Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,363
- 17,913
Tuwe wakweli kwenye hili. Polisi au chombo cha dola chenye mamlaka kilipaswa IMMEDIATELY kumkamata na kumhoji huyu FAKE PASTOR Gwajima. Ametoa tuhuma nzito kuhusu watu walioruhusu chanjo ziingie Tanzania kuwa wanahongwa au na Bill Gates au na wazakishaji wa chanjo wa Marekani.
Kwa uelewa wangu aliyeruhusu chanjo zije ni Rais Samia baada ya kushauriwa na timu yake ya wataalamu. Kwa hiyo tuhuma ya Gwajima inamlenga Rais SSH moja kwa moja.
TISS na POLISI kamata huyu Fake Pastor Gwajima
Kwa uelewa wangu aliyeruhusu chanjo zije ni Rais Samia baada ya kushauriwa na timu yake ya wataalamu. Kwa hiyo tuhuma ya Gwajima inamlenga Rais SSH moja kwa moja.
TISS na POLISI kamata huyu Fake Pastor Gwajima