#COVID19 Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!

Tuwe wakweli kwenye hili. Polisi au chombo cha dola chenye mamlaka kilipaswa IMMEDIATELY kumkamata na kumhoji huyu FAKE PASTOR Gwajima. Ametoa tuhuma nzito kuhusu watu walioruhusu chanjo ziingie Tanzania kuwa wanahongwa au na Bill Gates au na wazakishaji wa chanjo wa Marekani.

Kwa uelewa wangu aliyeruhusu chanjo zije ni Rais Samia baada ya kushauriwa na timu yake ya wataalamu. Kwa hiyo tuhuma ya Gwajima inamlenga Rais SSH moja kwa moja.

TISS na POLISI kamata huyu Fake Pastor Gwajima
 
Ni kweli Wamuache kabisa Askofu maana izo chanjo zenyewe Waliozitengeneza wakichanjwa wanapatwa na madhara,na wengine wameanza kuzigomea...
Lkn iyo wataalma wanasema kwamba uyu mdudu wa corona anabadilika badilika na wanasema corona iliyopo sasa ni phase 3 kwa maana ya jina Delta...
Sasa izo chanjo zilitengenezwa kipindi uyo mdudu wa corona anauwa watu na ni phase 1 sasa hatuoni kwamba tunaletewa chanjo iliyokuwa imemlenga mdudu wa corona wa phase 1.
Na uyu mdudu anabadilika sana....kwaiyo izo chanjo siyo kitu kwa uyo Delta..wasasahivi...warudi tena mahabara waongeze au wapunguze kulingana na mabadiliko ya uyo mdudu.
Zaidi ya Kadeti, ni kuwa hizi chanjo zote bado ziko kwenye hatua za awali ZA MAJARIBIO! Lakini kwa vile binadamu jadi yake ni uonga na kuogopa kifo, basi anarukia na kujaribu lolote linalo letwa mbele yake; hii ndiyo hali ilivyo sasa dunia yote ikiwemo na hapa kwetu ambako sasa tutachukua chanjo yoyote na kutoka popote as long as tunaamini itatusaidia kukishida KIFO! Huu ni uoga na hofu aliyoikataa JPM wakati ule! Lakini hizi chanjo ziko kiuchumi na hivyo kibiashara zaidi. Tusubiri tuone.
 
Unadhani utapewa uDc kwa kutetea chanjo? Yeye katoa maoni yake na wewe kama una wazo mbadala toa.

Je, unaowatetea au wewe nani yupo tayari kubeba dhamana ya afya itakayoathirika au uhai utakaopotea kutokana na chanjo hiyo?
Jibu kwanza hoja zenye mashiko za Dr. Magufuli kuhusiana na Corona na chanjo kabla ya kutafuta uDc kwa gharama ya uhai wetu.
 
Nakajua umekuja na uchambuzi wa kisayansi kumpiga Gwaji boy kumbe umekuja na Ngonjera tu mpk sasa sijaona mtu aliyekuja kujibu hoja kisanyasi kumpinga Gwaji zaidi ya utopolo tu yeye anatumia haki yake kikatiba na nyinyi tumieni haki yenu kikatiba kuhamashisha watoto wenu wakapige Chanjo
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Mbona taifa limejitoa kuwajibika kwa madhara ya chanjo? Utayari u wapi?
 
Pasco watasema tatizo Gwajima alikuangusha kwenye kura za maoni wewe ulipata 1 sijui kwa hiyo unamuonea wivu🤣
IMG_20210726_152556.jpg
 
Gwajima ni mpumbavu tu na wanayemuunga mkononi wapuuzi vilevile.Hoja ni chanjo au chanjo ya Mmarekani? Kama hoja ni chanjo ya mmarekani kwanini iwe ya corona pekeyake na si chanjo zingine ambazo watoaji ni wale wale.

Chanjo za watoto chini ya miaka 5 zinatolewa na hao hao bure, kwanini nazo tusizikate, maana kama lengo ni kutuuua
watatumia hata hizo za watoto za surua, ndui, kifua kikuu, tetekuwanga, polio, pepopunda (tetenus) za wajawazito.

