#COVID19 Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!

Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Ameongea akiwa kanisani sio bungeni Wala mahala pengine popote kwaio lile swala Ni la kiimani na alikua anaongea na waumini wake Kama wewe sio muumini wake haikuhusu mkuu.
 
Nashauri waziri wa afya ajibu hoja za Gwajima kwanza

Na aje public kama waziri wa afya wa Zanzibar mbona ameeleza kwa umakini umuhimu wa hiyo chanjo?

Wachanjwe kwanza wenyewe wote baraza la mawaziri waliopitisha hii chanjo

Wanachi tutafuata.
Hapa wanaweza wakaweka maji wakatupiga Changa la macho.
 
Tuwe wakweli kwenye hili. Polisi au chombo cha dola chenye mamlaka kilipaswa IMMEDIATELY kumkamata na kumhoji huyu FAKE PASTOR Gwajima. Ametoa tuhuma nzito kuhusu watu walioruhusu chanjo ziingie Tanzania kuwa wanahongwa au na Bill Gates au na wazakishaji wa chanjo wa Marekani.

Kwa uelewa wangu aliyeruhusu chanjo zije ni Rais Samia baada ya kushauriwa na timu yake ya wataalamu. Kwa hiyo tuhuma ya Gwajima inamlenga Rais SSH moja kwa moja.

TISS na POLISI kamata huyu Fake Pastor Gwajima
Hii issue Ina walakini na itakuja kutugharimu tusipokua makini.
 
Asulubiwe!

Huyu ni msaliti kabisa. Mbunge wa CCM hatakiwi kubehave this way. Hii ni dharau kubwa kwa serikali na raisi.

Naamini CCM wanajua cha kumfanya. Kama chama tusikubali utamaduni huu wa kambale. Aondolwe kwenye chama akafanyie nje hizo porojo zake.
Watu wa CCM ndo wanatakiwa wakubali Kila kitu hata Kama ni ujinga.uhuru wa kutoa maoni ni kwa Kila raia wa nchii hii kwaio muacheni atoe hoja zake wananchi wanasikiliza then wataamua zipi kipi Ni Bora kwao wachanjwe au hapana.
 
Kwa hiyo unataka kusema Gwajima yuko sahihi?

Anyway kama umechagua kuishi kwa maombi ya walokole it's okay. Ila nakushauri fuata sayansi
Kwenye sayansi Kuna biashara sometimes kwaio umakini unahitajika nafikiri wakuu viongozi wa nchi Ni watu muhimu kwa ustawi wa Taifa letu walitakiwa wakae mbele kwenye foleni wapate chanjo sisi tutafuata mbona barabarani huwa tunasimama wapite Kwanza.
 
Hata kabla ya Gwajima kujitokeza hadharani kupinga hiyo corona akiwa kanisani, aliipinga pia akiwa bungeni

Licha ya hivyo, tunao kina Gwajima wengi ambao hawana uwezo wa kuonekana mitandaoni ambao wanaendelea kuipinga hiyo chanjo licha ya kutoonekana

Kwanza, kwa nini Serikali haitawajibika kwa tatizo ambalo linaweza kumpata mtu atayechanjwa chanjo? Hauoni kwamba hii pia inatia mashaka kwa wananchi kutaka kuhoji endapo hizo chanjo kama ni salama?

Gwajima anawakilisha maelfu ya watu ambao hawana mahali pa kusemea ila wanasema kama Gwajima, Nyie mnaoogopa kutaka kufahamu hatima ya uhai wenu, nyamazeni kimya!
 
Nimecheka!!! ...yaani sina mbavu.
Kwa hiyo ndugu una maanisha Paschal mayala kwa sasa anakisaliti kimvuli chake?? Yaani unamaanisha kuwa Paschal anakikana kata kata kuwa kimvule chake cha miaka ya 2007 hadi 2015 hakikuwa cha kwake??. Kwa hiyo ndugu una maanisha Paschal alienda kwa mganga wake wa kisukumu kupiga ramli na kisha kuambiwa kimvuli alichonacho Cyo chake! Akaamua kupiga nyungu kama kawa ya wasukuma, Ili atoe mikosi ndipo kimvuli chake kikarudi??, Una maanisha Paschal ana kimvuli kingine kipya! Ambacho anaamini kindaki ndaki kuwa hicho ndo kimvuli chake halali? Kile kimvuli cha kupata kura mbili hakikuwa chake??. Kama unasema kile cha miaka ya nyuma ndicho chake kihalali! basi Paschal apigwe risasi mchana, tena peupeeeee!!!!!!. Kama hakikuwa halali basi Paschal apewe uwaziri wa umbaramwezi.
 
