badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,451
- 2,701
Brother kila kitu hapa Duniani unachokiona kimetengenezwa au kuundwa na muhusika Gari, pikipiki, nyumba, n.k hivyo hata Dunia, Jua , mwezi yupo aliyeviumba
Ata kama ndio umeviumba hivi vitu uje utunyanyase kwamba tusipo sifu na kuabudu utatuchoma moto. Ukiamua kumsaidia mtu msaidie bila masharti. Huko mbinguni yenyewe malaika wanasifu na kuabudu bila kuchoka na huku duniani anataka kusifiwa na usiposifu na kuabudu anakuwa mkali na mwenye wivu.