#COVID19 Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,468
113,583
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
 
Gwajima ni mpumbavu tu na wanayemuunga mkononi wapuuzi vilevile.Hoja ni chanjo au chanjo ya Mmarekani? Kama hoja ni chanjo ya mmarekani kwanini iwe ya corona pekeyake na si chanjo zingine ambazo watoaji ni wale wale.

Chanjo za watoto chini ya miaka 5 zinatolewa na hao hao bure, kwanini nazo tusizikate, maana kama lengo ni kutuuua
watatumia hata hizo za watoto za surua, ndui, kifua kikuu, tetekuwanga, polio, pepopunda (tetenus) za wajawazito.

Hakuna dawa hospitalini zilizotengenezwa na waafrica, zote zinatoka kwa hao hao.Dawa za Ukimwi, kifua kikuu, presha, kisukali, madawa ya operation, Cancer kwa Ujumla dawa zote zinatoka kwa hao watu weupe, hivyo awaambie sereikali wapige marufuku dawa zote za wazungu zisitumike nchini, vinginevyo kama nia ni kutuuua watatumia haya madawa na chanjo kutekeleza azma yao.

Kama issue ni mmarekani tuagize chanjo ya Urusi au China au Cuba au Iran maana naye nasikia anatengeneza yake.

Ni Mpumbavu pekee anayetaka Tanzania ijitenge na dunia kwenye chanjo wakati hatuna uwezo wa kutengeneza kidonge
.Mtu yeyote humu ataje kidonge kilichowahi kutengenezwa Tanzania na kutumika humu nchini. Ni wendawazimu kudhani nchi
ambazo haina urafiki wowote kama Marekani na Urusi au na China au na Cuba au na Irani eti ziungane kwenye suala la chanjo ili kuwaua Watanzania.

Huyu bwege Gwajima anachanganya tu habari mara analeta mambo ya dini eti chapa 666 sijui chanjo ni mpinga kristo, kama ni hivyo basi tulishapigwa chapa ya ndui mara bado ipo kwenye majaribio, mara zimetengenezwa kwa muda mfupi, anajaribu kulinganisha
chanjo zilizotengenezwa miaka ya 1950s wakati teknoloji ikiwa duni na miaka hii ambapo dunia ipo mbali kiteknolojia.

Anataka kutuambia hizo nchi ambazo zimetengeneza chanjo ambazo ambazo kwanza zina sera na mitazamo tofauti, zote zina lengo la kuwaua watanzania? Kwa kipi kilichopoTanzania hadi wapange njama za kuua watanzania? na kwa faida ipi kwao? Bongo kweli vilaza wanazidi kuongezeka
 
Ingependeza kama viongozi wote wa kiserikali na familia zao ikiwemo na wewe muonyeshe kipaumbele kwa kuchanjwa hizo chanjo ili kuwaondolea hofu wananchi katika kipindi hichi ambapo kila taifa lenye nguvu linavutia chanjo yake na kukosoa vikali chanjo zingine.
 
A
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tuu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!.

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa kuwa kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali, kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!, lakini kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!.

Jee Askofu Gwajima afanywejwe ?.

Pasco.
Askofu Gwajama achwe aendele na kutoa elimu kuhusu chanjo ya UVIKO - 19 (COVID -19) kama apendavyo huko kwenye Platform yake nyingine na walengwa wake; kwani naamini hiyo ni haki yake kama kiongozi wa kiroho kwa hao kondoo wake. Akiwa Bungeni, hiyo ni Platform nyingine na anaweza kuitumia kadri atakavyo ona inafaa. Na in fact alisha toa msimamo wake huko Bungeni juu ya UVIKO - 19 na hizo chanjo. Tena alizifafanua kitaalamu kweli kweli. Binafsi nadhani aendelee kutoa "elimu mbadala" juu ya UVIKO - 19 tofauti na viongozi wengine ambao wanafuata UPEPO TU on anything as long as kinasemwa na mkubwa. Si unakumbuka suala la Bandari ya Bagamoyo na ujenzi wake!? Si unakumbuka viongozi hawa wanaounga mkono hilo suala LEO ndio hao hao walilikataa na kulipinga sana "JANA" wakati wa JPM! Hawa ndio viongozi wetu Pasco! Usimshangae Askofu Gwajima kwa msimamo wake huu.
 
