nzaghamba
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,077
- 1,139
ndiyo atueleze sasa...hata nabii Mussa alipewa uwezo wa kuongea na Mungu haikutosha akataka amuone Mungu live,ombi lake lilikubaliwa lakini kilichomtokea kabla ya kumuona Mungu ile nuru yake tu hakutamani tena kutaka kumuonaUnataka ajifunue ubongo alafu afe au unamanisha akili gani