Kama unasumbuliwa na panya pitia hapa

Kama unasumbuliwa na panya pitia hapa

Njia rahisi la kuwamaliza panya mtaa mzima au shambani kwa wingi hii utumika kuuwa malundo ya panya. Fanya hivi.
Nunua cement kilo moja, Mchele si zaidi ya kilo moja, vumbi la dagaa, au la samaki Kama huna saga dagaa au samaki wakavu.
Kisha vichanganye vyote na cement, then mchanganyiko huo uweke kwenye ungo au chochote kipana kisha wawekee maji ya kunywa.
Panya watafata harufu ya dagaa wakifika watavamia msosi wenye mix na cement, cement itawafanya wapate kiu watakimbilia kunywa maji, hapo watakuwa wamekoroga cement tumboni cement na maji uganda, ikiganda inaharibu digest sytem watarudi kufia mashimoni mwao. Hii dawa haina expired ni hadi panya wote mtaani watakaomba poa.
Big Up
 
Njia rahisi la kuwamaliza panya mtaa mzima au shambani kwa wingi hii utumika kuuwa malundo ya panya. Fanya hivi.
Nunua cement kilo moja, Mchele si zaidi ya kilo moja, vumbi la dagaa, au la samaki Kama huna saga dagaa au samaki wakavu.
Kisha vichanganye vyote na cement, then mchanganyiko huo uweke kwenye ungo au chochote kipana kisha wawekee maji ya kunywa.
Panya watafata harufu ya dagaa wakifika watavamia msosi wenye mix na cement, cement itawafanya wapate kiu watakimbilia kunywa maji, hapo watakuwa wamekoroga cement tumboni cement na maji uganda, ikiganda inaharibu digest sytem watarudi kufia mashimoni mwao. Hii dawa haina expired ni hadi panya wote mtaani watakaomba poa.
Hii mbinu tulikuwa tunatumia kuua wizi....ila nzuri hata kwa panya umenikumbusha kitu.[emoji106][emoji106][emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia rahisi la kuwamaliza panya mtaa mzima au shambani kwa wingi hii utumika kuuwa malundo ya panya. Fanya hivi.
Nunua cement kilo moja, Mchele si zaidi ya kilo moja, vumbi la dagaa, au la samaki Kama huna saga dagaa au samaki wakavu.
Kisha vichanganye vyote na cement, then mchanganyiko huo uweke kwenye ungo au chochote kipana kisha wawekee maji ya kunywa.
Panya watafata harufu ya dagaa wakifika watavamia msosi wenye mix na cement, cement itawafanya wapate kiu watakimbilia kunywa maji, hapo watakuwa wamekoroga cement tumboni cement na maji uganda, ikiganda inaharibu digest sytem watarudi kufia mashimoni mwao. Hii dawa haina expired ni hadi panya wote mtaani watakaomba poa.
Duh Jf kuna mixer ya kgb na mosad nini?
 
Pole sana mkuu. Hawa wanaoitwa wasichana wa kazi mimi mara nyingi huwa siwaamini sana. Hawako makini kabisa. Kuna mifano mingi sana ya uzembe wanaofanya.
Jana usiku nimeweka tena sumu. Imebidi niamke saa 10 na nusu kwenda kuzitoa. Achelewi kufungulia tena. Nimechukua tahadhari kabsa.
 
Mkuu sio kwelii.

Kama kwako kuna samaki na nyanya panya hapo sio mzalendo wa nyanya kiasi kwamba aache samaki ale nyanya.

Atakula samaki na nyanya utaikuta pale pale tu mkuu.

Ila ikiwa ndani kwako kuna ndoo,sufuria tupu na nyanya unadhani atakula sufuria aache nyanya ?
Atakula kilichokuwepo tu mkuu tena kwa shingo upande.

Mimi nna nyanya kwangu na wala hawazili
Nachokimaaanisha ni nyanya plus ile dawa ya panya ili avutike, sio nyanya peke yake
 
Kuna kunguru wanakula vifaranga wangu nataka kuwatega je hii dawa inauwa wanyama jamii ya ndege kama kunguru
Sina uzoefu na hilo mkuu pia kunguru unamaanisha mwewe au? Kama mwewe dawa ni kuzuia uwanda kwenye maeneo yako unapofugia maana process zake za kunyakua kuku ni kama ilivyo jets
 
Ahhh aseeh kwenye sabufa yangu pale kweny lile tobo aliingia nikiwa namuona kabisa ilikuwa mchana basi ilikuwa on nikaweka bluetooth nikatafuta nyimbo yenye mdundo wa maana alafu nikaongezaaaa sauti volume hadi mwisho nikapita kinyuma nyuma nikaziba kwa haraka lile tundu na nguo kisha nika play [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilimchangamsha niliplay nyimbo tano zenye mdungo mkubwa kisha nikatoa tambara alitoka anatembea kama mlevi nikamalizia kuua saafi
Kijazi=Msahaulifu. Nimecheka sanaaaa.
 
panya wengine wameshindikana

ninao paka3 na wako full patrol daily eneo lote..

sasa shida panya wanatembea juu ya bati na darini,hawashuki chin

leo nawawekea nyanya,indocid,valium na piriton kupunguza machungu
 
panya wengine wameshindikana

ninao paka3 na wako full patrol daily eneo lote..

sasa shida panya wanatembea juu ya bati na darini,hawashuki chin

leo nawawekea nyanya,indocid,valium na piriton kupunguza machungu
Paka aina ya Tom
 
Back
Top Bottom