Hakuna dawa hospitalini zilizotengenezwa na waafrica, zote zinatoka kwa hao hao.Dawa za Ukimwi, kifua kikuu, presha, kisukali, madawa ya operation, Cancer kwa Ujumla dawa zote zinatoka kwa hao watu weupe, hivyo awaambie sereikali wapige marufuku dawa zote za wazungu zisitumike nchini, vinginevyo kama nia ni kutuuua watatumia haya madawa na chanjo kutekeleza azma yao.

Kama issue ni mmarekani tuagize chanjo ya Urusi au China au Cuba au Iran maana naye nasikia anatengeneza yake.

Ni Mpumbavu pekee anayetaka Tanzania ijitenge na dunia kwenye chanjo wakati hatuna uwezo wa kutengeneza kidonge
.Mtu yeyote humu ataje kidonge kilichowahi kutengenezwa Tanzania na kutumika humu nchini. Ni wendawazimu kudhani nchi
ambazo haina urafiki wowote kama Marekani na Urusi au na China au na Cuba au na Irani eti ziungane kwenye suala la chanjo ili kuwaua Watanzania.

Huyu bwege Gwajima anachanganya tu habari mara analeta mambo ya dini eti chapa 666 sijui chanjo ni mpinga kristo, kama ni hivyo basi tulishapigwa chapa ya ndui mara bado ipo kwenye majaribio, mara zimetengenezwa kwa muda mfupi, anajaribu kulinganisha
chanjo zilizotengenezwa miaka ya 1950s wakati teknoloji ikiwa duni na miaka hii ambapo dunia ipo mbali kiteknolojia.

Anataka kutuambia hizo nchi ambazo zimetengeneza chanjo ambazo ambazo kwanza zina sera na mitazamo tofauti, zote zina lengo la kuwaua watanzania? Kwa kipi kilichopoTanzania hadi wapange njama za kuua watanzania? na kwa faida ipi kwao? Bongo kweli vilaza wanazidi kuongezeka
Bongo kweli......... wanazidi kuongezeka, ulitaka ukose washirika? Watu wanasita juu ya kuchanjwa kutokana na serikali kujitoa kuwajibika kwa madhara ya chanjo, na hivyo watu kuamini chanjo haina uhakika. Pia ni visa vinavyo elezwa kutokea baada ya chanjo kwa mataifa mengine. Huduma zetu za afya ni duni, watu hufa kwa madhara ya dawa za kawaida kabisa kwa hospitali zetu kukosa 'ant dots', sembuse chanjo mpya!
 
kwani shida iko wapi,hiyo michanjo seeikari imesema ni hiari na sio lazima,atakayetaka ataenda kwa hiari yake mwenyewe kuchanjwa ,ili mwisho wa siku lolote likitokea,asimpaumu kiongozi yeyote au serikali,ndio maana ni hiari na sio lazima.ili kumaliza mzizi wa fitina walete tu hiyo mi chanjo,anaetaka atapigwa ,asiyetaka pia atulie.maana naona tunachanganyana hapa,wapo walioweka pesa zao kwenye hii inshu ya chanjo,katu hawatokubali serikari akatae chanjo.
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Duniani ukisema ukweli unakuwa adui.

Binafsi huwa simkubali Gwajima lakini kwenye hili la chanjo ana hoja

Jiulize Mbowe kwa mfano amechanja chanjo ya aina gani?

Ya msaada?....au alikwea pipa hadi Arabuni kuchanja!

Mkuu Pascal wewe umeshakula maisha wafikirie hata wajukuu zako basi.
 
Kwani adhabu ya kulisaliti Taifa lako ni nini? Nijuavyo mimi ni kuwekwa hapo mbele na kuiachia risasi ifanye kazi yake. Kwa kifupi adhabu anayostahili msaliti ni kifo. Period.
Kwa hiyo ndugu una maanisha Paschal mayala kwa sasa anakisaliti kimvuli chake?? Yaani unamaanisha kuwa Paschal anakikana kata kata kuwa kimvule chake cha miaka ya 2007 hadi 2015 hakikuwa cha kwake??. Kwa hiyo ndugu una maanisha Paschal alienda kwa mganga wake wa kisukumu kupiga ramli na kisha kuambiwa kimvuli alichonacho Cyo chake! Akaamua kupiga nyungu kama kawa ya wasukuma, Ili atoe mikosi ndipo kimvuli chake kikarudi??, Una maanisha Paschal ana kimvuli kingine kipya! Ambacho anaamini kindaki ndaki kuwa hicho ndo kimvuli chake halali? Kile kimvuli cha kupata kura mbili hakikuwa chake??. Kama unasema kile cha miaka ya nyuma ndicho chake kihalali! basi Paschal apigwe risasi mchana, tena peupeeeee!!!!!!. Kama hakikuwa halali basi Paschal apewe uwaziri wa umbaramwezi.
 