Kwanini mbishane,
Kwanini mgombane,
Kwanini mtukanane.
Chanjo ni hiari siyo lazima kuchanjwa.(Udhaifu ulionyeshwa na wataalamu wetu tangu mwanzo)
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tuu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!.

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!.

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!.

Jee Askofu Gwajima afanywejwe ?.

Pasco.
Kwani adhabu ya kulisaliti Taifa lako ni nini? Nijuavyo mimi ni kuwekwa hapo mbele na kuiachia risasi ifanye kazi yake. Kwa kifupi adhabu anayostahili msaliti ni kifo. Period.
 
Uhuru wa kujieleza Pasco

Hii habari ya chanjo inachanganya hata huko America kuna baadhi ya state zimeikataa hii Johnson and Johnson tulioletewa sisi .
Tatizo watu wanapinga chanjo sio J&J. Shaurini waagize ya Urusi au Cuba mueleweke vinginevyo shaurini madawa yote n CHnjo kutoka magharibi yasitumike nchini vinginevyo ni utopolo tu. Huyo Gwajima hao waisrael anaowaabudu hadi kuweka bendera yao kwenye gari na madhabahu yake wamechanjwa hiyo J&J 60% na ndio nchi inayoongoza kwa kuchanja
 
Askofu Gwajima yupo sahihi, ufanyike utafiti wa kutosha kuhusu chanjo, hasa J&J vaccines.

Hata hivyo hofu ni kuwa huenda kweli kuna baadhi ya wagamasishaji wa chanjo wameingizwa kwenye payroll ya Bill Gates hatuna cha kufanya, tuchanjwe tu tufe
 
A

Askofu Gwajama achwe aendele na kutoa elimu kuhusu chanjo ya UVIKO - 19 (COVID -19) kama apendavyo huko kwenye Platform yake nyingine na walengwa wake; kwani naamini hiyo ni haki yake kama kiongozi wa kiroho kwa hao kondoo wake. Akiwa Bungeni, hiyo ni Platform nyingine na anaweza kuitumia kadri atakavyo ona inafaa. Na in fact alisha toa msimamo wake huko Bungeni juu ya UVIKO - 19 na hizo chanjo. Tena alizifafanua kitaalamu kweli kweli. Binafsi nadhani aendelee kutoa "elimu mbadala" juu ya UVIKO - 19 tofauti na viongozi wengine ambao wanafuata UPEPO TU on anything as long as kinasemwa na mkubwa. Si unakumbuka suala la Bandari ya Bagamoyo na ujenzi wake!? Si unakumbuka viongozi hawa wanaounga mkono hilo suala LEO ndio hao hao walilikataa na kulipinga sana "JANA" wakati wa JPM! Hawa ndio viongozi wetu Pasco! Usimshangae Askofu Gwajima kwa msimamo wake huu.
Ni kweli Wamuache kabisa Askofu maana izo chanjo zenyewe Waliozitengeneza wakichanjwa wanapatwa na madhara,na wengine wameanza kuzigomea...
Lkn iyo wataalma wanasema kwamba uyu mdudu wa corona anabadilika badilika na wanasema corona iliyopo sasa ni phase 3 kwa maana ya jina Delta...
Sasa izo chanjo zilitengenezwa kipindi uyo mdudu wa corona anauwa watu na ni phase 1 sasa hatuoni kwamba tunaletewa chanjo iliyokuwa imemlenga mdudu wa corona wa phase 1.
Na uyu mdudu anabadilika sana....kwaiyo izo chanjo siyo kitu kwa uyo Delta..wasasahivi...warudi tena mahabara waongeze au wapunguze kulingana na mabadiliko ya uyo mdudu.
 
Back
Top Bottom