Kususia kwako hakuna athari zozote ni sawa na kutishia kuchota ndoo moja ya maji kwenye bahari eti utaikausha bahari.
Kumbuka tuko wengi wenye mawazo kama yake. Ukitaka kuua biashara yoyote ihusishe na fisiemu
Kususia kwako hakuna athari zozote ni sawa na kutishia kuchota ndoo moja ya maji kwenye bahari eti utaikausha bahari.
Kwa hali hii vodacom, wamejishushia hadhi sana, watabaki wajinga tu.
Hao si ndio wenyewe kabisa...Anza na kurudi nyumbani(TTCL) kwanza, kabla unapima upepo
Vodacom sio tu ikataliwe ila ilaaniwe kwa nguvu zote.Kupitia mtandao wa twitter,kuna kampeni imeanza ya kuikataa kampuni fulani ya simu kwa tuhuma za kuvujisha siri za wateja wake.
Watu wameaandika jina la kampuni na nembo ya kiana na kisha kupiga mkasi wa mstari mwekundu.
Tutaeshimieni tu.
Hao VODACOM wako juu ya Mamlaka husika ya TCRA? Yaani hadi Umri huo ulionao hujui ya kwamba endapo Mamlaka husika ( Executive ) itahisi Jambo linaloweza Kuhatarisha Amani kwa Taifa ( Kiusalama ) zaidi basi inaweza na hadi ina Mamlaka yote ya Kuchukua hatua au hata Kumchukulia hatua Mmiliki wa Simu au Mtandao? Hivi kwanini Watu wengine hapa Mtandaoni ( Wewe ukiwemo ) uwezo wenu wa Kufikiri na Kuchambua mambo ( Issues ) ni mdogo sana? Na Wewe eti hapo ulipo unajiita Msomi na umepita kabisa Chuo Kikuu.
effect ya kampeni hiyo ni ndogo sana hata 5% sidhani kama itafika
maana watumiaji wako wengi ukiachana na nyie wa kwenye social media vijijini huko huwaambii kitu
Vodacom ipo sana mjini vijijini kidogo sana
Hayakuhusu pumbavuUliponunua ulimtaarifu nani wewe toka kimya kimya!
Kama unatumia simu ya aina yoyote iwe ya mezani au mkononi,ujue haupo salama hata ukibadili mtandao unawapa tabu tu watu kukutafutaKwa ninayo yasikia ni bora kujihami mapema, hivyo nimeachana kabisa na kutumia laini ya Vodacom na nitatumia mitandao mingine nayo ikishindikana basi nitaanza kutumia Email kuwasiliana.
VODACOM sio salama kwa mawasiliaona kabisa labda tuwaachie Makada waendelee kutumia.