Tatizo watu wanapinga chanjo sio J&J. Shaurini waagize ya Urusi au Cuba mueleweke vinginevyo shaurini madawa yote n CHnjo kutoka magharibi yasitumike nchini vinginevyo ni utopolo tu. Huyo Gwajima hao waisrael anaowaabudu hadi kuweka bendera yao kwenye gari na madhabahu yake wamechanjwa hiyo J&J 60% na ndio nchi inayoongoza kwa kuchanja
Umesema 60% , tupe chanzo cha hiyo habari yako! Ili nasi tujirizishe pasipo na shaka.
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Asulubiwe!

Huyu ni msaliti kabisa. Mbunge wa CCM hatakiwi kubehave this way. Hii ni dharau kubwa kwa serikali na raisi.

Naamini CCM wanajua cha kumfanya. Kama chama tusikubali utamaduni huu wa kambale. Aondolwe kwenye chama akafanyie nje hizo porojo zake.
 
Gwajima ni mpumbavu tu na wanayemuunga mkononi wapuuzi vilevile.Hoja ni chanjo au chanjo ya Mmarekani? Kama hoja ni chanjo ya mmarekani kwanini iwe ya corona pekeyake na si chanjo zingine ambazo watoaji ni wale wale.

Chanjo za watoto chini ya miaka 5 zinatolewa na hao hao bure, kwanini nazo tusizikate, maana kama lengo ni kutuuua
watatumia hata hizo za watoto za surua, ndui, kifua kikuu, tetekuwanga, polio, pepopunda (tetenus) za wajawazito.

Hakuna dawa hospitalini zilizotengenezwa na waafrica, zote zinatoka kwa hao hao.Dawa za Ukimwi, kifua kikuu, presha, kisukali, madawa ya operation, Cancer kwa Ujumla dawa zote zinatoka kwa hao watu weupe, hivyo awaambie sereikali wapige marufuku dawa zote za wazungu zisitumike nchini, vinginevyo kama nia ni kutuuua watatumia haya madawa na chanjo kutekeleza azma yao.

Kama issue ni mmarekani tuagize chanjo ya Urusi au China au Cuba au Iran maana naye nasikia anatengeneza yake.

Ni Mpumbavu pekee anayetaka Tanzania ijitenge na dunia kwenye chanjo wakati hatuna uwezo wa kutengeneza kidonge
.Mtu yeyote humu ataje kidonge kilichowahi kutengenezwa Tanzania na kutumika humu nchini. Ni wendawazimu kudhani nchi
ambazo haina urafiki wowote kama Marekani na Urusi au na China au na Cuba au na Irani eti ziungane kwenye suala la chanjo ili kuwaua Watanzania.

Huyu bwege Gwajima anachanganya tu habari mara analeta mambo ya dini eti chapa 666 sijui chanjo ni mpinga kristo, kama ni hivyo basi tulishapigwa chapa ya ndui mara bado ipo kwenye majaribio, mara zimetengenezwa kwa muda mfupi, anajaribu kulinganisha
chanjo zilizotengenezwa miaka ya 1950s wakati teknoloji ikiwa duni na miaka hii ambapo dunia ipo mbali kiteknolojia.

Anataka kutuambia hizo nchi ambazo zimetengeneza chanjo ambazo ambazo kwanza zina sera na mitazamo tofauti, zote zina lengo la kuwaua watanzania? Kwa kipi kilichopoTanzania hadi wapange njama za kuua watanzania? na kwa faida ipi kwao? Bongo kweli vilaza wanazidi kuongezeka
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Wee nawe nani hakujui? Jib hoja za Gwajima,siyo kuleta blaablaa na upoyoyo wa kuganga njaa.G ajibiwe kwa hoja.
 
Back
Top Bottom