1gb
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 2,129
- 2,765
Ukiskia mdomo uliponza kichwa ndo kama hii..Kiumbe dhaifu hakiwezi hata kuzuia haja akipata amueba tumbo likamvuruga vizuri lakini anataka ahoji kuhusu uumbaji wa MUNGU.
Ukiskia mdomo uliponza kichwa ndo kama hii..Kiumbe dhaifu hakiwezi hata kuzuia haja akipata amueba tumbo likamvuruga vizuri lakini anataka ahoji kuhusu uumbaji wa MUNGU.
NakaziaBrother mimi najua wewe hauna akili! Kama unazo naomba utuonyeshe! Ili tujue kwamba unazo hizo akili
NakaziaYani mtoa mada unaujuaji mwingi..
Wapo watu kibao walikuwa na uvimbe unaoneekana wakaombewa na wakapona, wapo vipofu, viziwi vilewa wenye miguu mifupi wakaombewa na wakapona kuwa sawa asa unasemaje huwa tunakimbilia vitu visivyoonekana.
.
Unasema watu wa dini ndo wanamatatizo mengi kuliko nyie msioamin, by the way ww ndio unamatattizo makubwa na mengi kuliko wanaoamini sema tu ww huyaon hayo matatizo yako umefungwa ndo mana unaona kama huna mamttzo.
.
Nakushauri tu shika sana ulichonacho usiyumbe yumbe boss...
Nina uhakika hukushuhudia,hizi ni story za vijiweni ulisimuliwa.Yani mtoa mada unaujuaji mwingi..
Wapo watu kibao walikuwa na uvimbe unaoneekana wakaombewa na wakapona, wapo vipofu, viziwi vilewa wenye miguu mifupi wakaombewa na wakapona kuwa sawa asa unasemaje huwa tunakimbilia vitu visivyoonekana.
Kama hujawahi kumshuhudia huyo Mungu wako, usilete porojo.. hauta make any sense.Wewe ni Sawa na Mtoto mdogo ambae yupo tumboni Kwa mama Ake. Mtoto mdogo ambae yupo tumboni Kwa mama ake huwaga hajui Wala hatambui kama mama ake ana exist. Lakini mtoto huyo anakula kupitia mama ake, anakunywa kupitia mama Ake, anavuta hewa kupitia mama Ake, anakaa vizuri tumboni Kwa Sababu mama ake ana take precautions zote kama vile kufanya mazoezi nakadhalika,analindwa na mama ake etc.
Siku utakayo toka "tumboni mwa mama ako" ndio siku utakayo tambua kumbe Mungu yupo.
ulithibitishaje uchawi upo?Hapa ndio kitovu cha ujinga wenu
mtoa mada jibu hili swala tufunge huu mjadala..Brother mimi najua wewe hauna akili! Kama unazo naomba utuonyeshe! Ili tujue kwamba unazo hizo akili
Kabisa 😃Ukiskia mdomo uliponza kichwa ndo kama hii..
Mjadala umeishia hapa, tutaendelea akijibuBrother mimi najua wewe hauna akili! Kama unazo naomba utuonyeshe! Ili tujue kwamba unazo hizo akili