Wewe kuniita b1tch ni dalili tu za akili yenye mapungufu kwa hiyo sikurudishii. Makampuni ya simu hayana uwezo wa kudukua simu za wateja, mfano, mazungumzo halisi. Data wanazoweza kutoa ni za mwenendo wa mawasiliano tu. Udukuzi hufanywa na wengine kwa teknoljia zingine. Hizo za kudhibiti matumizi ya line ndo nakwambia na narudia kuwa unaelekeza hasira zako sehemu isiyo sahihi. Wanalazimika kutii sheria. Kwani wakiambiwa na mamlaka zuia line hii kwa sababu zilizo ndani ya sheria wao wanatakiwa kwenda mahakamani kwa niaba ya mteja kuthibitisha?
Haya, tukishaiacha hiyo VODA ndo too much power itaacha kutumika? Ni akili kupinga too much power kwa kuisusia kampuni ya simu? Halafu sioni tofauti yako na jiwe kwenye kutumia too much power. Nawe ni mkurupukaji na mropokaji. Vodacom wanajua kila mteja anafanya kazi gani au ana tuhuma gani mpaka useme kuwa wameshiriki utekaji? Hiyo move ya kuikataa VODA fanya wewe na wenzio wenye akili zinazofanana. Mimi siachi kutumia VODA leo wala kesho.
Punguani wewe!
Wewe ni regime apologist!
Unatetea the biggest evil unaacha kumtetea mwananchi mnyonge kabisa!
Kusema mwingine ndio anaweza kudukua na sio Voda,you are just clueless!
Unaitoa Voda kwenye kudukua as if Voda is saint here!
Third Party agent anaweza kudukua na Vodacom pia inaweza kudukua the same way!
Sheria sio tatizo,kama Voda inaweza kusimama ikakataa uonevu kutoka kwa regime na waka-pay price kwa niaba ya mteja asie na hatia!
Voda sio some stupid box unaenda kusema nataka hiki mimi ni serikali,kuna ethics ambazo ni allowed worldwide zinasimamiwa na world bodies such as ITU,huwezi ruhusu udukuaji kis3ng3 s3ng3 maana serikali mbalimbali duniani pia ni evil like other evils!
ITU na GSM board inaweza fanya majukumu yake na ikigundua kwa udhibitisho kwamba evil regime inatumia makampuni ya simu yasiyo maaminifu kuonea wanadamu powerless wanaweza ban TZ from the world GSM board na mkaishia kupigiana simu za makopo kwenye kiinchi chenu wenyewe!
Wewe unadhani hii dunia unajiamulia kufanya unachotaka sababu wewe ni Jiwe?
Plus,sijui wewe uhakika kua sio Voda iliyodukua umeupata wapi maana huna uwezo wa kuichunguza Voda na serikali kwenye hili.Hata kama umechunguza tukuamini wewe kama nani?
Voda unaambiwa fungia namba ya huyu mama na huyu baba,kisa ni waandishi wa habari!Dukua huyu dukua yule kisa ni Waziri Mkuu aliepita!Dukua huyu kisa ni mwanachama wa Chadema,etc!Huu upumbavu usio na mipaka wewe ndio una utetea?!
Vodacom haikosi lawama hapa ku-act kama agent of evil kwa niaba ya evil regime!
Na hii chuki mioyoni mwa wananchi powerless itaifanya iwe number 2.Already Tigo ashakua number one karibu katika kila category!
Na nakuhakikishia,binafsi yangu nimejaa chuki na TTCL then Vodacom,TCRA na chochote connected to the regime!
Sijui wengine,binafsi yangu ndio hivyo na ninajua wapo wengine wenye chuki na hivi vi-agents of evil!
Makampuni makubwa tuliyotegemea walao yasimame their ground against this biggest evil of all times,hao hao ndio wameamua kuipigia magoti,sijui nani atatutetea against this bully!
I really dont know!
Our end,of us all,including you unaejiona leo upo salama sababu unatetea regime,your days are coming too!