Kama Serikali imekosa maelezo ya onyo, imekosa sauti; waandishi wa habari wamekataa kuwa mashahidi; Shahidi gani amebaki kesi ya akina Dk. Slaa?

-%20KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Wanasiasa akili zao ni basi tu.
Mungu awafanyie wepesi maana kama kuna pepo na jehanam basi hawa viumbe watakuwa kuni.
 
Tumesikia hawa watuhumiwa wamekataa kutoa vielelezo vifuatavyo kama ushahidi.

1. Maelezo yao ya onyo
2. Wamekataa kurekodiwa sauti
3. Waandishi wa habari online na live hakuna aliyehojiwa

Serikali inapeleka ushahidi upi mahakamani?
Unafikiri hiyo ni kinga, wanajichelewesha tu, rejea kesi ya ugaidi ya Mbowe, hakutoa maelezo, akenda mahakamani na akapatikana na kesi ya kujibu-jifariji mkuu hao jamaa wanakula mvua
 
Unafikiri hiyo ni kinga, wanajichelewesha tu, rejea kesi ya ugaidi ya Mbowe, hakutoa maelezo, akenda mahakamani na akapatikana na kesi ya kujibu-jifariji mkuu hao jamaa wanakula mvua
Mbowe alikula mnvua?
 
Tumesikia hawa watuhumiwa wamekataa kutoa vielelezo vifuatavyo kama ushahidi.

1. Maelezo yao ya onyo
2. Wamekataa kurekodiwa sauti
3. Waandishi wa habari online na live hakuna aliyehojiwa

Serikali inapeleka ushahidi upi mahakamani?
hata wewe utaenda kutoa ushahidi maana naamini uliwasikia na kuwaona wakieneza chuki, kuchochea uvunjifu wa amani, kueneza ubaguzi na kutishia kufanya tendo la uhaini. watanzania km siyo wote wengi tuliwashudia, we hilo lisikupe shida
 
Back
Top Bottom