omari londo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 1,793
- 1,774
Suluhisho ni kutotumia chochote chenye uhusiano au harufu ya uccmKupitia mtandao wa twitter,kuna kampeni imeanza ya kuikataa kampuni fulani ya simu kwa tuhuma za kuvujisha siri za wateja wake.
Watu wameaandika jina la kampuni na nembo ya kiana na kisha kupiga mkasi wa mstari mwekundu.
Tutaeshimieni tu.
