Kampeni ya kuikataa Vodacom

Kampeni ya kuikataa Vodacom

Wakuu nilikuwa sijui kuwa CCM ni wamiliki ila nimekerwa kuruhusu kuingilia mawasiliano ya MTU mwingine na kukubali kublock no ya Kabendera Mimi nalitupa laini LA vodacom.
Hawa Voda ni washenzi walishawahi kuwa mashahidi kwenye kesi ya Lema na ku expose mawasiliano yake tuwakatae tuwatie hasara,watanzania huu ndiyo muda Wa kuwasulubu vodacom.
 
Hii ndo faida ya musiba wengine walikuwa hawajui kwamba kupayuka kwake kutaleta faida. Line ya voda tupa kulee fyekelea mbalii
Ningefurahi sana kama wote tunao miliki line za VODA tungefanya kama wewe hapa, of course mi nimeisha fanya ivyo, mambo yote yapo line zingine, VODACOME tupilia mbali kule. Hawaheshimu privancy za watu na sisi tuwaadhibu kwa njia hiyo tu, period
 
Watanzania wanashangaza sana.

Vodacom inamilikiwa na Ccm kama mwanahisa, kwa hali yoyote, Vodacom haiwezi kukubali mmiliki wake ahenyeshwe wakati wanaweza kutoa taarifa kwa chama kuhusu mambo mbalimbali yanayofanyika kupitia mtandao wa vodacom yanayokidhuru chama.

Binafsi nawapongeza vodacom kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa kwa chama tawala.

Wale wenye nongwa, kuna mitandao mingine wala hamjalazimishwa kubaki vodacom, nendeni mjiunge na mitandao ya mabeberu
Bora nimejua kumbe nikinunua bando nachangia CCM, asante kwa kunisaidia hilo.
 
Siku zingine jitahidi uwe unatumia vyema Akili zako hasa ukija hapa The Home of Great Thinkers tafadhali. Hilo ambalo unadhani limefanywa tu na huo Mtandao ambalo umekuja nalo kwa Mhemko hapa pia huwa linafanya hata na Mitandao mingine mikubwa kama Tigo na Airtel na Mifano yake ipo wazi isipokuwa tatizo Kubwa la Watanzania si Wafuatiliaji wazuri wa mambo, hamjui Kutunza Kumbukumbu na ni Watu wanaopenda Kukurupuka na si ajabu ndiyo maana huko nje tunadharaulika mno na waliotuzidi Akili.

Ungekuwa unajua ya kwamba haya Makampuni yote ya Simu nchini yapo chini ya Serikali na kwa Msaada mkubwa wa Kiudhibiti kutoka TCRA wala usingekuja na huu Uzi wako ulio na Hoja Nyepesi kama siyo ya Kipuuzi. Halafu msisahau ya kwamba kuna hatua zingine zinaweza zikawa zinachukuliwa dhidi ya Mtu kwa ajili ya Usalama wa Taifa letu na hata Sisi Wananchi wake ila bahati mbaya sasa hivi kila Jambo la Muundo huo kama uliomtokea huyo Mtu likitokea haraka sana lawama zenu mnazielekeza katika Mamlaka ila huwa hamtaki Kujua ya upande wa Pili.

Namalizia tu kwa Kukuambia kuwa KUNA UNAYOYAJUA NA YALE USIYOYAJUA na msije Kuona Watu wanakurupuka tu.
Umekurupuka jombaa...
 
Nyie ndio mnatumika na mabeberu,haya nenda kwenye kampuni za simu za mabeberu
We utajua nini kwenye ulimwengu wa watu wenye akili wakati akili zako ziko kama jina lako tu. Ambacho ni kiungo cha sehemu nyeti za mwanamke
 
Kwa kitendo chenu cha kudukua mawasiliano ya akna Membe mmejitia KITANZI wenyewe . Watu maelfu wanaendelea kuwaacha, hamfai na mko hovyo.Mimi nimeshaweka chip yenu pembeni.
Hukumbuki lile sakata la Tala ilivyokua
 
IMG_20190730_163917.jpg
 
Mi nawaomba kwa umoja kabisa tuanze kampeni hii ya kukataa kutumia vodacom labda akili itawarejea, haiwezekani sisi kama wateja siri zetu zinatolewa pasipo ruhusa ya mteja na kama haitoshi unafungiwa kupiga simu pasipo kutaarifiwa na kubwa zaidi tabia yao ya kupunguza vifurushi. Tuseme sasa inatosha voda wameota mapembe wakati sisi ndo tumewafikisha hapo.
# TuikataeVoda
# HawatufaiVoda
Hii si mara ya kwanza.nyumbu kuhamasishana kukataa voda
 
Customer privacy and cookies policies za makampuni ya simu zinasemaje kuhusu kutoa taarifa kwa third party? Mara zote matakwa yanayopewa na serikali kutekeleza yanakuwa ndani ya ile inayodaiwa ni sheria ya usalama ya nchi husika. Wao ni nani hata wakatae kutii "amri halali" waliyokubali kuitii walipoomba leseni? Vodacom wanajuaje kuwa nyuma ya amri hii kuna utekaji unaoenda kufanyika? Mnataka ku-victimize bure kampuni ya watu badala ya kupigia kelele matumizi mabaya ya sheria halali.
Amri halali lazima Jaji apitishe sio mtu anajiamkia asubuhi anasugua pvmbv zake tu anavamia simu za watu!

Hakuna ruhusa ya kudukua simu za watu wewe!

You are such a b1tch kiasi kwamba kama Jiwe anapita you will go down to your knees and give him a b-job!

Yaani sijui yule mwandishi kageuka terrorist lini kama sio uonevu?

Kibaya jitu kama wewe upo humu kutetea use of too much power to police innocent people?Yaani sijui lini utakuja kutetea watu wanyonge??/

Kwanini mnaonesha kiwango kikubwa cha uoga namba hii?Mtaua wangapi mjione mpo sawa?
 
Sensitive buyers always neglet anonymity price increase
 
Back
Top Bottom