Kampeni ya kuikataa Vodacom

Kampeni ya kuikataa Vodacom

Hii kampuni muda sio mrefu itapotea.kitendo cha kuexpose mambo ya Wateja kimewaharibia
 
Kweli tumeifikisha hapo ilipo ila shukrani yao ni kama ya jiwe, wako wapi Nape, Makamba, Mwigulu, na Dingi Kinana walioiopoa ccm kaburini uchaguzi uliopita?
Ktk kushukuriwa unaweza lipwa chochote iwe wema ama ubaya.
 
Its small strokes that usually fall great oaks. Vitu kama hivi si vya kubeza. Kampuni Kupoteza wateja 1000 tu ni hasara kubwa. Kumbukeni,mdharau biu,hubiuka yeye!!!
 
effect ya kampeni hiyo ni ndogo sana hata 5% sidhani kama itafika
maana watumiaji wako wengi ukiachana na nyie wa kwenye social media vijijini huko huwaambii kitu
 
Watanzania wanashangaza sana.

Vodacom inamilikiwa na Ccm kama mwanahisa, kwa hali yoyote, Vodacom haiwezi kukubali mmiliki wake ahenyeshwe wakati wanaweza kutoa taarifa kwa chama kuhusu mambo mbalimbali yanayofanyika kupitia mtandao wa vodacom yanayokidhuru chama.

Binafsi nawapongeza vodacom kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa kwa chama tawala.

Wale wenye nongwa, kuna mitandao mingine wala hamjalazimishwa kubaki vodacom, nendeni mjiunge na mitandao ya mabeberu

kuanzia jana nilipoanza kubaini kuwa CCM ina hisa kwenye mtandao wa vodacom na jinsi voda inavyoendeleza udukuzi wa simu za watu nimeshajitoa rasmi kutumia mtandao huu. NAIHARIBU LINE YANGU RASMI KUANZIA LEO. Ilaaniwe voda na nawaomba watanzania wengine wafanye hivyo.
 
Kusema ukweli mpenzi wa mungu toka zianze kusikika tetesi za kuwa chama tawala kina hisa na kampuni yasimu yavodacom tanzania baadhi yawadau tumetokea kutokuikubali kampuni hii kwa gharama na kuvujisha privacyza watu
Naombeni ushauri kwa wadau tusio penda siasa na gharama za matumizi ya bandle na mengineyo upi nimtandao sahihi wakutumia ??
LISEMWALO LIPO
 
Kwa hiyo VodaCom wanawiwa kukisaidia chama cha CCM hata kwa kuvunja sheria? Kama ndivyo hili kampuni ni majanga.

Majanga makubwa. Voda ikimbiwe tu. wanavunja haki ya privacy ya mtu kwa kuruhusu udukuzi usio na maana na unaovunja heshima za watu
 
effect ya kampeni hiyo ni ndogo sana hata 5% sidhani kama itafika
maana watumiaji wako wengi ukiachana na nyie wa kwenye social media vijijini huko huwaambii kitu

Twende na simple logic, 1% ya 10M subscribers ni wateja wangapi? Kama kwa mwezi kila mteja akiweka vocha ya 1000 tuu ni pesa ngapi inaingiza hiyo 1%?
 
Wezi sana wamepandisha sana hata viwango kutuma na kutoa, nadhani baada ya Rostam kuuza hisa zake kwa ccm, wameweka kafungu ka kuchangia chama,maelekezo toka mkuu wa chama! Asanteni kunifungua, nikipita wasaa bank nibadili namba simbanking.
 
Watanzania wanashangaza sana.

Vodacom inamilikiwa na Ccm kama mwanahisa, kwa hali yoyote, Vodacom haiwezi kukubali mmiliki wake ahenyeshwe wakati wanaweza kutoa taarifa kwa chama kuhusu mambo mbalimbali yanayofanyika kupitia mtandao wa vodacom yanayokidhuru chama.

Binafsi nawapongeza vodacom kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa kwa chama tawala.

Wale wenye nongwa, kuna mitandao mingine wala hamjalazimishwa kubaki vodacom, nendeni mjiunge na mitandao ya mabeberu
.
IMG-20190730-WA0008.jpeg
 
Back
Top Bottom