Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.
Naomba uanze bandiko hili kwa hii clip
Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.
Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.
Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Rejea kuhusu chanjo ya Corona
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.
Naomba uanze bandiko hili kwa hii clip
Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.
Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.
Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Rejea kuhusu chanjo ya Corona
#COVID19 - Japo Chanjo ni hiyari, ila ni muhimu. Hupandi Ndege bila cheti cha Kupima COVID19. Kama unasafirisafiri, Chanjo ni Muhimu
Wanabodi, Déclaration of Interest. Mimi Pascal Mayalla ni pro Vaccination ya Covid 19 na nimechanja chanjo ya Corona, na nawahimiza Watanzania, tuchanje. Niko hapa Terminam 3 Airport ya DIA, nimeshuhudia baadhi ya watu wachache wakirudi makwao kwa kakataliwa kusafiri kutokana na kutokuwa na...
www.jamiiforums.com
#COVID19 - Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...
www.jamiiforums.com
#COVID19 - Pascal Mayalla: Viongozi wa Umma wajitokeze kuchanjwa, wasiopenda wakae kimya
Leo tarehe 02 Agosti 2021, waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari walipata chanjo dhidi ya UVIKO 19 pale Karimjee Dar. Miongoni mwa waliopokea chanjo ni mwandishi nguli Pascal Mayalla. Katika mahojiano aliongea jambo muhimu sana kuhusu hili zoezi la chanjo. Amewataka viongozi wote wa umma...
www.jamiiforums.com
#COVID19 - Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...
www.jamiiforums.com