Binafsi sikubaliani na upumbavu anaoongea Gwajima and his stupid self.

Ila kwavile mimi ni mpenda freedom,ngoja nikupinge hoja zako maana zinalazimisha upumbavu.

People are free kua wapumbavu

Nani kasema serikali yangu ikiamini kitu fulani mimi mtu huru ni "lazima" eti kuifata serikali inachoamini?

Kivipi kwa mfano?

Huu udikteta ndio tunataka katiba mpya inayotoa uhuru kamili kwa wanadamu

Serikali ni genge la watu kama wewe na mimi,wanachoamini sio lazima na mimi niamini

Na huwezi "lazimisha" wanadamu wote waamini serikali inachoamini,huo ni udikteta

Na sio lazima nisapoti kila serikali inachoamini kwa lazima

Huu usenge wa kusema ni lazima "nisapoti" na "kuamini" kila inachoamini serikali kwa lazima ndio maana exactly tunataka Katiba Mpya kufuta huu ulazimifu

Serikali ijitegemee,ifanye inayoihusu bila kulazimisha kusaidiwa na kila mwanadamu

Serikali hainilipi kwa mimi kuisapoti kwa inachokiamini na kufanya,sina nayo mikataba ya kisenge namna hiyo

Hii mausenge ya "lazima" ndio mausenge hasa inafanya nachukia serikali even more

Nishawishi,acha ku-force this nonsense
Uko sahihi kabisa!
Lakini pia wala Pascal Mayalla hajataka wewe "uisapoti" Serikali. Mtazamo wa Pascal niliouelewa ni kuwa wewe, mimi ama yeye, sote tuko free kutoa ushawishi tunaoutaka. Alichoandika Pascal ni Gwajima na utumishi wa umma wa ngazi yake. Wao ndiyo wanaounda Serikali na niserikali yao imekuja na msimamo fulani. Hoja ya Pascal iko simple sana, haijajikita kwenye kuzuia mawazo mbadala, isipokuwa kwa utumishi wa Gwajima na Serikali yao. Anapaswa atoke ili kuweza kupingana nayo hadharani
 
Taifa lipi limeikubali Paschal ilhali wapigia chepuo wenyewe wanatuambia ni HIARI?
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Kwa Mkristu yeyote anayeyajua maandiko matakatifu hasa "Ufunuo", wa Yohana hawezi kuchanjwa chanjo hiyo.
Hii ni chapa ya mnyama(Ufunuo 13: 1~18). Kipindi hiki viongozi wa kikristu wa kweli wanajua hilo na sasa dunia inagawanyika makundi mwili, waliochanjwa na wasiochanjwa. Gwajima askofu yuko sahihi, lakini Gwajima mbunge hayuko sahihi.
Mamlaka za juu yake wataamua cha kufanya, ingawa kwa Tanzania hii naamini kila kitu kitabakia kama kilivyofanyika.
 
Gwajima ni mbunge sio serikali

Mpango wa serikali ni wa serikali executive sio branch zingine,habanwi na mikataba ya collective ya serikali executive

Kama mbunge infact yupo sahihi kua kinyume na serikali executive

Cha ajabu ni hoja zake za kipumbavu sana yaani....

Gwajima ni kichaa,ubongo wake una mavi kabisa ndio shida
Wewe ndo huna hoja. hujui chochote kuhusu hiyo chanjo. ushahidi unaonesha kuwa hata waliochanjwa hupata corona kama kawaida. so this is bullshit. haina maana yoyote zaidi ya mipango yao ya kishetwani tu
 
Gwajima ni mbunge sio serikali

Mpango wa serikali ni wa serikali executive sio branch zingine,habanwi na mikataba ya collective ya serikali executive

Kama mbunge infact yupo sahihi kua kinyume na serikali executive

Cha ajabu ni hoja zake za kipumbavu sana yaani....

Gwajima ni kichaa,ubongo wake una mavi kabisa ndio shida
I got mine wrong sure! Upo sahihi
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Awahishwe Mirembe
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Kwani hana uhuru wa kuongea?

Je kuna sheria yoyote ya nchi amevunja?

Kama jibu ndiyo basi mpelekeni anapostahili kwa kitendo cha kuvunja sheria.

Kama jibu hapana basi muacheni aongee au apaze sauti kwa niaba yetu.
 
Back
Top Bottom