Mzee unajua sana kumaanishamzee na ww unahamasisha tigoo ?
Cjaelewa lain za Vodacom zina kitu gan mkuuKwa ninayo yasikia ni bora kujihami mapema, hivyo nimeachana kabisa na kutumia laini ya Vodacom na nitatumia mitandao mingine nayo ikishindikana basi nitaanza kutumia Email kuwasiliana. VODACOM sio salama kwa mawasiliaona kabisa labda tuwaachie Makada waendelee kutumia.
Nimawazo yako tu, vodacom hawausiki, Ni mitambo kutoka Israel, hata email wakiamua kudukua watadukua tuKwa ninayo yasikia ni bora kujihami mapema, hivyo nimeachana kabisa na kutumia laini ya Vodacom na nitatumia mitandao mingine nayo ikishindikana basi nitaanza kutumia Email kuwasiliana.
VODACOM sio salama kwa mawasiliaona kabisa labda tuwaachie Makada waendelee kutumia.
sio mm ni hiki kichwa kidogo kinaweza na chenyewe kufikiria, shida ndio inapoanzia boss. ila mm ( kichwa cha juu) nina maana ya Mobitel, Buzz ni bomba au Tigo ya sasa ya saizi yako kutoka tigo.Mzee unajua sana kumaanisha
Wewe ni mkenya ?Watanzania wengi ni vichaa...
Ikataeni nyie wenye hofu ya kudukuliwa .Mi nawaomba kwa umoja kabisa tuanze kampeni hii ya kukataa kutumia vodacom labda akili itawarejea, haiwezekani sisi kama wateja siri zetu zinatolewa pasipo ruhusa ya mteja na kama haitoshi unafungiwa kupiga simu pasipo kutaarifiwa na kubwa zaidi tabia yao ya kupunguza vifurushi. Tuseme sasa inatosha voda wameota mapembe wakati sisi ndo tumewafikisha hapo.
# TuikataeVoda
# HawatufaiVoda
Wewe ni mkenya ?
Mi niko Zantel na Halotel. Nakula maisha na bundle la unlimited mwezi mzima🤣🤣🤣Voda ni jipu, mi nimerudi TTCL na HALOTEL
Wewe hujitambui. Mitandao ni mingi, unaishi nchi gani hujui kwamba "Voda wanaodukua simu za wateja wake" hawako wenyewe. Mimi kuanzia leo Voda bye bye..Eti Tuikatae voda wewe na nani
Na mtandao upi Utumie labda hama nchi
Ukafanye kinyume na utaratibu lakini Hakuna sehemu utakimbilia ukawa salama kama wewe ni mvunjifu wa sheria na taratibu wa Nchi