndo kinaona suluhisho kifupi tu usilazimishe tufanane mawazoumeandika upumbavu gani ??na wewe ukitaka kubaki baki kimya kimya.......wadukuzi ni voda tu wengine unawajua wewe na uzwazwa wako!voda ni makaburu warudi kwao Tanzania hatuwataki tena!
halafu mpaka wasomi kabisa na akili zao, eti....wanaacha kutumia VODA!!! wakati ni mitambo ya TCRA na makampuni yote wanafanya hivyo
Moderator
JamiiForums kuna wakati mnashangaza sana mmeunganisha uzi wangu ambao una maudhui tofauti na huu....
Ngoja nikaandike ulozi sijui wataunga na uzi gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mods wamezingu...