Wakuu habari za wakati huu,
Kama Taifa kwa miaka 60 tumeshindwa kupiga hatua katika kila nyanja hata mambo madogo yametushinda inashangaza hata mambo madogo ya wananchi kuzaa kwa mpangilio tu ili kumudu gharama za maisha haiwezekani?
Mtu ana chumba kimoja ana watoto wanne mtu huyu atapiga hatua lini? Au ndo kila mtoto anakuja na bahati yake, mambo ya ridhiki mafungu saba!
Matatizo ya Taifa husika yanaondolewa na wazawa si wageni, ni kweli hatuwezi kubadilika watu kuzaa kwa mikakati kulingana na kipato chao.
Ni kweli wazee tumeshindwa hata kupanga miji yetu yani mji kama kahama mafinga uko geita inakuwa na kesho tu wanetu wataishi pia kwenye slums ambako kikosi cha waokoaji watashindwa kuokoa watu kwasababu akupitiki ni kweli tumeshindwa kupanga hiyo miji? Vitu vidogo kama hivyo vilivyowezekana miaka 2000 nyuma huko kwa wenye akili duniani, sisi leo 2023 hatuwezi!
Boda boda wanapata ajari kila siku wanakufa wanapata vilema vya maisha amna tafiti ila piki piki zimeharibu maisha ya watu wengiii mnoo zimezalisha yatima na tegemezi, ni kweli mamlaka hazioni hilii wala hazipangi kuja kusitisha kuingiza na kusajili piki piki mpya ile kuwe na limit ya idadi ya vyombo hivii, barabara mpya zinajengwa lakini amna plans za kuwa na njia zao ndogo ili wawapunguzie hatari ya ajari na magari, hakuna hata mipango mikakati ya miaka ijayo kuwa na ajira mbadala ili vijana wasikimbilie uku kweli? Nini tutaweza sasa ! Itatuchukua miaka mingapi kutoka hapa?.
Elimu yetu ni duni hatuna uwezo wa kugharamia tafiti nzito katika Taasisi zetu za vyuo vikuu, bhas ata kusimammia project ndogo zenye tija kwa wanachi nayo hatuwezi? vyuo vikuu mwaka 2023 mtu ana miaka minne chuoni ana graduate na projects ya mashine ya kusaga karanga ambazo ni project za secondary huko Europe, unaona mwanasiasa ana gawa jembe kwa wakulima kweli 2023?
Vyuo vimeshindwa kuwaandaa wanafunzi kuwa wabunifu kusaidia Taifa lao, yan watu wanakaa miaka minne chuoni washindwe kukaa kwenye kikundi na kuja na mashine ndogo ya gharama ndogo itakayomfaa mkulima wa chini kuinunua imsadie kuandaa shamba kwa haraka kuliko jembe la mkono?
Tunashindwa kabisaa kufanya kozi za science zilete mabadilko yetu ya ndani hata kama budget aitoshi bhas mawazo yafanyike kwa udogo ila mawazo kweli yawe yanaleta solutions kwa wananchi sio kugradauate na gpa kubwa project za kindergarten, mtu akienda na wazo zito anaambiwa hili hutaweza badilisha title.
Taifa la watu wajinga hata kunawa mikono baada ya kutoka chooni ni kazi.
Taifa la vijana wasiojua wasome nini wanauliza tu kozi yenye ajira ni ipi au kozi inahusu nini kumaanisha ata details za kwenda kutoa google hawezi kuzipata!
Vizazi vijavyo watateseka sana pengine hata mito itakuwa imekauka kwasababu tunashindwa hata kutunza kwa ajili yao tunawaza tulipo tu si tuendako.
Kwelii hata mambo madogo yametushinda!?
Kama Taifa kwa miaka 60 tumeshindwa kupiga hatua katika kila nyanja hata mambo madogo yametushinda inashangaza hata mambo madogo ya wananchi kuzaa kwa mpangilio tu ili kumudu gharama za maisha haiwezekani?
Mtu ana chumba kimoja ana watoto wanne mtu huyu atapiga hatua lini? Au ndo kila mtoto anakuja na bahati yake, mambo ya ridhiki mafungu saba!
Matatizo ya Taifa husika yanaondolewa na wazawa si wageni, ni kweli hatuwezi kubadilika watu kuzaa kwa mikakati kulingana na kipato chao.
Ni kweli wazee tumeshindwa hata kupanga miji yetu yani mji kama kahama mafinga uko geita inakuwa na kesho tu wanetu wataishi pia kwenye slums ambako kikosi cha waokoaji watashindwa kuokoa watu kwasababu akupitiki ni kweli tumeshindwa kupanga hiyo miji? Vitu vidogo kama hivyo vilivyowezekana miaka 2000 nyuma huko kwa wenye akili duniani, sisi leo 2023 hatuwezi!
Boda boda wanapata ajari kila siku wanakufa wanapata vilema vya maisha amna tafiti ila piki piki zimeharibu maisha ya watu wengiii mnoo zimezalisha yatima na tegemezi, ni kweli mamlaka hazioni hilii wala hazipangi kuja kusitisha kuingiza na kusajili piki piki mpya ile kuwe na limit ya idadi ya vyombo hivii, barabara mpya zinajengwa lakini amna plans za kuwa na njia zao ndogo ili wawapunguzie hatari ya ajari na magari, hakuna hata mipango mikakati ya miaka ijayo kuwa na ajira mbadala ili vijana wasikimbilie uku kweli? Nini tutaweza sasa ! Itatuchukua miaka mingapi kutoka hapa?.
Elimu yetu ni duni hatuna uwezo wa kugharamia tafiti nzito katika Taasisi zetu za vyuo vikuu, bhas ata kusimammia project ndogo zenye tija kwa wanachi nayo hatuwezi? vyuo vikuu mwaka 2023 mtu ana miaka minne chuoni ana graduate na projects ya mashine ya kusaga karanga ambazo ni project za secondary huko Europe, unaona mwanasiasa ana gawa jembe kwa wakulima kweli 2023?
Vyuo vimeshindwa kuwaandaa wanafunzi kuwa wabunifu kusaidia Taifa lao, yan watu wanakaa miaka minne chuoni washindwe kukaa kwenye kikundi na kuja na mashine ndogo ya gharama ndogo itakayomfaa mkulima wa chini kuinunua imsadie kuandaa shamba kwa haraka kuliko jembe la mkono?
Tunashindwa kabisaa kufanya kozi za science zilete mabadilko yetu ya ndani hata kama budget aitoshi bhas mawazo yafanyike kwa udogo ila mawazo kweli yawe yanaleta solutions kwa wananchi sio kugradauate na gpa kubwa project za kindergarten, mtu akienda na wazo zito anaambiwa hili hutaweza badilisha title.
Taifa la watu wajinga hata kunawa mikono baada ya kutoka chooni ni kazi.
Taifa la vijana wasiojua wasome nini wanauliza tu kozi yenye ajira ni ipi au kozi inahusu nini kumaanisha ata details za kwenda kutoa google hawezi kuzipata!
Vizazi vijavyo watateseka sana pengine hata mito itakuwa imekauka kwasababu tunashindwa hata kutunza kwa ajili yao tunawaza tulipo tu si tuendako.
Kwelii hata mambo madogo yametushinda!?