chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,725
- 31,305
Nashauri Vodacom sasa waende hatua moja mbele,hasa kwa wale wanaowashambulia mitandaoni bila sababu
Tunajua wanatumia huduma zenu za SMS,mpesa na kupiga simu.
Basi kwa kasi ile ile mliyoanza nayo,anzeni kuwashikisha adabu wale wote wanaowaandama
Anzeni na wanandoa,halafu mnapanda polepole mpaka wanyooke
Tunajua wanatumia huduma zenu za SMS,mpesa na kupiga simu.
Basi kwa kasi ile ile mliyoanza nayo,anzeni kuwashikisha adabu wale wote wanaowaandama
Anzeni na wanandoa,halafu mnapanda polepole mpaka wanyooke