Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,123
Tumesikia hawa watuhumiwa wamekataa kutoa vielelezo vifuatavyo kama ushahidi.
1. Maelezo yao ya onyo
2. Wamekataa kurekodiwa sauti
3. Waandishi wa habari online na live hakuna aliyehojiwa
Serikali inapeleka ushahidi upi mahakamani?
1. Maelezo yao ya onyo
2. Wamekataa kurekodiwa sauti
3. Waandishi wa habari online na live hakuna aliyehojiwa
Serikali inapeleka ushahidi upi mahakamani?